D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,902
- 1,067
Waziri Mkuu naomba nikumbushe suala la stendi mpya.
Mara ya mwisho unafika Songea ulikuta mgogoro wa stendi mpya iliyojengwa kilo mita 20 mbali na mji.
Ulipokuwa Songea uliagiza mkuu wa mkoa na watendaji wa serikali wakae na wadau wa usafirishaji wajadili changamoto na waweze kuzitatua.
Naomba nikupe taarifa maagizo hayo hayajatekelezwa hadi leo hii.
Wafanyabiashara wa manispaa ya songea wameona wafanye mgomo wa kutofungwa maduka na wasafirishaji kuto toa huduma za usafiri hadi hapo serikali itakapo kaa na wadau kujadili matatizo yanayowakabili.
Leo 22/2/2021 maduka yote yamefungwa katika manispaa ya songea na daladala zote zimesimama hazitoi huduma.magari yote yaendayo pembezoni mwa manispaa hayatoi huduma.
Je, baada ya kuwachagua madiwani na wabunge wa CCM hamuoni umuhimu wa kuwatetea wananchi wenu? au hadi Rais aje ndio atatue suala hili?
Waziri Mkuu agizo lako lilikuwa la siasa tu maana hadi leo halitekelezeki.
Mara ya mwisho unafika Songea ulikuta mgogoro wa stendi mpya iliyojengwa kilo mita 20 mbali na mji.
Ulipokuwa Songea uliagiza mkuu wa mkoa na watendaji wa serikali wakae na wadau wa usafirishaji wajadili changamoto na waweze kuzitatua.
Naomba nikupe taarifa maagizo hayo hayajatekelezwa hadi leo hii.
Wafanyabiashara wa manispaa ya songea wameona wafanye mgomo wa kutofungwa maduka na wasafirishaji kuto toa huduma za usafiri hadi hapo serikali itakapo kaa na wadau kujadili matatizo yanayowakabili.
Leo 22/2/2021 maduka yote yamefungwa katika manispaa ya songea na daladala zote zimesimama hazitoi huduma.magari yote yaendayo pembezoni mwa manispaa hayatoi huduma.
Je, baada ya kuwachagua madiwani na wabunge wa CCM hamuoni umuhimu wa kuwatetea wananchi wenu? au hadi Rais aje ndio atatue suala hili?
Waziri Mkuu agizo lako lilikuwa la siasa tu maana hadi leo halitekelezeki.