Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Sitaongea mengi sana!

Naomba moderator msihamishe uzi huu hauna uhusiano na mada zingine unajitegemea!

Naomba nianze kwa kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa kisaikolojia!
Ukweli na uongo ni kama Giza na mwanga! Havijawahi patana!

LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira ameamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba, basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!

WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba kwa vile haifichiki tena!..

LOGIC 2. Ukimtembelea au kumjulia hali mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!

Nachotaka kusema ni nini hapa!
Saikolojia inatuambia ikiwa kuna taarifa au jambo limefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mwenye taarifa akikubali kuzitoa hadharani katika jambo lilelile basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!

Mfano 1;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka kusadifu minong'ono, huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!

Kanuni ya yote hayo huwa huwa haitoki mbali na misingi hii!

Ukweli ukweli ni ukweli siku zote; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia

Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO MKUBWA na hupoteza kabisa Imani kwa watu!

(Ni kama kanuni za hasi na chanya zilivyo na taarifa ndivyo hufanya kazi)

Hiyo ndo nguvu ya LOGIC
 
Atakuwa anajitokeza mara ngapi maana uzushi kwa wengine ni kama uji na mgonjwa, yaani kila tetesi za Chahali anajitokeza...., Tetesi za Mange anajitokeza, tetesi za Kigogo anajitokeza kukanusha, tetesi za Lissu Mr. Mzungu anajitokeza kukanusha, Robert Amsterdam, Mnyika, Maria Sarungi, .....wewe!
Mtaongea mpaka kilugha, msemaji wa Ikulu ni RC Mbeya kweli CCM awamu hii mko kama mmekunywa Ulanzi uliochacha
 
Sasa kwanini mnapinga sana juu ya kuugua au kufa kwa huyo mtu??
Hatupingi kuugua wala kufa, binadamu kaumbiwa hayo mambo mawili, shida ni pale kila siku tunaambiwa mtu kafa na kesho mtu anaonekana mzima bukheri wa afya, kibaya zaidi mtoa matangazo ni yule yule kila msimu! Inafika sehemu tunaamua kumpa ahueni mleta habari za misiba ajisikie vizuri!
 
Back
Top Bottom