Sijui kama hivyo vitoto vya kike vilivyojazwa kwenye uDED vitaweza kujubu hoja za madiwani.Nadhani watakuwa wakilia kila mara badala ya kujibu hoja.Shame on us.
Sijui kama hivyo vitoto vya kike vilivyojazwa kwenye uDED vitaweza kujubu hoja za madiwani.Nadhani watakuwa wakilia kila mara badala ya kujibu hoja.Shame on us.
Mengi alienda na ndoto zake juu ya mradi huo.Aise kwani si tulikuwa na mpango wa kuwa na kiwanda cha kuunda magari na sisi. Ni kwamba ni gharama sana au. Nchi hii yaani waziri mzima anaona raha kuagiza gari kutoka Rwanda wakati tungeweza na sisi unda ya kwetu tukatumia ya nyumbani. Anyway Mungu anihurumie. Tuna viongozi wa ajabu sana yaani
Yaani I say usije ukathbutu kuongea mbele ya watu kuwa gap ya balance of payment itapungua tukinunua Rwanda. Kwani tukinunua Rwanda haiwi import?Hahaha hahah hahah nafurahi sana kuona nadiscuss ngumbalu wa mambo ya kiuchumi,anaona gharama za kiuchumi ni gharama za kusafirisha gari tu,hahahah hahaha.
Yaani I say usije ukathbutu kuongea mbele ya watu kuwa gap ya balance of payment itapungua tukinunua Rwanda. Kwani tukinunua Rwanda haiwi import?
Tatizo ni CCMSafi sana. Hata mafuta ya petrol na diesel tununue huko maana ni bei nafuu kuliko huku bongo
Kwa hiyo anaona hii ni sifa?Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Kwanini ununue gari toka Japan, au Dubai wakati unaweza pata gari mpya kabisa toka Rwanda. Hii itaongeza biashara kati ya nchi za Africa. Sisi Tanzania lazima tutapata fursa ya kuuza vitu vingi vingine Rwanda- mikataba ya Biashara . Nipe nami nikupe- hii ni habari njema siyo kitu cha kubeza kabisa. Waafrika tunaona fahari kununua vitu toka kwa Wachina, Wajapani na Wazungu. Hakika Waziri angesema Tanzania imeingia mkataba na Japan kuleta magari - wengi wangeshangilia. Tunatakiwa kufanya Africanasity! Kazi ziendelee!Tanzania shamba la bibi, Rwanda inatushidaje....kwann wao waweze?
Wanasiasa hawana aibu. Leo unajisifu kwenda kununua magari Rwanda? Kwa ukubwa wa nchi yako, mali asili zako, unakosa ubunifu na kuzidiwa na nchi iliojenga uchumi kwa kuuua tembo wako na kuuza pembe? Nchi inayo endesha uchumi wake kwa kuiba dhahabu na mbao toka DRC? Ni aibu kubwa.Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Ngoja Madiwani wawapelekee moto.Sijui kama hivyo vitoto vya kike vilivyojazwa kwenye uDED vitaweza kujubu hoja za madiwani.Nadhani watakuwa wakilia kila mara badala ya kujibu hoja.
Transfer of technology. Badala ya kupeleka wataalamu kwenye misafara ya kupata mbinu za ujenzi wa viwanda tunapeleka makada. Miaka ya nyuma kilianzishwa kiwanda cha kutengeneza baiskeli 'swala' kikakwama. Kilikuwa kinazalisha baiskeli 5 kwa siku!Hatuna shida ya kununua magari kutoka Rwanda, hata kutoka Japan na kwingineko bei ni ndogo tunaweza tatizo kodi za ajabu bandarini.
Labda tuanzisha kiwanda hapa
Kuna kamoja kako na dimpo-dimpo fulani hivi, dah! Sema pisi kali kama ile aisee siyo kabisa!Angalia "upeo" wa wateuliwa wa Rais kuanzia maDED wa juzi alafu ujiulize tena swali lako!!
Mkuu uko sawa kichwani kweli? Kwa hiyo Rwanda wakiuza gari Tanzania utabeba wewe kichwani kuzileta?Hahaha hahah hahah usije kuongea mbele za wanaume eti gharama za kusafirisha gari kati ya nchi na nchi, so funny.
Nonsense, nilijua wanaleta kiwanda hapa TZ
Akili unayo wewe mtoto mke wangu.Mkuu uko sawa kichwani kweli? Kwa hiyo Rwanda wakiuza gari Tanzania utabeba wewe kichwani kuzileta?
Kuwa mke sio tatizo, kwani mama yako alikuzaa bila kuwa mke wa mtu? Ndio maana huna adabu, kuna malezi ulikosa katika maisha yakoAkili unayo wewe mke wangu.
Hujakosea mke wangu,wkt nakua Nilikua nawachungulia wazee wako wakiwa wanakataa gogo.Kuwa mke sio tatizo, kwani mama yako alikuzaa bila kuwa mke wa mtu? Ndio maana huna adabu, kuna malezi ulikosa katika maisha yako
Kapimwe akili upatiwe msaada, una tatizo kubwa la akili kuliko nilivyofikiriaHujakosea mke wangu,wkt nakua Nilikua nawachungulia wazee wako wakiwa wanakataa gogo.