figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam,
Kwa Pamoja Wakina Majaliwa wote tumewasikia na maelezo yao mmoja akiongelea kuhusu hali ilivyokuwa chini ya maji na Majaliwa Mwingine akielezea hali ya hewa ilivyokuwa mbaya.
Tangu Majaliwa aseme Magufuli anachapa kazi wakati alikuwa anaumwa, simuamini tena na sitakuja kumuamini. "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"
Sasa ni Wakati wa kupata maelezo ya Kutaalam sio blaa blaa.
Ndege ina kifaa Maalum cha kurekodi mwenendo wa ndege na Maongezi yote kwenye Chumba cha Rubani.
Hicho kifaa kwanini hatuambiwi kilipo?
Unaweza kuta tunadai ni hali ya hewa kumbe rubani alitekwa au ndege ilifanyiwa hujuma.
Tunaomba kujua Black Box ilirekodi nini. Msije tuambia kwamba ile ndege ilopata ajali haina CVR na FDR.
Siasa juu ya ajali imefanyika vya kutosha. Kila mtu anaongea anavyojua...
Je, black Box ilipatikana? Ipo wapi? Au ilipotelea Ziwa Victoria?
Naamini ndo itamaliza ubishi na kutufanya tujue tulipokosea ili tufanyie kazi.
Naomba kujua
Kwa Pamoja Wakina Majaliwa wote tumewasikia na maelezo yao mmoja akiongelea kuhusu hali ilivyokuwa chini ya maji na Majaliwa Mwingine akielezea hali ya hewa ilivyokuwa mbaya.
Tangu Majaliwa aseme Magufuli anachapa kazi wakati alikuwa anaumwa, simuamini tena na sitakuja kumuamini. "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"
Sasa ni Wakati wa kupata maelezo ya Kutaalam sio blaa blaa.
Ndege ina kifaa Maalum cha kurekodi mwenendo wa ndege na Maongezi yote kwenye Chumba cha Rubani.
Hicho kifaa kwanini hatuambiwi kilipo?
Unaweza kuta tunadai ni hali ya hewa kumbe rubani alitekwa au ndege ilifanyiwa hujuma.
Tunaomba kujua Black Box ilirekodi nini. Msije tuambia kwamba ile ndege ilopata ajali haina CVR na FDR.
Siasa juu ya ajali imefanyika vya kutosha. Kila mtu anaongea anavyojua...
Je, black Box ilipatikana? Ipo wapi? Au ilipotelea Ziwa Victoria?
Naamini ndo itamaliza ubishi na kutufanya tujue tulipokosea ili tufanyie kazi.
Naomba kujua