johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!