Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Sera za uwekezaji mbovu ..Nani atakuja kuwekeza mamilioni ya Dola hapa?
Mnaita wawekezaji Kwa mdomo ...umeona wapi!
Mnaita wawekezaji Kwa mdomo ...umeona wapi!
mwishowe ile nchi maskini tuliyoisaidia juzi nineties imekuwa tajiri na muha anapanua bakuli katiba mpya hapana corona uchumi x12 shameeeeeWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Tatizo wanapenda kuropoka ropoka ili magazeti yawaandike.Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Shida ni moja tu TRA,gari tutanunua bei chee Kodi tutalipa mara tatu ya bei ya gari,hii ndio bongo sasaWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Kuna siku Rwanda watatuuzia mchanga wa bahari ya Hindi.Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
PumbafuWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Kwaiyo kiwanda cha nyumbu tukifungeAise kwani si tulikuwa na mpango wa kuwa na kiwanda cha kuunda magari na sisi. Ni kwamba ni gharama sana au. Nchi hii yaani waziri mzima anaona raha kuagiza gari kutoka Rwanda wakati tungeweza na sisi unda ya kwetu tukatumia ya nyumbani. Anyway Mungu anihurumie. Tuna viongozi wa ajabu sana yaani
Hatuna shida ya kununua magari kutoka Rwanda, hata kutoka Japan na kwingineko bei ni ndogo tunaweza tatizo kodi za ajabu bandarini.
Labda tuanzisha kiwanda hapa
Hatuwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja, na tuna priority zetu kwa sasa, miradi mikubwa ya maendeleo ambayo inakaribia kumalizika. Ikimalizika hiyo miradi, hatuendi kulala kitandani, tutafanya vingine tena na tayari vitakuwa vipo kwenye schedule, Mimi sivijui ila naamimi Mama pamoja na watu wake watakuwa wanavijua.Tanzania shamba la bibi, Rwanda inatushidaje....kwann wao waweze?
Ajabu kabisa, wao wameona fursa ambayo sisi wenye dhahabu tunaichezea. Sera mbovu, Kodi kubwa!Rwanda kua na mitambo ya kuchenjulia madini wkt hawana madini Ni kitu Cha ajabu?
Yaani niache kuagiza japan ambako logistics zinakubali niagize rwanda? Bei nayo ikojeWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Sio lazima kila nchi kuwa na viwanda vya magari,acha ujingaNonsense, nilijua wanaleta kiwanda hapa TZ
Nonsense, nilijua wanaleta kiwanda hapa TZ
NonsenseSio lazima kila nchi kuwa na viwanda vya magari,acha ujinga