mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,220
- 6,503
Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali
Nop yaani ndani ya kipindi cha miezi 9 amekopa zaidi ya 10% ya fedha yote ya mkopo tokea awamu ya kwanza