Iliwezekana vipi kocha wa Taifa Stars kuwajua wachezaji wengi wa nje?

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Kocha mkuu wa Taifa Stars aliyesimamishwa na CAF aliwajuaje wale wachezaji wote wa Tanzania wanaocheza nje? Miaka yote walikuwa wanaitwa wachezaji tunaowafahamu wanaocheza Ulaya nadhani hata hawazidi wanne, lakini zamu hii kawaleta kila pembe.

Kwanza inasemekana huyu kocha ni wakala, je tuhuma za mtangazaji wa EFM (Oruma) inaweza kuwa kweli kwamba alikuwa anawafuata kwa njia anayojua (kupata hongo halafu mchezaji anaitwa). Maana hata suala la Kevin kuachwa kwamba ni nidhamu za chini ya kapeti ni kwamba kukataa kutoa chochote.

Tuachane na hayo huyu kocha aliwajuaje hao wachezaji wote wanaocheza nje na yeye sio Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, unahisi kocha wa stars anawajua hawa wachezaj wa ndani wote ? Si anapewa ripoti na TFF? Unadhani TFF hawajui wachezaji wa Tz walio nje ya nch?
TFF kama wanawajua wachezaji wanaocheza nje ni wachache tena wale waliotoka kwenye ligi ya ndani maana wapo kwenye database yao, awamu zote zilizopita haijawahi kutokea wachezaji wengi hivi toka nje kuitwa Taifa Stars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TFF kama wanawajua wachezaji wanaocheza nje ni wachache tena wale waliotoka kwenye ligi ya ndani maana wapo kwenye database yao, awamu zote zilizopita haijawahi kutokea wachezaji wengi hivi toka nje kuitwa Taifa Stars

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si wamekusanya, kwa hio ulidhani itabaki kuwa hivyo hivyo miaka yote ?
 
Kocha mkuu wa Taifa Stars aliyesimamishwa na CAF aliwajuaje wale wachezaji wote wa Tanzania wanaocheza nje? Miaka yote walikuwa wanaitwa wachezaji tunaowafahamu wanaocheza Ulaya nadhani hata hawazidi wanne, lakini zamu hii kawaleta kila pembe.

Kwanza inasemekana huyu kocha ni wakala, je tuhuma za mtangazaji wa EFM (Oruma) inaweza kuwa kweli kwamba alikuwa anawafuata kwa njia anayojua (kupata hongo halafu mchezaji anaitwa). Maana hata suala la Kevin kuachwa kwamba ni nidhamu za chini ya kapeti ni kwamba kukataa kutoa chochote.

Tuachane na hayo huyu kocha aliwajuaje hao wachezaji wote wanaocheza nje na yeye sio Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila aliita magalasa matupu au wafua jezi huko.
 
Hao wachezaji walioitwa kutoka nje, waliokidhi vigezo walikuwa hawazidi wanne! Waliobakia wote walikuwa ni magarasa tu. Na ndiyo maana hata kwenye mashindano wengi wao hawakucheza.

Ningekuwa na mamlaka, ningechunguza mchakato mzima wa kuwapata hao wachezaji. Maana kuna kila dalili ya matumizi mabaya ya fedha.
 
Kocha mkuu wa Taifa Stars aliyesimamishwa na CAF aliwajuaje wale wachezaji wote wa Tanzania wanaocheza nje? Miaka yote walikuwa wanaitwa wachezaji tunaowafahamu wanaocheza Ulaya nadhani hata hawazidi wanne, lakini zamu hii kawaleta kila pembe.

Kwanza inasemekana huyu kocha ni wakala, je tuhuma za mtangazaji wa EFM (Oruma) inaweza kuwa kweli kwamba alikuwa anawafuata kwa njia anayojua (kupata hongo halafu mchezaji anaitwa). Maana hata suala la Kevin kuachwa kwamba ni nidhamu za chini ya kapeti ni kwamba kukataa kutoa chochote.

Tuachane na hayo huyu kocha aliwajuaje hao wachezaji wote wanaocheza nje na yeye sio Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF ndio Mchawi ktk hili, Kocha hausiki kiivyoooo

Ndio maana Kocha Amruche sijui, alikuwa anasuasua kutangaza Kikosi Cha Stars kwa wakati...

TFF kwa maana ya Msomali ndio Ovyo kabisa ktk hili.
 
Kocha mkuu wa Taifa Stars aliyesimamishwa na CAF aliwajuaje wale wachezaji wote wa Tanzania wanaocheza nje? Miaka yote walikuwa wanaitwa wachezaji tunaowafahamu wanaocheza Ulaya nadhani hata hawazidi wanne, lakini zamu hii kawaleta kila pembe.

Kwanza inasemekana huyu kocha ni wakala, je tuhuma za mtangazaji wa EFM (Oruma) inaweza kuwa kweli kwamba alikuwa anawafuata kwa njia anayojua (kupata hongo halafu mchezaji anaitwa). Maana hata suala la Kevin kuachwa kwamba ni nidhamu za chini ya kapeti ni kwamba kukataa kutoa chochote.

Tuachane na hayo huyu kocha aliwajuaje hao wachezaji wote wanaocheza nje na yeye sio Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kocha peke yake ndo anayechagua wachezaji?
 
Amrouche mnamsingizia tu katika hili. Nimemsikia hadi Jemedari anamlaumu katika hili wakati ukweli wanaujua. Ubaya wa nafasi ya kocha, hauwezi kutoka kujibu tuhuma ndiyo maana wale wazoefu kina Amrouche, Benchikha na huyu wa Yanga huwa hawaogopi kusema shida ilipo.

Tunalilia kupata wachezaji wenye misingi mizuri ya mpira halafu leo tunawadharau tunaowapata kisa wanacheza madaraja ya chini huko nje. Kuna wachezaji hawakupewa nafasi ila walikuwa na uwezo wa kutupa matokeo.

Pia kuhusu issue ya Mzize nashangaa watu bado wanamlaumu kwa kutomchagua wakati aliitwa na hakwenda halafu cha kushangaza TFF hawakumchukulia hatua mmebaki kumlaumu tu kocha.
 
Kocha mkuu wa Taifa Stars aliyesimamishwa na CAF aliwajuaje wale wachezaji wote wa Tanzania wanaocheza nje? Miaka yote walikuwa wanaitwa wachezaji tunaowafahamu wanaocheza Ulaya nadhani hata hawazidi wanne, lakini zamu hii kawaleta kila pembe.

Kwanza inasemekana huyu kocha ni wakala, je tuhuma za mtangazaji wa EFM (Oruma) inaweza kuwa kweli kwamba alikuwa anawafuata kwa njia anayojua (kupata hongo halafu mchezaji anaitwa). Maana hata suala la Kevin kuachwa kwamba ni nidhamu za chini ya kapeti ni kwamba kukataa kutoa chochote.

Tuachane na hayo huyu kocha aliwajuaje hao wachezaji wote wanaocheza nje na yeye sio Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ina mikono mirefu
 
Back
Top Bottom