Hivi jamani kabla hatujaendelea na michanga hapa, ebu mtu anayefahamu vizuri atwambie sura ya hiyo National ID itakuwaje (physical appearance, on its face itaonyesha taarifa zipi e.g jina, birth date etc), pia itakuwa na features gani (data gani zitakuwa stored in it), na je, standard cost per unit ya kutengeneza hii kitu ni kiasi gani (angalia nchi ambazo zinavyo tayari), na je, kutakuwa na kuupdate data on it? Je, kwa changes zinazotokea i.e new births, deaths.....tutakuwa tunatangaza tender upya?
If anyone has a clue on these questions...please help, then tutachangia vizuri!