Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,861
Waziri wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson amemuidhinisha Donald Trump kugombea urais wa Marekani, akidai atawashangaza wakosoaji wake na kuunga mkono Ukraine, na kufanya "Magharibi kuwa na nguvu" na "dunia kuwa thabiti zaidi".
.
Waziri mkuu huyo wa zamani aliwakejeli mahasimu kwa "kutetemeka kwa nguvu sana" kwa wazo la Trump la kurejea Ikulu ya White House.
View: https://www.instagram.com/p/C2UvbxAspwG/?igsh=ODFyaWEwejR3OWw1
.
Waziri mkuu huyo wa zamani aliwakejeli mahasimu kwa "kutetemeka kwa nguvu sana" kwa wazo la Trump la kurejea Ikulu ya White House.
View: https://www.instagram.com/p/C2UvbxAspwG/?igsh=ODFyaWEwejR3OWw1