Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

Waziri mwingine aihujumu CHADEMA

Hapa anaongelewa Mlugo? Maana ndiye aliyetamba kutaka kulirudisha jimbo la mbeya mjini mikononi mwa CCM!

Umefika wakati CHADEMA itabidi wafanye kazi ya ziada katika kupanua huduma ya utoaji wa taarifa kwa jamii. Maana habari kama hizi kamwe haziwezi kuandikwa na magazeti ya mwananchi, wala habari leo. Sasa itawabidi CHADEMA wasiendelee kulitegemea gazeti la Tanzania daima tu, bali waangalie uwezekano wa kuwa na gazeti la chama, na pia kuwa na redio plus television ya chama.

Nashangaa sana ni kwa vipi CHADEMA wanashindwa kufanya hili. Kwa ruzuku wanayopata, wakijipanga vizuri wanaweza kabisa kuwa na hivi vitu. Kitendo cha kukosa vyombo vyake vya habari, kutaiwezesha CCM kusambaza propaganda zake kirahisi na kuuhadaa umma wa watanzania, matokeo yake tutajikuta na 2015, tunashindwa kuchukua nchi.

Mkuu,
Kwa Tanzania pesa kwanza huduma baadaye.

Hivi katika akili za kawaida unafikili Mwenyekiti wa CHADEMA atakubalina na idea ya kuanzisha gazeti lenye propoganda za CHADEMA ili lifanye competition na gazeti lake ambalo linafanya hiyo kazi.

Thubutu, it'll never happen under his chairmanship.
 
kweli unaitwa nikanyagwe hata kiingereza umeamua kukanyagakanyaga tu, siku nyingine andika great.
kwa taarifa yako great thinker huwa akurupuki kurupuki kama hapo juu.

kuna dictionary za kiswahili - english mitaani zitumie kupunguza ujinga, kama huna hela nitakusaidia

note: Jina linaumba

hiyo ni typing error tu mimi ni bingwa kwa taarifa yako sio nyie mnalipwa elf kumi kumi na akina babu kuwamaliza wenzenu
 
kama nyie mnaakili na demokrasia hao akina mamuya na saanane mbona mmewaacha??? hakika hamtachukua kamwe madaraka ya nchi hii

kAMA NYINYI HAMTUMII MASABURI KUFIKIRI, MBONA MMEWAACHA LOWASA NA CHENGE KUENDELEA KUPETA?!.. hAMRUDI MADARAKANI HATA KWA NGUVU YA POLISI.
 
Kama gazeti limeweza
kuyataja majina ya washiriki wengine kwa nini linapata kigugumizi
kulitaja jina na naibu waziri au wizara anayoisimamia.

Huu unakuwa ni uandishi wa habari katika mazingira ya kufikilika na siyo
katika habari kamilifu.

Haya ndiyo magazeti ya Tanzania. No investigative journalism. Udaku
tupu.

katika hili wenyewe watasifia gazeti kwamba lina weledi,unacheza na mahaba ya cdm kwa gazeti lao?wao kila cha tanzania daima ni chema hata kiwe ni cha upuuzi uliopitiliza kama habari hii.
 
kAMA NYINYI HAMTUMII MASABURI KUFIKIRI, MBONA MMEWAACHA LOWASA NA CHENGE KUENDELEA KUPETA?!.. hAMRUDI MADARAKANI HATA KWA NGUVU YA POLISI.
mwanamme wa shoka habishani kwa maneno matendo
 
katika hili wenyewe watasifia gazeti kwamba lina weledi,unacheza na mahaba ya cdm kwa gazeti lao?wao kila cha tanzania daima ni chema hata kiwe ni cha upuuzi uliopitiliza kama habari hii.
wanamfaidisha mbowe tu we angalia hawaanzishi gazeti hata office kujenga ni shida magari ya chama wanauziwa na mbowe
 
katika hili wenyewe watasifia gazeti kwamba lina weledi,unacheza na mahaba ya cdm kwa gazeti lao?wao kila cha tanzania daima ni chema hata kiwe ni cha upuuzi uliopitiliza kama habari hii.

Kwa kufanya hivyo hata hawaisadii tasnia ya habari hasa gazeti lenyewe kupata feedback inayotakikana kwa ustawi wa gazeti katika mazingira ya ushindani huku likisaidia jamii katika ustawi chanya kitaifa.

Kwa mtaji huu, Siyo ajabu ndiyo maana jamii inashindwa hata kutofautisha scholarly newspapers na sensational newspapers kwa sababu magazeti kama haya yaliyoingia kwenye soko yakijitangaza kama scholarly kwa sasa habari zao zinakuwa ni za udaku udaku tupu.
 
God preceeded, God proceeds. Money is northing but printed papers; Only that geting them is frictious. Anyway , masalia semeni muongezewe pesa muanze upya.
 
katika hili wenyewe watasifia gazeti kwamba lina weledi,unacheza na mahaba ya cdm kwa gazeti lao?wao kila cha tanzania daima ni chema hata kiwe ni cha upuuzi uliopitiliza kama habari hii.

Anzisha lako utaje hayo majina kwa uweledi. Afadhali hata huyo aliyetoa clue. We umekalia politiki unajiona bingwa wa kukosoa
 
kama nyie mnaakili na demokrasia hao akina mamuya na saanane mbona mmewaacha??? hakika hamtachukua kamwe madaraka ya nchi hii

Tumewaacha sababu ni wa ukanda wetu. Kilaza hata uelekezweje huelewi mwalimu wako alipata tabu kukufundisha hizo A, E, I, O, U
 
Amimu Augustino a.k.a Philip Mulugo mzee wa one nineteen sixty four ameamua kuingia katika huu mchezo mchafu? Akishughulikiwa atanyooka tu ngoja ajidanganye kidogo!
 
Mkuu Ritz
Chadema badala ya kumaliza matatizo yao wanakimbilia habari za kutunga kama hii; ni mtu pimbi ndiye atakayekubaliana na hili.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,

Hawa Chadema wanaangaika tu wakati wachawi wa Bavicha ni uongozi wa Bavicha.

Nani ataangaika na Bavicha wakati inakufa kifo cha kawaida.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,

Hawa Chadema wanaangaika tu wakati wachawi wa Bavicha ni uongozi wa Bavicha.

Nani ataangaika na Bavicha wakati inakufa kifo cha kawaida.

Mkuu Ritz
Chadema wanalaumu mke hapati ujauzito kumbe ugumba ni wao wenyewe; nani mwenye shughuli na Chadema wakati timu ya ushindi inamwaga sera!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Wameachwa wapi? Ukimaliza kuosha vyombo na kuogesha watoto tulia usome vizuri na kwa umakini tamko la kuwatimua akina Habiba Mchange uone kama utarudia kumwaga shuzi kama hili hapa jamvini

Kila kukicha naona unazidi kupoteza mwelekeo ueleweki unaandika nini.
 
Amimu Augustino a.k.a Philip Mulugo mzee wa one nineteen sixty four ameamua kuingia katika huu mchezo mchafu? Akishughulikiwa atanyooka tu ngoja ajidanganye kidogo!

Mkuu Mwita Maranya
Angalie usijegeuka chizi naona mambo mengi sana; malizia ya Serengeti kwanza hivi Chadema hamna mgawanyo wa kazi? Bado tunakuhitaji kijana wetu; wewe ni uzao wetu huu ulinao ni wazimu wa muda tu tiba yake tunayo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Ulitaka wauziwe na babako wa kambo?

Mku chama,

Hebu msome huyu kiongozi wa Bavicha, kuna kiongozi kweli hapa.

Hawa hawa siku ya uchaguzi wakishindwa wanakuambia usalama wa taifa wameiba kura.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Tanzania Daima ni gazeti la Chadema au la Mwanachadema?
Mbowe mjanja sana Kazima mikakati ya Kuanzisha Gazeti la chama na sasa Gazeti lake linatumiwa na chama kwenye Propaganda but Faida yote inakwenda Free Media( kwa mbowe) hizo ni habari za kushtua 'makamanda' wanunuwe gazeti kwa wingi kumbe wanatunisha mfuko wa Dj! Kapu la mjanja anaetia mkono ni Mwerevu pekee!

Hapana. Mbowe hajazima mikakati ya kuanzisha gazeti la chama. Tatizo ni upatikanaji wa leseni hasa pale CCM itakapong'amua kuwa waombaji wanahusiana na Chadema.
 
Mku chama,

Hebu msome huyu kiongozi wa Bavicha, kuna kiongozi kweli hapa.

Hawa hawa siku ya uchaguzi wakishindwa wanakuambia usalama wa taifa wameiba kura.

Mkuu Ritz
Mzito Kabwela naye ni kiongozi? kweli kuna watu wanahasara utakubali vipi kuongozwa na mfu?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom