vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,305
- 10,340
Easy, Ni rahisi kuongea kukiko kutenda.Hao wachambuzi wanawezaje kumkosoa kocha kila wakati huku wakiwa hawajui lolote kuhusu ukocha?
Easy, Ni rahisi kuongea kukiko kutenda.Hao wachambuzi wanawezaje kumkosoa kocha kila wakati huku wakiwa hawajui lolote kuhusu ukocha?
Chief kuna wengine wanakosoa kwa hoja kweli na wengine ni blah blah tu, sio kila mchambuzi anafaa kuwa kocha na ni rahisi kwa kocha kuwa mchambuzi ila sio rahisi sana kwa mchambuzi kuwa kochaSo mchambuzi anawezaje kumkosoa kocha kila wakati wakati yeye hajui lolote kuhusu ukocha? Au ni blah blah tu?
Huo mfano wako hauendani sababu kutambua unahitaji tu kuona ila kutaga ni kuunda.Kwahio sababu huwezi kutaga inamaanisha kwamba huwezi kutambua yai Viza ?
Kwa hiyo tunapigwa na hawa wachambuzi sio?Chief kuna wengine wanakosoa kwa hoja kweli na wengine ni blah blah tu, sio kila mchambuzi anafaa kuwa kocha na ni rahisi kwa kocha kuwa mchambuzi ila sio rahisi sana kwa mchambuzi kuwa kocha
sureEasy, Ni rahisi kuongea kukiko kutenda.
Sometimes Yes, sometimes noKwa hiyo tunapigwa na hawa wachambuzi sio?
Hakuna mchambuzi mwenye sifa hapa Tz,labda kidogo mimi hapa 🤣🤣
Makachanjanja...
Kwa mfano hapa ikitokea Jamiiforums unapost halafu ujumbe wako hauonekani au inaandika kilugha ambacho hakieleweki ukikosoa mfumo ukasema haufanyi kazi vizuri huku haujui kutengeneza hiyo mifumo ya computer, utakuwa ni tapeli ?Unajua kukosoa jinsi chakula kilivyopikwa ila wewe hujui kupika? Wewe utakuwa ni tapeli
Hebu niambie kinachomfanya mchambuzi anyejua kila mchezaji wa timu A ana weakness hii na strength hii kiufundi na kisaikolojia, na anajua namna bora ya kuwapanga ili wa perfom vizuri, na pia anajua pia timu pinzani wachezaji wake, udhaifu wao na umahiri wao, na pia anajua kocha wao mbinu zakeKwa mfano hapa ikitokea Jamiiforums unapost halafu ujumbe wako hauonekani au inaandika kilugha ambacho hakieleweki ukikosoa mfumo ukasema haufanyi kazi vizuri huku haujui kutengeneza hiyo mifumo ya computer, utakuwa ni tapeli ?
wachambuzi wanachambua zaidi matokeo, makocha wanafundisha mbinu za sokaHebu niambie kinachomfanya mchambuzi anyejua kila mchezaji wa timu A ana weakness hii na strength hii kiufundi na kisaikolojia, na anajua namna bora ya kuwapanga ili wa perfom vizuri, na pia anajua pia timu pinzani wachezaji wake, udhaifu wao na umahiri wao, na pia anajua kocha wao mbinu zake
Huyu mchambuzi nini kinamzuia asiwe kocha?
Mfano uliotoa ni hauendani sababu kutengeneza mfumo unatakiwa ujue mambo ya code n.k ila kwenye ukocha na uchambuzi wote wanachotakiwa kuwa nacho kufahamu technic za mpira tu
Mchambuzi anaongea kwa nadharia kwamba ukimpanga hapa ata perfom vizuri, na wengi wanakuwa mahiri kuchambua baada ya mechi ni post mortem analysis. Hao wachezaji anaowaongelea sio mashine kwamba unaipanga tu hapa atacheza vizuri. Kocha wa mpira ana manage watu lazima ajue psychology ya watu wake ili aweze kuwa motivate vinginevyo hawezi kudumu kwenye kazi yake.Hebu niambie kinachomfanya mchambuzi anyejua kila mchezaji wa timu A ana weakness hii na strength hii kiufundi na kisaikolojia, na anajua namna bora ya kuwapanga ili wa perfom vizuri, na pia anajua pia timu pinzani wachezaji wake, udhaifu wao na umahiri wao, na pia anajua kocha wao mbinu zake
Huyu mchambuzi nini kinamzuia asiwe kocha?
Mfano uliotoa ni hauendani sababu kutengeneza mfumo unatakiwa ujue mambo ya code n.k ila kwenye ukocha na uchambuzi wote wanachotakiwa kuwa nacho kufahamu technic za mpira tu
Kwamba sababu sijui kuweka chumvi kiasi fulani kwahio siwezi kujua kwamba chumvi imezidi ?Kwa hiyo mtu anaweza kukosoa jinsi mpishi anavyopika chakula ila yeye ukimpeleka jikoni hajui lolote? Huyo anajuaje sasa mpishi anavyokosea?
Wa kufundisha Yanga wapo wengi sana, labda Simba Ni changamoto sana kumpatia mwenye viwango vya kimataifa. Simba Ni KUBWA kuliko kocha yyte mzawa.Hatuna hata kocha wa kufundisha Simba au Yanga achilia mbali nje!
Swali la Kikuda Sana hiliYeye mwenyewe kitaaluma ni kocha, alifundisha nchi gani?
Sio kila mchezaji must be a tactician kuna kuwa managerial officer , administration officer, kuna kuwa ambassador and influencer all can be in a field of soccer depending on someone's character and calibre and where he can fit mostKwamba sababu sijui kuweka chumvi kiasi fulani kwahio siwezi kujua kwamba chumvi imezidi ?
Wacheza mpira wengi they don't make good coaches why ? Kina Wenger, Ferguson je walikuwa wachezaji hodari ? Kwa logic yako kina Maradona na Pele ingebidi wawe ndio makocha wazuri kuliko wote...
Utagundua coaching inahitaji skills tofauti na uchambuzi, wakati uchambuzi unahitaji tu kujua the game / rules na kupenda unachokifanya as well as kufuatilia na kuangalia as many games as possible..., ukija kwenye coaching unahitaji the following:-
- Good communication Skills,
- Approachable
- Leadership skills
- Mahusiano mazuri na wachezaji wako
- Organizational Skills na Attention to details
Coaching ni taaluma.Uchambuzi na ufundishaji ni One and the Same ?
Gary Lineker huenda akashindwa kuifundisha hata timu ya chekecheka ila katika uchambuzi yupo vizuri..., Martin Oneal huenda akiongea usimuelewe ila kwenye Coaching sio wa kubeza
Coaching is a different ball game....