Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Viongozi Watanzania wajifunze kufanya kazi zao kwa upeo mkubwa, kuna kazi za kufanya usiku na mchana na kumalizika bila kuleta athari kwenye viwango na zingine haiwezekani.
Hivi Viongozi wetu huwa wanashindwa nini kuwa na mipango ya ufuatiliaji makini? Sio lazima kila wanapkwenda wanatoa kauli ili wasitumbuliwe. We need to be more careful. People should know that, when they fail to deliver what was promised there will be consequences.
Hivi Viongozi wetu huwa wanashindwa nini kuwa na mipango ya ufuatiliaji makini? Sio lazima kila wanapkwenda wanatoa kauli ili wasitumbuliwe. We need to be more careful. People should know that, when they fail to deliver what was promised there will be consequences.