Waziri Mulamula: Tanzania kuanza kununua magari Rwanda

Gauni kubwa na soksi za nailoni wamekuvisha sawa sawa umewekwa uchi na kanchi population yake kama Dar es salaam.


Yaani sisi wa kwenda kujifunza RWANDA wakati huyo MKULU wao katoka MONDULI tumemtrain wenyewe.
 
Hapa bongo wakati wa jk kulikuwa na mpango wa kuwa na kiwanda cha Honda sijui mpango uloishia wapi,ni viumbe wa kurukia sana mambo.
 
Safi sana. Hata mafuta ya petrol na diesel tununue huko maana ni bei nafuu kuliko huku bongo
Hahahahhah next time uwe unani-mention Mpwa at least nipunguze stress. Kutoka serikali ya Viwanda hadi serikali ya VW (V-Wonder)
 
Safi sana. Hata mafuta ya petrol na diesel tununue huko maana ni bei nafuu kuliko huku bongo
Hahahahhah next time uwe unani-mention Mpwa at least nipunguze stress. Kutoka serikali ya Viwanda hadi serikali ya VW (V-Wonder)
 
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW

Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.

Haya ndiyo mambo.....

Ninaunga mkono HOJA.....

Ni lazima tuinuane.......ni jukumu letu TUINUE CHUMI ZA NCHI ZETU.....

#SiempreTanzania
 
Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.

#MaendeleoHayanaChama
Unaishi na "laana" zako kisiwani?!!

Hutaki kushirikiana na majirani kuinua chumi zetu ?!!

Khaaa 😲😲
 
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW

Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.


Hivi kweli Tanzania ni ya kununua magari kutoka Rwanda. Nchi ambayo haina kitu na imepitia kipindi kigumu cha vita kuliko maelezo. Leo hii viongozi wanaongea bila hata kuona aibu kwamba "Tutanunua magari kutoka Rwanda, badala ya kusema tunaanza utaratibu wa kutengeneza magari bora Tanzania kwa soko la Africa!. Hii ni nini?
 
Didn't know she was crying
Until now as she turns
To look at me
She said boy o' boy
You bring tears to my eyes
I said what, she said
Boy o' boy you bring tears to my eyes
Bob Marley said
How long shall they kill our Prophets
While we stand aside and look
But little did he know that
Eventually the enemy will stand aside and look
While we slash and kill our own brothers
Knowing that already
They are the victims of the situation
Still licking wounds from brutality
Still licking wounds
From humiliation
She said these words and the wrinkles on her face became perfect trails for the tears and she said
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
She took me outside in the church yard
Showed me graves on the ground and she said
There lies a man who fought for equality
There lies a boy who died in the struggle
Can all these heroes
Die in vain
While we slash and kill our own brothers
Knowing that already
They are the victims of the situation
Still licking wounds from brutality
Still licking wounds from humiliation
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
We are the victims everytime
We've got double trouble everytime
 
Lyrics

Listen

Other recordings

People also search for

Main results​


I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
All around in my home town
They're trying to track me down
They say they want to bring me in guilty
For the killing of a deputy
For the life of a deputy, but I say
I shot the sheriff, but I swear it was in self-defense
I shot the sheriff, and they say it is a capital offense
Sheriff John Brown always hated me
For what I don't know
Every time that I plant a seed
He said, "Kill it before it grows"
He said, "Kill it before it grows", I say
I shot the sheriff, but I swear it was in self-defense
I shot the sheriff, but I swear it was in self-defense
Freedom came my way one day
And I started out of town
All of a sudden I see sheriff John Brown
Aiming to shoot me down
So I shot, I shot him down, I say
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
Reflexes got the better of me
And what is to be must be
Every day the bucket goes to the well
But one day the bottom will drop out
Yes, one day the bottom will drop out, but I say
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy, oh no
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy, oh no
 
Nimekosa cha kusema juu ya hii wizara ya mambo ya nje....duh! inasikitisha sana. Pumzika wa amani JPM
 
Sema yy ndio ataanza kununua gari mpya Rwanda brand new......
sisi zetu ni za mjepu za ten ten
Volkswagen nadhani hawakushauriwa vizuri soko la magari ya Volkswagen kushindana na Toyota Africa mashariki sio rahisi hasa kwa Tanzania

Soko la magari madogo Toyota ameshalishika.Na wanunuzi wengi wanapenda magari used ya Toyota hasa kwa sababu ya Bei rahisi na upatikanaji wa vipuri kila Kona kwa Bei rahisi na mafundi wa katengeneza wako kila Kona Hadi vichochoroni wakato magari Kama Benz , Volkswagen nk Ni ngumu sana
 
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW

Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.

Kununua sio tatizo tatizo kodi.
Sheria zetu za kodi ni za kijima bado wanahisi kumiliki gari ni anasa,mara ohoo sijui foleni vitu vya kijinga gari utadhani gari zote zitaishia dar.
Kodi ya gari ni kubwa kuliko hata gharama za kutengeneza gari.
Watz wamekua ni watu wa kubadili Kadi tu unakuta gari lina miaka 20 barabarani likimilikiwa na zaidi ya wamiliki watano.
Ni aibu sana eti namba A,B bado zipo barabarani.
 
Tanzania pamoja na kujifanya wajanja lakini tumepatikana tena kwa Samia, yaani uwezo wake ni mdogo mno, hajui position ya nchi katika jumuiya ya Africa mashariki na hawezi kuitetea Tanzania kwa kitu chochote, kila anacho ambiwa na Rais wa nchi yeyote kwake ni yes tu, Sijaona la maana alilofanya ndani ya miezi hii aliyokaa madarakani ambalo lina mgusa moja kwa moja mwananchi wa chini wa Tanzania zaidi kuzuga zuga mara Dar to Dodoma, Dodoma to Dar, mara kigali mara burundi mara Kenya mara Uganda, Tanzania kuendelea ni Nguni sana , maana tunaweka average watu kuwa viongozi wetu.
 
First proposal ya hiki kiwanda mwaka 2016 ilikuwa ni tanzania zilipobadilika sera wakahamishia Rwanda
 
Back
Top Bottom