CreativityCode
Senior Member
- Aug 8, 2020
- 158
- 653
Sina mengi,
Rose Muhando akihojiwa na wasafi TV alitoa tuhuma nzito kwa jeshi la polisi na serikali kushirikiana na watu waliomtesa na kumnyanyasa kiasi cha kukosa pa kushitaki lakini cha ajabu Simbachawene unajifanya hujaona mateso ya huyu dada.
Ni lazima haki itendeke kwa Rose Muhando na watesi wake wote na watu walioko serikalini na jeshi la polisi waliowalinda watesi wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria.
Usijifanye hujayaona mahojiano, nakuwekea hapa.
Mungu awabariki!
Rose Muhando akihojiwa na wasafi TV alitoa tuhuma nzito kwa jeshi la polisi na serikali kushirikiana na watu waliomtesa na kumnyanyasa kiasi cha kukosa pa kushitaki lakini cha ajabu Simbachawene unajifanya hujaona mateso ya huyu dada.
Ni lazima haki itendeke kwa Rose Muhando na watesi wake wote na watu walioko serikalini na jeshi la polisi waliowalinda watesi wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria.
Usijifanye hujayaona mahojiano, nakuwekea hapa.
Mungu awabariki!