Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

Sina muda wa Kubishana na watu wenye akili ndogo.
Mimi silipwi posho na Lumumba wala siko hapa kutetea ujingaujinga.
Kama unabisha kamuulize bosi wako Nape kuwa mimi ni nani ndio utanijua vizuri.

*Narudia tena siungi mkono kabisa siasa za kiuwendawazimu zinafanywa sasa na chama changu cha CCM kupitia baadhi ya viongozi wake wa sasa.
Hiyo Lumumba naikumbuka ukiitaja wewe; kwa elimu yangu Nape hawezi kuwa bosi wangu hata siku moja; wachilia Nape hata bosi wake Nape; watu wenye njaa kama wewe hawaniumizi na wala hawataniumiza kichwa; mimi nipo saaafi kimaisha namshukuru sana Mungu; wewe ni mtu wa kutegemea viposho mtaa wa Togo
; njaaa yako tafuta pa kuupeleka.

Chama
Gongo la mboto DSM



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Duuu! Yani mtela mwampamba kweli ana akili ndogo yani unahujumu harakati kisa eti umehaidiwa ualimu? Lol..... Njaa mbaya sana
 
Duuu! Yani mtela mwampamba kweli ana akili ndogo yani unahujumu harakati kisa eti umehaidiwa ualimu? Lol..... Njaa mbaya sana

haa haaa .... atawahujumu na wanafunzi huyu?

hafai kufanya kazi za wito
 
Huu ni upuuzi wa kupuuzwa! Tangu lini wewe unione nina mwelekeo? After all viazi kama wewe na mwenzako chama hamnipi shida

mtu mwenyewe umeshajiita Mzito Kabwela kweli mimi chama nipoteze muda wangu kujibizana na Kabwela? Ni afadhali mara 1000 nikibizana na pimbi labda atakuwa na mwelekeo; wewe toka povu la mdomo; chadema ikulu ni nyumba ya mkwe mtaisoma kwenye magazeti; sisi tunamwaga sera kwa vitendo; shukuru JF unapata hata muda wa kujibizana na chama mkulima kama wewe tungekutana wapi? Dar unaishi kwa ufadhili mjomba; hivi kwa akili zako hiyo Bavicha is kutakuwa kuna wafu; manaake sioni kitu kwenye ubongo wako; njaa imekutawala mpaka chai mtaa wa Togo!!

Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kilichoandikwa hapo kina ukweli 100%, mimi ni mwanaCCM(Niko kwenye system) ninajua huo mpango vizuri sana, kama mtu haamini basi ajipe muda kidogo ataona matokeo ya hicho kikao muda si mrefu.

Sisi tunaamua kuvujisha hizo siri kwa kuwa hatuungi mkono siasa za kijinga na kiwendawazimu zinazofanywa na baadhi ya viongozi wetu waandamizi wa CCM wa sasa. Tupambane na CHADEMA kwa hoja bora za kisiasa na sio kwa siasa chafu za kuvuruga taifa letu.


God Bless you son or daughter of my motherland! Nashukuru kujulishwa kuwa bado mpo watu wa aina hii katika CCM. Ukombozi wa nchi yetu kwa amani utaletwa na watu wa aina yako, na aina ya kina Dr. Slaa, Kina Edwin Mtei na wengine kwa maelfu ambao tuna historia fulani ya mahusiano na CCM lakini tumepata maono ya ukombozi wa Taifa letu kwa njia mbadala. Nililipia kadi yangu ya CCM kwa mara ya mwisho 1985. Sijajutia hata siku moja kuhamisha alegiance. Endelea kuweka msaada wako hadi ukombozi wa taifa letu ufanikiwe KWA AMANI. This is what I am praying for: A peaceful transition to a new administration.
 
Kwa nini watanzania wanaogopa sana mabadiliko?Are we afraid to think?why always magamba?Uoga ni dhambi,Hata kama Magamba wakiondoka kesho madarakani life has to go on,the sun will rise as usual and nothing will stand still just because MAGAMBA are not there.
 
Duuu! Yani mtela mwampamba kweli ana akili ndogo yani unahujumu harakati kisa eti umehaidiwa ualimu? Lol..... Njaa mbaya sana

Mkuu Shardcole yaani njaa inamuondolea mtu utu wake kabisa.Huyu Mtela Mwampamba naona kaahidiwa ualimu wa S/Msingi kwa sababu hafai kuwa hata mwl wa sekondari.
 
Last edited by a moderator:
Usipersonalize ishu we taahira! Turudi kwenye hoja yako mwenyewe. Kama hoja ya kuanzisha gazeti imekushinda subiri chai ya babako wa kambo unywe ukacheze! We ndondocha nini??

Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko kwa bootlicker and chauvinist kama wewe kuelewa maana ya kukubali kutokubaliana katika siasa.

Watu dunce kama wewe ndiyo mnaziba nafasi za watu ndani ya chama ambao ni sophisticated brain kukisukuma chama beyond your myopic intellect.

Count yourself lucky kwa kupewa office ukiwa na umaskini wa fikra beyond genius imagination.

Keep on spitting your nonsense.

I'm out and I'll be back
 
Mkuu Shardcole yaani njaa inamuondolea mtu utu wake kabisa.Huyu Mtela Mwampamba naona kaahidiwa ualimu wa S/Msingi kwa sababu hafai kuwa hata mwl wa sekondari.
Daaaah Molemo upo nilikuwa niwasiliana na ASHA Dii na waondoe ban; mkuu ile kesi ya kuchonga vipi?
Chama
Gongo la mboto DSM


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
HAPA NDIPO NINAPOLIKUMBUKA MwanaHALISI KWA KUWEKA MAMBO HADHARANI BILA KUFICHA JINA LA MTU R.I.P MwanaHALISI
 
kama nyie mnaakili na demokrasia hao akina mamuya na saanane mbona mmewaacha??? hakika hamtachukua kamwe madaraka ya nchi hii

We jamaa ni chizi,ameuliza pesa za kukaa HOTELINI siku zote wanatoa wapi?we unajibu MAMUYA na SAANANE!Ndo wanawapa fedha?huna akili,wakati mwingine kama huna hoja katika jambo unakaa kimya kama sisi wengine,huigi kwa magamba wenzio?chizi.
 
Mkuu Ritz
Chadema badala ya kumaliza matatizo yao wanakimbilia habari za kutunga kama hii; ni mtu pimbi ndiye atakayekubaliana na hili.

Chama
Gongo la mboto DSM

Magamba kazini
 
heri yako unyonywae na rostam,Mashabiki wa magamba vichwa vyenu.........mnaliwa ila hamjui kama mwaliwa.
mbona hakuna anayejibu kuhusu hela alizochukua babu,,, pili mbona kile chumba chenu mlichogeuza ofisi pale kinondoni hamuami leo mnawabagua wenzenu kwa kuwaita masalia mnasalitiana ninyi kwa ninyi mkiingia ikulu si mtatubagua sie wa zone nyingine???
 
We jamaa ni chizi,ameuliza pesa za kukaa HOTELINI siku zote wanatoa wapi?we unajibu MAMUYA na SAANANE!Ndo wanawapa fedha?huna akili,wakati mwingine kama huna hoja katika jambo unakaa kimya kama sisi wengine,huigi kwa magamba wenzio?chizi.
bwa mdogo usinitukane,,,,, hela za kukaa hotelini wao kwani hawana kipato?? hv hawala wa babu anacheo gan cdm mbn anagharimiwa na chama ilhali watu kama akina shonza viongozi wanatengwa hahaha cdm you are at a loosing batle
 
Nimekuambia nenda kamshauri babako au kama hayupo hata baba wa kufikia mshauri uende nae kwa msajili wa magazeti msajili lenu. We unaona gazeti kuexist ni rahisi kama kuosha masaburi?! Nyambaf!
hilo gazeti lata exist vp wakati kuna tz daima?? mkuu akale wapi?? nimeshangazwa kusikia suala la redio ya chama linashughulikiwa na mama mbowe na mshumbusi hv CDM inaendeshwa kitaasisi au ni genge la kiukoo???
 
mbona hakuna anayejibu kuhusu hela alizochukua babu,,, pili mbona kile chumba chenu mlichogeuza ofisi pale kinondoni hamuami leo mnawabagua wenzenu kwa kuwaita masalia mnasalitiana ninyi kwa ninyi mkiingia ikulu si mtatubagua sie wa zone nyingine???
Hi single hailipi wenzenu wakisema kuna wizi wa EPA wanakuwa na nyaraka za kuthibitisha ,tumesema lete bank statement inayoonyesha milioni 140 zimetolewa na hazina matumizi

Kama ni Kibabu kachukua thibitisha alichukua wapi kwenye safe,bank, au alikabidhiwa na nani wapi alikochukua kwa sababu hatukuzaliwa na kuku tunajua mfumo wa matunzo ya fedha kwenye taasisi

Tulikuambia tueleze kama Kibabu ndie anaenda dirishani benk kuchukua fedha na kwamba anaenda nazo nyumbani
Tatizo MACCM ni kama mumechomekwa majiti kwenye nini sijui kama alivyofanyiwa Gaddafi kwa sababu you dont think
Kilichowashindwa na munavyoonekana mumechoka kiakili na kimkakati ni pale munapokuja na propaganda munayojua itawaongezea credit za kisiasa chadema hivi nyie political strategist wenu ndio akina KInana wezi na wasafirishaji wa Tembo ndio munadhani munaweza kumpaka matope KIbabu bila uthibitisho hatuendi hivyo bwana
 
utaishia kusema majini huo ndo ukweli mnanyonywa tu damu yenu na chadema

Kilaza mwingine huyu,
kati ya CDM na CCM nani mnyonyaji?huto tu posho mnatopewa Lumumba hatuwasaidii zaidi ya kutuliza njaa zenu.
 
hilo gazeti lata exist vp wakati kuna tz daima?? mkuu akale wapi?? nimeshangazwa kusikia suala la redio ya chama linashughulikiwa na mama mbowe na mshumbusi hv CDM inaendeshwa kitaasisi au ni genge la kiukoo???
Unawapa tuu kazi MOds kujua kwamba tunajadili na mtoto anayenyonya kwa mama yake,Mushumbusi anaendeshaje chadema, unadhani chadema ni sawa na CCM ambayo Jakaya KIkwete kama sultani na mwanawe Ridhiwani na mkewe Salma ndio wanaopanga nini kifanyike CCM ,Usithubutu kulinganisha CCM na chadema wakati CC ya CCM ni ya Baba Mama na Watoto chadema uliona wapi hiyo umemuona wapi Dr Mtei mke wa mbowe akiwa kwenye active politics,Mkwe wa Mbowe aliyeanzisha chama baada ya muda ameretire amebaki mzee wa chama acha hizo bwana
 
Back
Top Bottom