Waziri Mulamula: Tanzania kuanza kununua magari Rwanda

Mkuu, hii sijajua maana wakati huo nilikuwa naishi Congo lakini hata kama ilikua hivo hivo viwanda havikuwa na maana na ndio mana vilikufa sababu moja wapo ni kwamba huruhusiwi kununua gari mpaka upewe kibali na ikulu
Unaweza kupitia youtube um search mzee mmoja anaitwa Hashim Rungwe spunda, ameeleza Historia ya umiliki na uagizaji wa magari Tz enzi za Nyerere mpaka Mwinyi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu mpaka kibali toka huko na kipate Baraka toka wilaya, mkoa ndiyo huko, kijana kusafiri nje uweke bond ya 30000.00 mshahara 400.00 au 560. 00 BOND YA 30000.00 UTAIWEZA?
 
Huu Sasa usengehh mniwie radhi wakuu! Yaani hako ka kitongoji katuuzie magari na huyu Bibi kakubali badala na yeye atafute wawekezaji?

Ndiyo kufungua nchi Huku?
Huyu mama hakupaswa kuwa hata naibu waziri kabisa!
 
Si mnajenga SGR yenu na itafika, Rwanda, Burundi na bandari yetu inategemea mizigo ya Rwanda, Burundi, Congo na Uganda. Nyie mnataka mfanye biashara nyie tu? Hii ni two way traffic lazima sisi wenyewe waafrika tuungishane. Hapo kibaha Kuna malori ya kichina yanaundwa/ kuunganishwa mnadhani soko litapatikana wapi? Mazao yenu mnauza wapi, Azania, Mo na Bakhresa huko Rwanda, Burundi na Congo ndiyo masoko yao makubwa. Lazima na sisi tununua toka kwao ili tuwe na biashara endelevu.
Wakati wa Magu huyu kagame alinunua advance Radar kabla ya sisi akaifunga kwao halafu akaomba kibali kwenye mamlaka ya anga ya Africa acontrol anga letu lote kwa kuongoza ndege kwa niaba yetu, zile radar zinasoma mpaka Dodoma. Magu akaona ujinga huu akanunua za kwetu na kuzifunga, bila hivyo tungekula tunawalipa Rwanda kutuongozea ndege. Kingine amejenga mtambo mkubwa wa kuchenjua Madini wakati sisi bado hatuna, Magu akahimiza wawekezaji mpaka wamejenga. Kagame alitegemea kupata Madini yetu yakasafisbwe huko. Ndiyo maana uhusiano wao haikuwa mzuri Sana hapa mwishoni.
Hivi Dubai Wana madini?

Kwanini Wana mtambo wa kuchenjulia madini?

Wao wanatemeaa kupata madini kutoka wapi kwa ajili ya hizo mitambo yao?
 
Kweli JPM alikuwa kiboko, hawa watu sijui huwa wanapewa vipi hizi position, badala ya kuhamasisha high tech hapa nyumbani, mavyuo yanamwaga mechanical engineer lukuki wakiwemo automobile engineering, toka miaka ya 60 leo 2021 lakini hakuna hata bodaboda inayotengenezwa hapa bongo, siasa mbele kwa mbele
NCHI HII IMELAANIWA..!
Wakati Rwanda wako busy wanatengeneza magari, sisi Tanzania viongozi wanawaza jinsi ya kudhibiti Chadema, kukamata na kubambikia wapinzani kesi, na kuvamia vikao vya ndani ya vyama.
Aibu kubwa sana
 
Tanzania shamba la bibi, Rwanda inatushidaje....kwann wao waweze?
Watanganyika wanaishi kwa unafiki mkubwa, Magufuri alinunua ndege tu,kisa kwanini Nchi ndogo kama Rwanda ituzidi, matusi mpaka leo anatukanwa akiwa kabulini,mfn Samia naye ahanzishe kiwanda cha magari,utasikia kiwanda kinamsaidiaje bibi kijijini, mala ho unajengaje kiwanda wakati watoto bado wanakaa chini,mala ho ospitali azina dawa,Kweli kuongoza watu kama unamsimamo wako unaweza maliza hata miaka 5 haujafanya kitu,Kitu ambacho nilikuwa nampendea Magufuri alikuwa asiklizi makelele ya watu.
 
Bange Ni mbaya sana,Rwanda wanaimport bidhaa zenye thamani ya zaidi ya $500mil kutoka Tz kwa mwaka huku nasi tuki import vitu vyenye thamani ya zaidi $250mil kutoka Rwanda.
Unafikiri Wanapenda Muwazidi. Sasa Tutafika Wanakotaka Wao. Subiri uje uone Rwanda wanaExport 700mil Halafu ww upo Kwenye 500 yako
 
Toyota ilikuwa waweke kiwanda cha kuunganisha magari yao Tanzania kutokana na mipango iliyowekwa na awamu ya 5. Alupoingia kivuruge, kila kitu kikayeyuka. Na huyu wa sasa, na hizi keso za kubambikiza, tusahau kila kitu maana kanuni inatuambia kuwa mwongo hawi mwongo kwa jambo moja.

"Nitalinda demokrasia, na hakiza watu", .... Halafu, "mkamateni huyo Mbowe, mpeni kesi yoyote maana naona wananidharau kwa kuwa mimi ni mwanamke"

"Sitaki kodi za dhuluma. Wawekezaji waje wawekeze. Tutalinda mitaji yao" .... Halafu ????? (Hakuna ajuaye).
Kwani Rwanda kwa Kagame kuna democlasia gani,mbona watu wamewekeza huko? democlasia inachelewesha maendeleo tu, Mwekezaji anaangalia usalama wa mali yake Kwanza,kama sihivo Marekani isingekwenda kuwekeza China, ambapo neno democlasia ni kama matusi kwao
 
Hivi Dubai Wana madini?

Kwanini Wana mtambo wa kuchenjulia madini?

Wao wanatemeaa kupata madini kutoka wapi kwa ajili ya hizo mitambo yao?
Nyie mna Madini lkn hamna Sera nzuri za Madini. Kabla ya Magu kuruhusu masoko ya Madini, kwa wachimbaji na wachuuzi wa Madini hawakuwa na soko la uhakika la Madini hivyo kufanya walanguzi kunufaika zaidi. Unapouza kwa mlanguzi hukatwi Kodi. Unapoenda uza kwenye haya masoko rasmi unakatwa Kodi mpaka unashangaa. Hiyo Sasa ndio inafanya nchi km Dubai kunufaika kwa wafanyabiashara kukwepa kuuza hapa nchini kwa sababu ya Kodi nyingi unazokatwa. Wengi wanatorosha mzigo na kwenda kuuza nchi km Dubai ambako wanapata Bei nzuri na hawakatwi Kodi
 
Tunatoa Pesa Zetu Tunapeleka Nje. Hatujaona Maelezo ya Sisi Kuwapeleka Bidhaa kwao. Sisi Tunapeleka Nn Rwanda Kama Tutaenda Nunua Magari Kwao
Kwa hiyo hivi Sasa haya magari , mashine n.k , tunanunua au tunagaiwa ? Je kuna tofauti ya kununua Japan 🗾 na Rwanda ? Hilo la kwetu kupeleka BIASHARA linazungumzika ! Ila je tunachangamkia soko au tunakalia politiki (tunapiga soga tu)? Soko la Afrika Mashariki lipo, Sadc pia lipo.... Tushindwe Sisi wenyewe tu !!! Kwa ufahamu wangu , kama nimekosea sehemu nijuze zaidi. Ahsante.
 
Nyie mna Madini lkn hamna Sera nzuri za Madini. Kabla ya Magu kuruhusu masoko ya Madini, kwa wachimbaji na wachuuzi wa Madini hawakuwa na soko la uhakika la Madini hivyo kufanya walanguzi kunufaika zaidi. Unapouza kwa mlanguzi hukatwi Kodi. Unapoenda uza kwenye haya masoko rasmi unakatwa Kodi mpaka unashangaa. Hiyo Sasa ndio inafanya nchi km Dubai kunufaika kwa wafanyabiashara kukwepa kuuza hapa nchini kwa sababu ya Kodi nyingi unazokatwa. Wengi wanatorosha mzigo na kwenda kuuza nchi km Dubai ambako wanapata Bei nzuri na hawakatwi Kodi
Rwanda kua na mitambo ya kuchenjulia madini wkt hawana madini Ni kitu Cha ajabu?
 
Kwani Rwanda kwa Kagame kuna democlasia gani,mbona watu wamewekeza huko? democlasia inachelewesha maendeleo tu, Mwekezaji anaangalia usalama wa mali yake Kwanza,kama sihivo Marekani isingekwenda kuwekeza China, ambapo neno democlasia ni kama matusi kwao
Sasa wawekezaji wenyewe watakujaje wkt tunatangaza nchi Ina magaidi?
 
Huu Sasa usengehh mniwie radhi wakuu! Yaani hako ka kitongoji katuuzie magari na huyu Bibi kakubali badala na yeye atafute wawekezaji?

Ndiyo kufungua nchi Huku?
Huyu mama hakupaswa kuwa hata naibu waziri kabisa!
Yani kwa kifupi ccm haifai. Ametoka mbovu ameingia mbovu zaidi
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom