Mkuu,Mkuu, Bosi Johnson hajaamua kujiuzulu mwenyewe alikuwa akikataa kuhusu jambo hilo. Taarifa zasema asubuhi hii amepelekewa barua na mawaziri...
Ndio maana niliandika "Baada ya kupata Shinikizo"
Hata Chancellor of the Exchequer aliyeteuliwa jana, kamwambia jamaa asepe hamna kitu kitamwokoa kwenye msala huu