Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

kama nyie mnaakili na demokrasia hao akina mamuya na saanane mbona mmewaacha??? hakika hamtachukua kamwe madaraka ya nchi hii

Naona umejiunga JF juzi juzi tu. Karibu jukwaani. Ulishazungumza na marehemu Sheikh Yahya akakuarifu kuwa Chadema kamwe haitachukua madaraka?
 
Hapana. Mbowe hajazima mikakati ya kuanzisha gazeti la chama. Tatizo ni upatikanaji wa leseni hasa pale CCM itakapong'amua kuwa waombaji wanahusiana na Chadema.

Mkuu Jasusi
Mbona unajishusha kiasi hiki? wewe ndiye ninayekutegemea kwenye mambo ya kimataifa kwa upeo wako maana kuna wakati napata tabu kuwaelewa wetu wenye mitizamo finyu kama Mwita Maranya mtu ambaye amegoma kabisa kufikiria nje ya Segerea; hivi hii sababu ya uliyoitoa inakuingia akilini? Na ofisi pia mtazingiziwa mmenyimwa kibali cha kujenga? Hivi kila kwenye udahifu wenu tatizo ni CCM? Jaribu kukubali ukweli Chadema kuna macomedian ndiyo maana mambo hayaendi sawa.

Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
katika hili wenyewe watasifia gazeti kwamba lina weledi,unacheza na mahaba ya cdm kwa gazeti lao?wao kila cha tanzania daima ni chema hata kiwe ni cha upuuzi uliopitiliza kama habari hii.

Wewe nani amekukataza kusoma Uhuru? Gazeti la chama chenu?
 
Mkuu Jasusi
Mbona unajishusha kiasi hiki? wewe ndiye ninayekutegemea kwenye mambo ya kimataifa kwa upeo wako maana kuna wakati napata tabu kuwaelewa wetu wenye mitizamo finyu kama Mwita Maranya mtu ambaye amegoma kabisa kufikiria nje ya Segerea; hivi hii sababu ya uliyoitoa inakuingia akilini? Na ofisi pia mtazingiziwa mmenyimwa kibali cha kujenga? Hivi kila kwenye udahifu wenu tatizo ni CCM? Jaribu kukubali ukweli Chadema kuna macomedian ndiyo maana mambo hayaendi sawa.

Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz

Chama,
I know what I am talking about. Kuhusu radio at least leseni imeshapatikana.
 
Hapana. Mbowe hajazima mikakati ya kuanzisha gazeti la chama. Tatizo ni upatikanaji wa leseni hasa pale CCM itakapong'amua kuwa waombaji wanahusiana na Chadema.

Mkuu achana na habari za mitaani mbona Tanzania Daima wamepewa leseni.

Dr Slaa angenyimwa leseni tungemsikia anavyolalamika.

Chadema wanasema wanataka kuanzisha TV kwa hiyo leseni ya TV wanayo leseni gazeti wamenyimwa na CCM.

Na kujenga jengo la chama wizara ya ardhi imewanyima kibali.
 
Mabingwa wa porojo JF hawa halafu ndiyo tegemeo la Chadema kuchukuwa dola 2015 duniani kuna vituko.

Mkuu Ritz
Dola wataichukua ya kimarekani watachagua wenyewe kama 1; 5; 10; 20 au 100 dola la watanzania lina wenyewe tuongozwe na machizi? Muda huo bado

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,

Hawa Chadema wanaangaika tu wakati wachawi wa Bavicha ni uongozi wa Bavicha.

Nani ataangaika na Bavicha wakati inakufa kifo cha kawaida.

Ritz tuongee kama wapelelezi kidogo ukipita facebook tanuru la fikra na sehemu nyingine fuatilia post za mwigulu nchemba,hamis kihangwala toka sakata hili limeanza mwanzo walikua wanawapa support vijana sasa baada ya chama kuwafukuza inawauma ninin vitu visivyo wahusu vya chama kingine.

Juzi mwigulu anasema katibu mwenezi wa kata ya saranga kahamia ccm wakati bado yupo chadema sana ni nini hiki.

Hawa vijana niliwatetea mwanzo lakini nimegundua ni wapuuzi na wajinga.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu achana na habari za mitaani mbona Tanzania Daima wamepewa leseni.

Dr Slaa angenyimwa leseni tungemsikia anavyolalamika.

Chadema wanasema wanataka kuanzisha TV kwa hiyo leseni ya TV wanayo leseni gazeti wamenyimwa na CCM.
Unajua Tanzania Daima walipataje leseni? Unajua njia na mbinu alizotumia Mbowe kuipata hiyo leseni?
 
Chama,
I know what I am talking about. Kuhusu radio at least leseni imeshapatikana.
Jasusi
Nakufahamu sana achana na hizi porojo za JF upewe leseni ya radio unyimwe ya gazeti? Hao wanaokueleza hawasemi ukweli; naelekea the Jazz U street baadaye; angalia sana porojo za makamanda nyingine wanashindwa tu kukubali kama wao ni wasanii.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Unajua Tanzania Daima walipataje leseni? Unajua njia na mbinu alizotumia Mbowe kuipata hiyo leseni?

Mwambie basi Mbowe ayaseme hayo kwenye mikutano yenu ya M4C mbona mnasemea pembeni.
 
CDM watatue mgooro uliopo wasijiridhishe umeisha bila kutatuliwa.
 
Mbona ametajwa wasira,mwigulu,shigella ,huyo waziri ni nani,au ndo uandishi wa propaganda ????mhariri funguka,au na yenyewe siri ya chama????
 
Mkuu chama,

Hawa Chadema wanaangaika tu wakati wachawi wa Bavicha ni uongozi wa Bavicha.

Nani ataangaika na Bavicha wakati inakufa kifo cha kawaida.

INASIKITISHA SANA, IVI HII NDO ILE CCM NILIYOIFAHAMU KWELI, LEO CCM KAZIDIWA KTK SIASA BADALA YA KUTIMIZA AHADI ZAO KWA WATZ, WANAANZA KUWATUMIA VIJANA WA CDM WENYE TAMAA PIA MASKINI KUISALITI CHADEMA, MMEWAARIBIA FUTURE AKINA MWAMBAPA, JULIANA, PIA HABIB MCHANGE UYU CHADEMA ILIMPAISHA UKAKARIBIA KUWA MBUNGE LEO UNAJIINGIZA KT SIASA MAJITAKA ZA CCM MATOKEO CDM KAKUTIMUA, UTAONA JIMBO LA KIBAHA TOWN KUBENEA ANALICHUKUA WEWE UNANDELEA KUITEGEMEA WALLET YA MWANAUME MWENZAKO, NYIE NDO MWISHOE MNALAWIWA, KWA MPANGO HUU CCM WASHAKUA RAHISI KUSHINDWA ONA AINA HII YA MAPAMBANo, CCM KWISHNEY
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Dola wataichukua ya kimarekani watachagua wenyewe kama 1; 5; 10; 20 au 100 dola la watanzania lina wenyewe tuongozwe na machizi? Muda huo bado

Chama
Gongo la mboto DSM

Siyo muda huo bado haupo kabisa. CCM itaondolewa na Watanzania wenyewe siku wakiichoka lakini siyo Chadema. Tanzania bado hatujapata chama cha upinzani makini ambacho kitawaunganisha Watanzania wote. Chadema ni chama cha kikanda hakina sifa ya kuingoza Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Mwambie basi Mbowe ayaseme hayo kwenye mikutano yenu ya M4C mbona mnasemea pembeni.

Ritz,
Kuna ya kuzungumza kwenye mikutano na kuna ya kuzungumza pembeni. Wewe unapokutana na Kikwete mazungumzo yenu mnayaweka hadharani? Hapana.
 
Ritz tuongee kama wapelelezi kidogo ukipita facebook tanuru la fikra na sehemu nyingine fuatilia post za mwigulu nchemba,hamis kihangwala toka sakata hili limeanza mwanzo walikua wanawapa support vijana sasa baada ya chama kuwafukuza inawauma ninin vitu visivyo wahusu vya chama kingine.

Juzi mwigulu anasema katibu mwenezi wa kata ya saranga kahamia ccm wakati bado yupo chadema sana ni nini hiki.

Hawa vijana niliwatetea mwanzo lakini nimegundua ni wapuuzi na wajinga.

FredKavishe,

Hivi kweli unaamini matatizo ya Bivicha yameletwa na Mwigulu Nchemba.

Kufukukwa hao vijana watatu mnaita masalia matatizo ndani ya Bavicha yatakuwa yameisha.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Kuna ya kuzungumza kwenye mikutano na kuna ya kuzungumza pembeni. Wewe unapokutana na Kikwete mazungumzo yenu mnayaweka hadharani? Hapana.

ha haa haaa! Kaka pumzika najua muda wa kulala huu.
 
utaishia kusema majini huo ndo ukweli mnanyonywa tu damu yenu na chadema

heri yako unyonywae na rostam,Mashabiki wa magamba vichwa vyenu.........mnaliwa ila hamjui kama mwaliwa.
 
Back
Top Bottom