hospital

  1. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda “Soroti Regional referral hospital is more of a mortuary than hospital”Mp Acom Alobo warns

    Soroti City Woman Representative, Joan Acom Alobo, has issued a strong appeal to the Minister of Health, urging immediate intervention to rehabilitate Soroti Regional Referral Hospital. In her remarks, Alobo described the facility as “more of a mortuary than a hospital,” citing the dire state of...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali, TNMC tusaidieni. Watumishi hospitali ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA tunateseka

    Uongozi wa hospital ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA unatulazimisha wafanyakazi kufanya shift mbili, hii ni nje ya utaratibu rwa serikali na hupunguza ufanisi tunapokuwa kazini na huhatarisha Afya kwa wagonjwa. Malipo duni ya Muda wa ziada na tunavuliwa uongozi na kutishwa kufukuzwa kazi tunaposemea...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko huduma dawa hospitali Tandahimba kwa wa watoto chini ya miaka 5 na waendao kliniki ya watoto

    Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Tandahimba Wananchi tunalalamikia hali ya utoaji wa huduma za dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Tandahimba, kwa kuwepo kwa vitendo vinavyoashiria udanganyifu, hususan kwa akina mama wajawazito na watoto wenye umri wa...
  4. Da Dona

    JamiiForums Tanzania FALSE Fact Check: Did Gen. Muhoozi Kainerugaba Demand an Explanation Over Parking Fees at Mulago Hospital?

    Tunachokijua Claim A Circulating post by Mawejje Media (Mawejje TV) claims that Gen. Muhoozi Kainerugaba questioned why Mulago National Referral Hospital, a government facility, charges parking fees, allegedly citing rates of UGX 1,000 for bicycles, UGX 3,000 for motorcycles, and UGX 10,000...
  5. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Baba mzazi wa tunu shekhome amefariki dunia usiku huu hospital ya kairuki

    Pole sana tunu wewe na dada mwajabu shekhome poleni sana . Mungu ni mja wa.wote I niliahidi... Nipo pamoja nanyi
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Idara ya Radiology – Muhimbili Hospital hatulipwi malipo ya muda wa ziada, kwanini sisi tu?

    Watumishi wa Idara ya Radiology ni idara pekee hawalipi extra duty, unapangiwa roaster unasoma extra duty asubuhi hadi saa mbili usiku lakini haulipwi. Kinachouma ni kwamba muda wako wote wa kujishughulisha mtaani unaishia kazini. Lakini humo ndani kuna taasisi kama MOI na JKCI wao wanalipwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto zinazoendelea kwenye hospitali ya Wilaya ya Ubungo, zinazohitaji kuchunguzwa na kutatuliwa

    Kuna changamoto kadhaa zinazoendelea katika hospitali hii ambazo zinahitaji kufanyiwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua: 1. Ucheleweshaji wa malipo ya wafanyakazi Wafanyakazi hawajalipwa malipo ya muda wa ziada (overtime) tangu mwezi Novemba hadi sasa. Wanapouliza uongozi, wamekuwa wakielezwa kuwa...
  8. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mbarara Hospital Fails to Account for Shs4 Billion

    A six-week investigation by the State House Health Monitoring Unit (HMU) has uncovered financial and administrative challenges at Mbarara Regional Referral Hospital (MRRH), including failure to account for Shs4.1 billion, ghost utility payments, fraudulent fuel claims and high staff absenteeism...
  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Two female Luwero Hospital medics arrested over Shs 700,000 extortion

    Two female health workers at Luwero Hospital have been arrested over allegations of extorting money from a patient’s family. Rebecca Nakiwala, an orthopaedic officer, and Margaret Nabikolo were arrested by police following an incident involving a woman who was admitted to the hospital’s...
  10. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Health Minister Hon Chris Baryomunsi Orders Probe After Shocking Mbarara Hospital Inspection

    Read:Health Minister Orders Probe into Mbarara Hospital After Midnight Inspection Uncovers Serious Gaps
  11. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Health Minister Orders Probe into Mbarara Hospital After Midnight Inspection Uncovers Serious Gaps

    Health Minister Dr. Chris Baryomunsi has ordered a full investigation into Mbarara Regional Referral Hospital after a surprise midnight inspection exposed severe staff shortages, overcrowded wards and a lack of essential medicines. During the visit, the minister found that the hospital's wards...
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hii video sio ya wagonjwa wakiletwa hospital bali ni mateka waliokuwa chini ya magaidi wa fulani kwa siku 67. Waliteswa, kubakwa na kushindishwa njaa

    Watekwa wakiwa kanisani na pastor wao aliuliwa huku wao wakichukuliwa mateka.
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Jakamageta: Elimu yetu Tanzania imeharibiwa na Wanasiasa. Hospital wamejaa Incompetent Doctors

    Mwanachama wa JamiiForums, Jakamageta amesema Elimu yetu inaharibiwa na siasa, siku hizi tutashindwa kupata Madaktari wanaofanya right diagnosis and treatment. "Hospital wamejaa Incompetent Doctors and other medical practitioners kwa sababu ya mfumo wa elimu yetu ni mbovu." Wenye pesa...
  14. IamChasulwa

    JamiiForums Tanzania Ikonda Hospital vs Hospital ya Rufaa (Zonal) Mbeya

    IKONDA HOSPITAL VS HOSPITAL YA RUFAA (ZONAL) MBEYA Habari ya wakati huu watubwa Mungu!! Ni tumaini langu mko poa sana. Naleta uzii huu kuuliza juu ya nini kinafanya hospitali hizi zinazopatika nyanda za juu kusini. Ikonda kwa jina maaru ila inaitwa CONSOLATA HOSPITAL IKONDA,ipo huko mkoani...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Pongezi hospital ya rufaa Mbeya

    Habari Hii siyo kero ni pongezi Kwa madaktari wa Hospital ya RUFAA MBEYA. Nimekuwa nikifanya Checkup mara kwa mara hospital ya rufaa Mbeya ,nimekutana na 1.watunza Kumbukumbu wanaosikiliza mtu vizuri na kumuelekeza kwa upendo wa hali ya juu ase wabarikiwe sana. 2.Madaktari wanajitoa vizuri...
  16. Top for B

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada ya Hospital nzuri ya meno Dodoma

    Wakuu nina jino la uzeeni limeota mwisho kabisa upande wa juu. Mwanzo nimelivumilia nikajua likiota litapona maumivu, ila yamezidi na nikigusa naona jino linatokezea kwa pembeni nje ya usawa wa mengine. Naomba kujuzwa hospital nzuri ya meno kwa Dodoma yenye gharama nafuu
  17. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda BBS Journalist Joseph Sseruwooza Dies at Mulago Hospital

    The Ugandan media fraternity is mourning the death of veteran journalist Joseph Sseruwooza, a parliamentary reporter and current affairs host at BBS Terefayina, who passed away on Friday morning at Mulago. Sseruwooza was widely known for his coverage of Parliament and for hosting Zuukuka...
  18. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Mama ajifungua Watoto Mapacha Watano Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Wakuu, Nimeisikia hii taarifa kwamba kuna mama kajifungua watoto mapacha watano hospitali ya Taifa Muhimbili.
  19. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda PM Nabbanja Commissions Masindi Hospital and AFCON training Facility

    The Prime Minister, Rt. Hon. Robinah Nabbanja commissioned the construction of Masindi Hospital and the groundbreaking for the Masindi Municipal Council Africa Cup of Nations (AFCON) training facility in preparation of the 2027 tournament that will be held in East Africa and co-hosted by...
  20. plock

    JamiiForums Tanzania Hospital Yenye kipimo cha aleji

    Habari wakuu naomba mwenye kuweza kunisaidia hospital Bingwa nitakayoweza kufanyiwa vipimo na kutambua aleji ya vitu vinavyonitesa Ninakuwa na mafua na pua kuziba na kusababisha koo kuwa na makohozi kwasababu ya mafua , au dawa itakayoweza kunisaidia kunitibu au kupata hali ya unafuu...
Back
Top Bottom