Wweed
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 255
- 42
Siyo muda huo bado haupo kabisa. CCM itaondolewa na Watanzania wenyewe siku wakiichoka lakini siyo Chadema. Tanzania bado hatujapata chama cha upinzani makini ambacho kitawaunganisha Watanzania wote. Chadema ni chama cha kikanda hakina sifa ya kuingoza Tanzania.
Huna ujuacho wewe,ka-muulize mkuu wako KILAZA aka DHAIFU na chama chake wanakiogopa chama gani?,na wewe binafsi unatumikishwa kupambana na chama gani humu jf?,mnatamani hata leo CDM isambaratike lakini mmefeli.mtalala sana makaburini lakini gamba halita watoka.