Ukocha ni taaluma watu wanasomea ila uchambuzi ni maelezo tu ya mtu vile anavyoona mambo kwa wakati huo au uliopita.ata hivyo bongo hata hao wachambuzi hakuna,waliopo ni wasemaji tu ambao wamepata sehemu zakutoa mawazo yao jambo ambalo hilo linafanywa na kila mbongo ata kwenye vibanda umiza.maana kwa sisi wabongo kila kitu tunajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.