Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

SmartSelect_20220707-115920_Chrome.jpg
 
Biden hawez jiuzulu hata kama approval yake itashuka mpaka 1%

Sema 2024, Trump anakuja.

2028 , USA inaongozwa na Rais wa Kwanza Mwanamke "Ivanka Trump".
Hivi Sasa waamerika wamevurugwa hata wanauana Kwa bunduki kama animal wa mwituni,enzi za Mzee Trumpet,aliwaambia waamerika, America kwanza na walimwelewa kwelikweli.Na sikusikia waamerika wakiuana kama enzi hizi za Beberu Biden 🤔
 
Jinga hilo achana naye.
Hamna mlijualo , maana hata Siasa mnazo za "mama songa mbeleee,unaupiga mwingi".

Yaan upopoma!

BoJo anajiuzulu Kwa sababu kubwa Moja,, Ongezeko la Gharama za Maisha.

Hizi nyingine skendo na kushindwa kuchukua hatua ni nyongeza tu!.

Ndio sababu Jaribio la kwanza la kumuondoa madarakani Kwa sababu za kiuongozi lilishindwa ... Unajua kwann lilishindwa? Kwa sababu Upinzani wangeonekana Bora zaidi ya chama chake.

Ila hili la Masilahi ya Nchi, Huwa hawana Cha chama Wala nn, wanakuondoa!.
 
Kufuatia Ongezeko la gharama za Maisha nchini humo hususani Mafuta na Gas kitu kilichopelekea Bidhaa na Maisha Kwa ujumla Kupanda...
Wewe Jamaa muongo unadhani humu wote wajinga sio. Kwanza anajiuzulu uongozi wa Chama, Uwaziri Mkuu ataendelea nao kidogo mpaka chama kipatw kiongozi wa kusimama kwenye uchaguzi.

Kilichomuondoa ni suala la ethics waingereza maadili wameyaweke mbele kabisa, hata kura ya kutokuwa na imani naye ni kwa sababu ya maadili. kawadanganye vijiweni
 
Wewe Jamaa muongo unadhani humu wote wajinga sio. Kwanza anajiuzulu uongozi wa Chama, Uwaziri Mkuu ataendelea nao kidogo mpaka chama kipatw kiongozi wa kusimama kwenye uchaguzi. Kilichomuondoa ni suala la ethics waingereza maadili wameyaweke mbele kabisa, hata kura ya kutokuwa na imani naye ni kwa sababu ya maadili. kawadanganye vijiweni
embu ficha ujinga wako bana .

Au ni Leo baada ya hili ukaona nawee ujaribu kufatilia upate A,B,C ,D ?. Sasa tayari unazijua Siasa za Huko .
 
Miito inayomtaka ajiuzuru inakuja mwezi mmoja baada ya Waziri huyo mkuu kukabiliwa na hoja ya kutokuwa na imani naye ambapo 41% ya wabunge kutoka chama chake walipiga kura dhidi yake.
Vita ya Urusi itaondoka na viongozi wengi wa Ulaya huu ni mwanzo tu labda wajiongeze wajiondolee vikwazo walivyojiwekea kwa kumsusia mlishaji wao mkuu
 
Back
Top Bottom