Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Wakuu wote na waungwana.
Hivi hatuwezi tukatumia ID za kupigia kura zikawa kama vitambulisho vya uraia??
Naona ifike kipindi serikali yetu iweze kukaa na kuliamua hili maana haya mabilioni wajanja tayari wamesha gawana siku nyingi na viongozi wengi kinacho waumiza siku zote ni hii kitu inayo itwa 10%.
Piga hesabu kwa hayo mabilioni maboss watakula ngapi hiyo 10%?
 
Apo juu wapi kwa wapi vya kura na vya uraia ,hivi majambazi wanapiga kura ,faida ya vitambulisho vya Utaifa ni kuweza kutambulika ,hivyo hata mikopo itakuwa rahisi kupewa na fingerprint zitakuwepo kila border ,na ikiwa unatafutwa pale unapovuka border unaweza kujulikana kwa kuchukuliwa finger print zake,ila nililo na wasi wasi isije kuwa hawa jamaa wanafuata mkumbo tu wa hizi ID wakati hawana uwezo wa kutumia faida yake ,kwani border crossing zote zitatakiwa ziwe uptodate,vituo vya polisi vyote viwe uptodate kimtandao ,simu intranet na mambo yanayofanana je Tanzania communication network kipasentaji % imefikia wapi ? Haya ni mambo muhimu unapoamua kuwa na ID maana hata ndani ya gari za polisi mnatakiwa muwe uptodate ,je hayo tunayaweza au tunaiga tembo ? Sio jamaa wanakukamata Kigoma halafu wanakwambia tunangojea jibu toka makao makuu ya uhamiaji au polisi Dsm ,mbona itakuwa kazi .
 
Jamani mi naomba nitoe mchango wangu: Mi sidhani kama waandishi makini kama Raia Mwema na Nipashe (mwandishi ndo huyo huyo wa This Day) wanaweza kuandika kitu wasichokuwa na uhakika nacho. Mi nadhani kwamba kuonyesha passport kuwa alirudi kutoka Dubai okt 1 haina maana kuwa waandishi hawajakosea tarehe. Inawezekana kuwa alifika Geneva tarehe 5 hiyohiyo. Sasa Okt 1 ina maana gani? Pili, je kama walikosea na badala ya oktoba ilikuwa Septemba 5/
Mi nadhani Masha angetakiwa afanye full disclosure kusema hajaenda kabisaa Geneva basi tutakubali. Huyo aliyemfanyia interview TBC alikuwa pale kumpa leading questions hii si thibitisho. The question is: "Did you go to Geneva to attend the conference?" "Did you meet the aforementioned gentleman from Sangem?" Akianza kusema oh, tarehe... unamwambia, "The date doesn't matter, did you or did you not meet the Sangem representative and visit the company?" Akiendelea kukana, unamwuliza, "Are you ready to say this under oath?' Ahhh! Yaani wengine tungepata chance tungefanya "Hardtalk" wanasiasa wote wangeacha usanii wao!

Susu......kwi kwi kwi.......naona ungembana kijana angle mbaya kweli kweli..........no doubt hayo maswalihuwa wanapewa kabla ya mahojiano............uzuri kijana naye kishaijua hadhira inayomsikiliza......trust me more than 80% ya Watanzania..........wamemkubali.........kwi kwikwi kwi..........damn!
 
Thread hijack??


The margin couldn't be justified unless Ndg. Chibogoyo shade light about his institution proposal. Lazima tujue proposal yake ilikuwa inatoa solution ipi, I mean, final output yake inafanana na hizi zinazogharimu Tshs. 222 bil.?

Kuna umuhimu naye aitwe kwenye Kamati (maana ameshaonesha woga kuhesabiwa) ili kama solution yake ni justifiable and secure basi waangalie namna ya kurekebisha zoezi zima kwa maslahi ya nchi.
Hivi kipi bora,kumpatia ajira na mtaji mgeni au kuanza kuangalia kwako kwanza kabla ya kujua unaweza au huwezi?
Binafsi,utaifa mbele kwanza then habari nyingine tunaweza ku-sub-contract ikithibitishwa kama kweli kuna haja ya kufanya hivyo bila mizengwe yeyote ni sahihi kufanya hivyo na si vinginevyo.
 
Heheheheee....mimi hapa nipo na Mwanakijiji! Msipoangalia ishu nzima inaweza kugeuka na kuwa ishu ya nini maana ya neno "kukutana"....Lol

Na mara nyingi ukiona mtu anaanza kubishania maana ya neno fulani na matumizi yake, basi ujue mtu huyo amekuwa "cornered" na hana ujanja tena zaidi ya kuleta ligi za nini maana ya neno na matumizi yake....Lol
 
Mpita Njia, Ogah, wakuu, Bongo ningekuwa mwandishi wa kuajiriwa ningetimuliwa kazi mapema sana, maana hata Mengi mwenyewe ningembana maswali kwenye mahojiano!
Lakini pia kumbukeni vigogo na wanasiasa wa Bongo ni waoga sana na kila siku wangesingizia wako "busy" na wasingekuja kwenye kipindi! Kwikwikwiii!
Ogah, ni kweli kabisa, Masha aliandaliwa maswali yote na sidhani kama atakuwa tayari kufanya mahojiano na Citizen (si gazeti la Mengi), maana anajua kule pia kuna waandishi! Hiyo TBC pamoja na kwamba inafikiri ni TV ya serikali lakini wanakuwa wana-serve their master CCM most of the time. Juzi niliona wanarusha live Hu Jintao na Jk katika uwanja wa taifa, mpaka screeching woman mtanzania alikuwa anaimba kwa sauti ya paka kichina! Wastage of our hard earned tax money! Bungeni nako hawafanyi kazi wahusika, wangembana Tido Mhando na kumwuliza kwa nini wanaonyesha live kila sherehe ya serikali, hii siyo public service!
 
Heheheheee....mimi hapa nipo na Mwanakijiji! Msipoangalia ishu nzima inaweza kugeuka na kuwa ishu ya nini maana ya neno "kukutana"....Lol

Ila mara nyingi ukiona mtu anaanza kubishania maana ya neno fulani na matumizi yake, basi ujue huyo mtu amekuwa "cornered" na hana ujanja tena zaidi ya kuleta za nini maana ya maneno....Lol

Nyani, hiyo ni kweli kabisa na zaidi ya hiyo utaona mheshimiwa anaanza kubishana kuhusu tarehe na mahali na madudu yote anayojua. Alomuradi asijibu swali. Wanasiasa wote ni wasanii lakini wale wa Bongo ni ze komedi orijino
 
Nyani, hiyo ni kweli kabisa na zaidi ya hiyo utaona mheshimiwa anaanza kubishana kuhusu tarehe na mahali na madudu yote anayojua. Alomuradi asijibu swali. Wanasiasa wote ni wasanii lakini wale wa Bongo ni ze komedi orijino

Halafu cha kuchekesha eti tunaambiwa huyu Masha ni msomi (na digrii zake sijui mbili au ngapi) na ni mwanasheria aliyebobea....hehehehehee....huwa nacheka sana nikisikia hii....mwanasheria aliyebobea lakini kila kukicha anachemsha kwenye mambo ya PR...

Kama Masha kabobea sijui Johnnie Cochran alikuwaje....
 
- Unajua kuna mjumbe mmoja wa kamati ya ulinzi aliniambia hivi, iwapo Masha atamaliza wiki hiii akiwa bado waziri, basi ni kweli atakuja kuwa rais, toka aliponiambia sasa ni wiki nne zimepita, Masha bado ni waziri.

- We are so emmotiional na huyu kijana kwamba tunasahau hata kuwa reasonable na kwamba hapa tuna-deal na siasa za taifa ambako si wananchi wote wanafikiri na kuona ishus kama sisi wengine. Eti unaweza kumshauri mwananchi kwamba waziri Masha hakuwa na makosa kwenye hii tenda kama ilivyokubaliwa na wasomi wengi baada ya a leak ya ile barua, lakini ana makosa ya kukutana na kampuni moja huko Geneva kuhusu tenda hiyo hiyo ambayo tayari inakubalika kisiasa kuwa hakuwa na makosa?

- Kweli tumeshindwa kumbana kwenye ishu ya tenda sasa tutaweza kumbana kwenye kukutana na kampuni Geneva? Sasa ninaanza kuyaamini maneno ya yule mjumbe wa kamati ya ulinzi, kwa sababu this is a free media kampeni so far inaonekana hakuna a knockout political punch ya kumuondoa Masha, sasa tusipokuwa waangalifu naye tutakuwa tunampa a free media kampnei ya urais kama ninavyoambiwa na wengi wa huko kambi ya mafisadi.

Hii ya kukutana au kutokutana na somebody in Geneva ni an easy one kutoka maana ina depend on who says what, unless kuna video ya mkutano huo kama walivyomfanya Spy chief wa Peru, otherwise hii inakuwa a free media help kwa mafisadi.

thanxs!
 
Tehe tehe .. Jamani mwacheni bwana mdogo ajifunze kazi,Taifa la kesho!
 
Leo Masha amejaribu kujitetea wakati anahojiwa na TBC1. Hata hivyo amenishangaza pale aliposema kuwa ile barua kwa PM ilikuwa kwa ajili ya kumweleza maendeleo ya uchambuzi wa tenda (Just a note to give him a sort of progress report)???? Je kwa wale walioiona hiyo barua inafanana na progress report? Pia amekanusha kukutana na Segem huko Uswiss na akasema tarehe zilizotajwa hakuwa Geneva bali aliondoka Dar 5 Oktoba 2008. Nani anasema ukweli hapa?? Yapo mengi aliyojaribu kusema lakini jingine la kushangaza ni kuwa Segem imetolewa kwa sababu ilitoa malalamiko kuhusu tenda bila kufuata utaratibu.

Kwa hiyo LM anasema hana kashfa yoyote na hawezi kujiuzulu. Hata hivyo amesema kama kuna ushahidi wa kuonesha kuwa alivunja sheria yuko tayari kuanchia mchuma.


Just. Kupenda kujua, ilikuaje je ni kweli? kwamba,



"Lawrence Masha traveled to Geneva to attend a UN meeting on Refugees.
He boarded Swiss Air from Dar es Salaam. Before he left for Genevea, he requested his business associate, Edan Eyakuza, to call the officials from SAGEM and fix a meeting in Geneva.

"Masha met with two officials led by Chairman and CEO, JeanLin Fournereaux from a Spain Based Company, Sagim, which is one of the bidders in the nation IDs Project for three hours, trying to lay down the strategies of how to win the tender."

"Next day (6th) the minister toured the company’s branch located at Max-Schmidheiny-Strasse 202 CH 9435 Heerbrugg – SWITZERLAND, AS PART OF THE INVITATION OF THE CHAIRMAN.

"The meeting was coordinated by Masha’s close business associate, Edan Eyakuze, from Dar es Salaam. He is the focal point for all communications between Sagim and Mr. Masha"

"The meeting took place on October 5, 2008 from 6pm-8pm(GMT) at, Mandarin Oriental Hotel, Suite No 0306."

"After the meeting, the three officials have a dinner together at the same Hotel. Masha returned in the country on October 11 at 6pm and hard a serious briefing to his business associate, Edan Eyakuze, on his way to home. He was briefing him over the phone, and two key witnesses were around, his personal assistance and a driver.":

Akiwa njiani akitokea Geneva, Katika mazungumzo yake Masha alisikika akisema, “Wamejicommit 5 percent. Nadhani inatosha, kwa sababu wana orodha ya wengine pia. Let’s work hard to ensure kwamba wanashinda kwa maslahi ya nchi yetu na sisi pia. Tukutane nikubrief zaidi. Wakiingia kwenye final stage, wanashinda, labda itokee miujiza."

Na hii hapa: "Their conversations over the phone lasted for about 20 minutes. They then agreed to have a meeting that evening at Regency Park Hotel."
 
- Unajua kuna mjumbe mmoja wa kamati ya ulinzi aliniambia hivi, iwapo Masha atamaliza wiki hiii akiwa bado waziri, basi ni kweli atakuja kuwa rais, toka aliponiambia sasa ni wiki nne zimepita, Masha bado ni waziri.

- We are so emmotiional na huyu kijana kwamba tunasahau hata kuwa reasonable na kwamba hapa tuna-deal na siasa za taifa ambako si wananchi wote wanafikiri na kuona ishus kama sisi wengine. Eti unaweza kumshauri mwananchi kwamba waziri Masha hakuwa na makosa kwenye hii tenda kama ilivyokubaliwa na wasomi wengi baada ya a leak ya ile barua, lakini ana makosa ya kukutana na kampuni moja huko Geneva kuhusu tenda hiyo hiyo ambayo tayari inakubalika kisiasa kuwa hakuwa na makosa?

- Kweli tumeshindwa kumbana kwenye ishu ya tenda sasa tutaweza kumbana kwenye kukutana na kampuni Geneva? Sasa ninaanza kuyaamini maneno ya yule mjumbe wa kamati ya ulinzi, kwa sababu this is a free media kampeni so far inaonekana hakuna a knockout political punch ya kumuondoa Masha, sasa tusipokuwa waangalifu naye tutakuwa tunampa a free media kampnei ya urais kama ninavyoambiwa na wengi wa huko kambi ya mafisadi.

Hii ya kukutana au kutokutana na somebody in Geneva ni an easy one kutoka maana ina depend on who says what, unless kuna video ya mkutano huo kama walivyomfanya Spy chief wa Peru, otherwise hii inakuwa a free media help kwa mafisadi.

thanxs!

Well said FMES,

Huyu jamaa naona anapewa umaarufu na attention ambayo haistahili. Kikubwa nachokiona hapa ni kwamba huyu jamaa deal lake halikufanikiwa (kama kweli alikuwa anataka kuwasaidia hao SAGEM). Deal limefichuliwa and the deal is off. Tunatakiwa kupambana na wale waliofanikisha deal zao, yaani mafisadi. Tupambane na akina Chenge, Lowassa, Karamagi etc. Huyu bwana mdogo keshajifunza hapa. Hawezi tena kurudia mchezo mchafu. Na wengine wengi wamejifunza kupitia yeye.
 
Just. Kupenda kujua, ilikuaje je ni kweli? kwamba,



"Lawrence Masha traveled to Geneva to attend a UN meeting on Refugees.
He boarded Swiss Air from Dar es Salaam. Before he left for Genevea, he requested his business associate, Edan Eyakuza, to call the officials from SAGEM and fix a meeting in Geneva.

"Masha met with two officials led by Chairman and CEO, JeanLin Fournereaux from a Spain Based Company, Sagim, which is one of the bidders in the nation IDs Project for three hours, trying to lay down the strategies of how to win the tender."

"Next day (6th) the minister toured the company’s branch located at Max-Schmidheiny-Strasse 202 CH 9435 Heerbrugg – SWITZERLAND, AS PART OF THE INVITATION OF THE CHAIRMAN.

"The meeting was coordinated by Masha’s close business associate, Edan Eyakuze, from Dar es Salaam. He is the focal point for all communications between Sagim and Mr. Masha"

"The meeting took place on October 5, 2008 from 6pm-8pm(GMT) at, Mandarin Oriental Hotel, Suite No 0306."

"After the meeting, the three officials have a dinner together at the same Hotel. Masha returned in the country on October 11 at 6pm and hard a serious briefing to his business associate, Edan Eyakuze, on his way to home. He was briefing him over the phone, and two key witnesses were around, his personal assistance and a driver.":

Akiwa njiani akitokea Geneva, Katika mazungumzo yake Masha alisikika akisema, “Wamejicommit 5 percent. Nadhani inatosha, kwa sababu wana orodha ya wengine pia. Let’s work hard to ensure kwamba wanashinda kwa maslahi ya nchi yetu na sisi pia. Tukutane nikubrief zaidi. Wakiingia kwenye final stage, wanashinda, labda itokee miujiza."

Na hii hapa: "Their conversations over the phone lasted for about 20 minutes. They then agreed to have a meeting that evening at Regency Park Hotel."

....mmmhhh........Mkuu Halisi.........welcome back........hio kitu hapo juu si mchezo...........
 
Well said FMES,

Huyu jamaa naona anapewa umaarufu na attention ambayo haistahili. Kikubwa nachokiona hapa ni kwamba huyu jamaa deal lake halikufanikiwa (kama kweli alikuwa anataka kuwasaidia hao SAGEM). Deal limefichuliwa and the deal is off. Tunatakiwa kupambana na wale waliofanikisha deal zao, yaani mafisadi. Tupambane na akina Chenge, Lowassa, Karamagi etc. Huyu bwana mdogo keshajifunza hapa. Hawezi tena kurudia mchezo mchafu. Na wengine wengi wamejifunza kupitia yeye.

Sidhani kama Watanzania ni wanafunzi wazuri. Muda si muda utasikia viongozi fulani wamefanya dili fulani na wamekula hela kishenzi. Sana sana mafisadi watakachofanya ni kuboresha zaidi mbinu zao za ufisadi ili wasiweze kugundulika kiurahisi.

Au kwa mtazamo mwingine, mafisadi watakuwa wamejifunza kutokana na makosa ya Masha na hivyo kuwalazimu kubadilisha tactics zao lakini.

Kwa hiyo sidhani kama fundisho walilopata ni la kuwafanya waogope na waache michezo yao michafu!
 
Heheheheee....mimi hapa nipo na Mwanakijiji! Msipoangalia ishu nzima inaweza kugeuka na kuwa ishu ya nini maana ya neno "kukutana"....Lol

Na mara nyingi ukiona mtu anaanza kubishania maana ya neno fulani na matumizi yake, basi ujue mtu huyo amekuwa "cornered" na hana ujanja tena zaidi ya kuleta ligi za nini maana ya neno na matumizi yake....Lol

...true true Nyanii.....si umem-check jamaa kule Illinois i.e Burris.....kwi kwi kwi
 
Check this one from Halisi..........

Just. Kupenda kujua, ilikuaje je ni kweli? kwamba,



"Lawrence Masha traveled to Geneva to attend a UN meeting on Refugees.
He boarded Swiss Air from Dar es Salaam. Before he left for Genevea, he requested his business associate, Edan Eyakuza, to call the officials from SAGEM and fix a meeting in Geneva.

"Masha met with two officials led by Chairman and CEO, JeanLin Fournereaux from a Spain Based Company, Sagim, which is one of the bidders in the nation IDs Project for three hours, trying to lay down the strategies of how to win the tender."

"Next day (6th) the minister toured the company's branch located at Max-Schmidheiny-Strasse 202 CH 9435 Heerbrugg – SWITZERLAND, AS PART OF THE INVITATION OF THE CHAIRMAN.

"The meeting was coordinated by Masha's close business associate, Edan Eyakuze, from Dar es Salaam. He is the focal point for all communications between Sagim and Mr. Masha"

"The meeting took place on October 5, 2008 from 6pm-8pm(GMT) at, Mandarin Oriental Hotel, Suite No 0306."

"After the meeting, the three officials have a dinner together at the same Hotel. Masha returned in the country on October 11 at 6pm and hard a serious briefing to his business associate, Edan Eyakuze, on his way to home. He was briefing him over the phone, and two key witnesses were around, his personal assistance and a driver.":

Akiwa njiani akitokea Geneva, Katika mazungumzo yake Masha alisikika akisema, "Wamejicommit 5 percent. Nadhani inatosha, kwa sababu wana orodha ya wengine pia. Let's work hard to ensure kwamba wanashinda kwa maslahi ya nchi yetu na sisi pia. Tukutane nikubrief zaidi. Wakiingia kwenye final stage, wanashinda, labda itokee miujiza."

Na hii hapa: "Their conversations over the phone lasted for about 20 minutes. They then agreed to have a meeting that evening at Regency Park Hotel."

....haya kaaazi kweli kweli
 
Cha Msingi ni kuwa hiyo kampuni imepigwa chini, awe ameongea, amepanga dili shauri yake.

Si hii kampuni haimo kwenye wazabuni?
 
Cha Msingi ni kuwa hiyo kampuni imepigwa chini, awe ameongea, amepanga dili shauri yake.

Si hii kampuni haimo kwenye wazabuni?


Na kama ungejua yale Makampuni sita,ni ya nani na nyuma yake wale wahindi nanai anawasaidia basi unaweza patwa na kichaa.

Masha hausiki na hii dili hata kidogo ila kuna watu wanhusika kwa kuleta hizo kampuni..wana probaility nzuri sana kwa sasa.Kijana alikuwa akisimamia maslahi ya taifa.

Niliwahi kusema kuna kampuni moja ya SA na imepita ,kama nilivyosema iko chini ya mkulu mmoja..

Lets wait and see
 
Cesc,
mimi naona hapa wanaangalia zaidi vitu vingi sio bei peke yake
nazani huyu mchapaji wa serikali hana uwezo wa kuweka some features maana ni ishu ya utambulisho wa taifa so it must contain a lot of things in it na wameshaangalia upande huo wakaona solution isiwe bei bora wala bora bei iwe na uwezo thats ALL

Mkuu, unajua kila siku hukazania maneno yangu mawili muhimu sana WATU na MAZINGIRA kuwa kitangulizo cha minutes za majadiliano yoyote ya kitaifa ktk kutafuta ufumbuzi..
Itakuwa upumbavu mkubwa sana kwetu kufyatua kitambulisho cha Taifa ktk hal ya juu sana ikiwa tunashindwa kuelewa hicho kitambulisho kitatumika kwa kazi gani...Kwa sababu asilimia 80 ya raia wetu wanaishi vijijini na miji ambayo haina vifaa vya mawasiliano yanayohusiana na vitambulisho..
Pili hivi vitambulisho vitatumika kwa kazi gani?..nini hasa sababu ya kuwa na vitambulisho kwa kila raia ikiwa asilimia kubwa wanaishi vijijini..Kama ni kuonyesha tu unaposimamishwa au zoezi la kuhesabu raia kinachotakiwa ni kipande cha ID tu...
Utahitaji vielelezo vingi ktk kitambulisho una hakika nchi nzima ina vifaa vya kusoma vielelezo hivyo..
Nashindwa kuelewa vielelezop vingi vya nini? kama ni swala la usafiri ndani ya nchi, bado asilimia kubwa wanatumia mabus na usafiri mwingine nje ya anga na pia sioni sababu kabisa kwani hata mgeni akisha ingia nchini, usafiri wa ndani unatakiwa mtu huyo asafiri free bila kutengwa...

Tatu tuna Jumuiya ya EAC inatarajiwa kuundwa, hawa jamaa zetu majirani wataweza kuingia Tanzania kwa kutumia vitambulisho vyao ama Passport na wakisha ingia watakuwa free kama sisi raia wenyewe..
Swala la kazi na kufungua biashara litahusiana zaidi na wizara zakazi kutoa vibali kwa kutumia vitambulisho vya wageni hao na sio raia..na sidhani kama kutakuwepo na haki tofauti kati ya Mtanzania na Mkenya anayetafuta kazi nchini..

Kitambulisho sio sheria ikiwa kutakuwepo na uvunjaji sheria ktk matumizi ya vitambulisho hivyo, hii itakuwa kazi ya vyombo vya sheria, ni lazima watu watatafuta njia za ku forge, hatuwezi kuzuia kila crime zadi ya kutunga sheria inayolinda Uraia wa mtu kama tunavyoweza kulinda uraia wetu leo hii kwa kutumia makabila. maumbile, lafidhi na mengineyo..

Kifupi nachotaka kuelewa ni hivyo vitambulisho vitatumika wakati gani?..na sehemu zipi ikiwa nchi nzima hatuna network special kwa matumizi ya vitambulisho..tukisema Border, basi ni swala la namba tu kwani mara nyingi fargged ID hutumika nje ya nchi husika na sio ndani ya nchi hiyo, nikiwa na maana mwenye passport fake ya Tanzania huitumia nje ya nchi na sio ndani nchini..Kwa hiyo, tunachoogopa nini hapa!..huko Kenya au Uganda hawatakuwa na system inayoweza ku accommodate vitambulisho vyetu.. ni swala la kufikiria vitambulisho ambavyo vitatumika ndani nchini na kurahisisha kazi ya kile kilichotarajiwa...

Nimefanya kazi Government Press miaka ya 70 na naelewa uwezo wa mitambo yetu, hivyo tusijaribu kabisa kukubaliana na kamba za baadhi viongozi ambao wanataka kutuuzia RADA nyingine!..
 
Last edited:
Originally Posted by Halisi View Post
Just. Kupenda kujua, ilikuaje je ni kweli? kwamba,



"Lawrence Masha traveled to Geneva to attend a UN meeting on Refugees.
He boarded Swiss Air from Dar es Salaam. Before he left for Genevea, he requested his business associate, Edan Eyakuza, to call the officials from SAGEM and fix a meeting in Geneva.

"Masha met with two officials led by Chairman and CEO, JeanLin Fournereaux from a Spain Based Company, Sagim, which is one of the bidders in the nation IDs Project for three hours, trying to lay down the strategies of how to win the tender."

"Next day (6th) the minister toured the company's branch located at Max-Schmidheiny-Strasse 202 CH 9435 Heerbrugg – SWITZERLAND, AS PART OF THE INVITATION OF THE CHAIRMAN.

"The meeting was coordinated by Masha's close business associate, Edan Eyakuze, from Dar es Salaam. He is the focal point for all communications between Sagim and Mr. Masha"

"The meeting took place on October 5, 2008 from 6pm-8pm(GMT) at, Mandarin Oriental Hotel, Suite No 0306."

"After the meeting, the three officials have a dinner together at the same Hotel. Masha returned in the country on October 11 at 6pm and hard a serious briefing to his business associate, Edan Eyakuze, on his way to home. He was briefing him over the phone, and two key witnesses were around, his personal assistance and a driver.":

Akiwa njiani akitokea Geneva, Katika mazungumzo yake Masha alisikika akisema, "Wamejicommit 5 percent. Nadhani inatosha, kwa sababu wana orodha ya wengine pia. Let's work hard to ensure kwamba wanashinda kwa maslahi ya nchi yetu na sisi pia. Tukutane nikubrief zaidi. Wakiingia kwenye final stage, wanashinda, labda itokee miujiza."

Na hii hapa: "Their conversations over the phone lasted for about 20 minutes. They then agreed to have a meeting that evening at Regency Park Hotel."

uzuri wa Tanzania ya sasa, tunao informal/voluntary secrete services. Mungu awabariki na awape nguvu na ujuzi zaidi. Kwamwendo huu tutalikomboa Taifa mapema zaidi.
 
Back
Top Bottom