sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
We ndugu mi nakuja kukukanyaga... si umesema "tukukanyage"..
Avatar gani hiyo ya kuomba tukukanyage??
Avatar gani hiyo ya kuomba tukukanyage??
sina dhiki ya kuishi kwa posho za lumumbaKilaza mwingine huyu,
kati ya CDM na CCM nani mnyonyaji?huto tu posho mnatopewa Lumumba hatuwasaidii zaidi ya kutuliza njaa zenu.
karibu tu ila ukimaliza na mimi nakukanyagaWe ndugu mi nakuja kukukanyaga... si umesema "tukukanyage"..
Avatar gani hiyo ya kuomba tukukanyage??
Hivi majini yanahusiana na dini fulani eeeeeh? Ipi hiyo?hayo majini unayokazania inaonesha ni jinsi gani ulivyo na udini
hahaha angalia hata unavyopata shida kuongea maana ukweli unakugugunaUnawapa tuu kazi MOds kujua kwamba tunajadili na mtoto anayenyonya kwa mama yake,Mushumbusi anaendeshaje chadema, unadhani chadema ni sawa na CCM ambayo Jakaya KIkwete kama sultani na mwanawe Ridhiwani na mkewe Salma ndio wanaopanga nini kifanyike CCM ,Usithubutu kulinganisha CCM na chadema wakati CC ya CCM ni ya Baba Mama na Watoto chadema uliona wapi hiyo umemuona wapi Dr Mtei mke wa mbowe akiwa kwenye active politics,Mkwe wa Mbowe aliyeanzisha chama baada ya muda ameretire amebaki mzee wa chama acha hizo bwana
yanayoinvestigate mnayafungia hata mimi ningekuwa mhariri nisingetaja.Kama gazeti limeweza kuyataja majina ya washiriki wengine kwa nini linapata kigugumizi kulitaja jina na naibu waziri au wizara anayoisimamia.
Huu unakuwa ni uandishi wa habari katika mazingira ya kufikilika na siyo katika habari kamilifu.
Haya ndiyo magazeti ya Tanzania. No investigative journalism. Udaku tupu.
Mtoto tu wewe mama mtoto analia anataka kunyonya huna hoja unajaza thread pasipo sababu kalale eeehhahaha angalia hata unavyopata shida kuongea maana ukweli unakuguguna
narudia tena mwambieni arudishe hzo mil. 140,,, then huo mshahara wa mil 7 wakati makatibu wa mikoa hawana hata sent anautoa wapi slaa ni mchumia tumbo tuHi single hailipi wenzenu wakisema kuna wizi wa EPA wanakuwa na nyaraka za kuthibitisha ,tumesema lete bank statement inayoonyesha milioni 140 zimetolewa na hazina matumizi
Kama ni Kibabu kachukua thibitisha alichukua wapi kwenye safe,bank, au alikabidhiwa na nani wapi alikochukua kwa sababu hatukuzaliwa na kuku tunajua mfumo wa matunzo ya fedha kwenye taasisi
Tulikuambia tueleze kama Kibabu ndie anaenda dirishani benk kuchukua fedha na kwamba anaenda nazo nyumbani
Tatizo MACCM ni kama mumechomekwa majiti kwenye nini sijui kama alivyofanyiwa Gaddafi kwa sababu you dont think
Kilichowashindwa na munavyoonekana mumechoka kiakili na kimkakati ni pale munapokuja na propaganda munayojua itawaongezea credit za kisiasa chadema hivi nyie political strategist wenu ndio akina KInana wezi na wasafirishaji wa Tembo ndio munadhani munaweza kumpaka matope KIbabu bila uthibitisho hatuendi hivyo bwana
hahaha babu kawashika kweli anafanya maovu kuliko ccm vijana mnambeba eti akiulizwa mnasema katumwa chadema hamna chama nyie jibuni hoja msiishie kurusha mashambulizi eboooMtoto tu wewe mama mtoto analia anataka kunyonya huna hoja unajaza thread pasipo sababu kalale eeeh
hilo gazeti lata exist vp wakati kuna tz daima?? mkuu akale wapi?? nimeshangazwa kusikia suala la redio ya chama linashughulikiwa na mama mbowe na mshumbusi hv CDM inaendeshwa kitaasisi au ni genge la kiukoo???
narudia tena mwambieni arudishe hzo mil. 140,,, then huo mshahara wa mil 7 wakati makatibu wa mikoa hawana hata sent anautoa wapi slaa ni mchumia tumbo tu
Kushabikia Chadema lazima uvute bangi
naona povu linakutoka jiulize kwa nini hela za M4C anazishikilia lema hahaha acha matusiKwani ulimpa wewe hizo hela?au ni umalaya wako wa vyama unakusumbua?