Pale wamefeli mji hupangwa na kutanuka wenyewe,kule mkuzo walipeleka nini mbona kumekuwa namna ile,namanditi kule walipeleka kitu gani nako kuna kuwa kwa kasi!Afazali ingekua ya matope ipo kidogo mjin iyo mpya ipo mbali uko porini ili watanue mji eti
Wana sumbua abiria usiku Wana shushwa kule ilihali basi linaelekea mjini ambako abiria nao wanelekea huko!!