wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,556
Hujakosea mtoto mzuri,haya choresha 7 pale.Kapimwe akili upatiwe msaada, una tatizo kubwa la akili kuliko nilivyofikiria
Hujakosea mtoto mzuri,haya choresha 7 pale.Kapimwe akili upatiwe msaada, una tatizo kubwa la akili kuliko nilivyofikiria
Matusi ya kitoto na ya watu wasio na akili timamu.Hujakosea mtoto mzuri,haya choresha 7 pale.
Sawasawa mke wangu,tangulia gefero.Matusi ya kitoto na ya watu wasio na akili timamu.
Huyu alikuwa muuwaji. Ikibidi afe tena huko alikoTanzania ilipoteza Rais tarehe 17 March 2021
Aangalie kuanzia "upeo" wa rais pamoja na cabinet yote then ajiulize swali lake.Angalia "upeo" wa wateuliwa wa Rais kuanzia maDED wa juzi alafu ujiulize tena swali lako!!
Jiulize kama ulishawaona watu 4 unaowafahamu ambao wamenunua gari MPYA...yaani kutoka kwa wakala wa kampuni husika ya gari sio "befoward"nk.Watanzania tuache wivu za kijinga kwanini tununue Japan au German wakati magari yapo Rwanda!
This is a crappy and it will never materialize. Siasa tu hizo za kufurahisha mediaWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Nairobi Kenya ndio Pioneer wa VW east africa na kushafufuliwa now kinapiga kazi.Sio lazima kiletwe mkuu, hakuwezikuwa na viwanda vya vw karibu hivi. Cha msingi wasiweke ma kodi yao ya hovyo tu maana member wanaonunua magari wanadai kodi ipo juu mno
Point hapo ni imelaaniwa tuNaweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.
#MaendeleoHayanaChama
Mbona Tz tuna assemblies za magari makubwa?Tanzania shamba la bibi, Rwanda inatushidaje....kwann wao waweze?
Unauza wapi?Mbona Tz tuna assemblies za magari makubwa?
tz ilipoteza muuaji, mubadikia watu kesi bandia za uhujumu uchumi, yule alikuwa GAIDI wala sio raisiTanzania ilipoteza Rais tarehe 17 March 2021
Tanzania tuna (tulikuwa) rais wa ovyo haijawahi kutokea (by T.A.M.L)Tanzania ilipoteza Rais tarehe 17 March 2021
Sitaki kodi za dhulma then unaanzisha tozo inayowakandamiza raiaToyota ilikuwa waweke kiwanda cha kuunganisha magari yao Tanzania kutokana na mipango iliyowekwa na awamu ya 5. Alupoingia kivuruge, kila kitu kikayeyuka. Na huyu wa sasa, na hizi keso za kubambikiza, tusahau kila kitu maana kanuni inatuambia kuwa mwongo hawi mwongo kwa jambo moja.
"Nitalinda demokrasia, na hakiza watu", .... Halafu, "mkamateni huyo Mbowe, mpeni kesi yoyote maana naona wananidharau kwa kuwa mimi ni mwanamke"
"Sitaki kodi za dhuluma. Wawekezaji waje wawekeze. Tutalinda mitaji yao" .... Halafu ????? (Hakuna ajuaye).
Safi sana na tusione Aibu pia hata ikiwezekana 'Kukopa' na Akili kubwa za ( walizonazo ) Wanyarwanda ili zisaidie kuwafanya Watanzania wengi ( japo siyo Wote ) wajue Kufikiri na Kuiletea nchi yao Maendeleo makubwa na waachane na tabia za Majungu, Fitina, Chuki, Wivu na Uswahili ambazo ndizo zinawachelewesha kufikia kule ambako Rwanda ipo kwa sasa au inapoelekea.Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.