Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Joint venture ili kumpata mwekezaji wa Bongo. Ndio mtindo wa kisasa Serikali yetu imejiwekea inapoingia kwenye mradi na makampuni ya kigeni.

Sasa hii ndiyo mbaya zaidi. Ikiwa joint venture ni local company na ameshindwa kuwasilisha makaratasi yake ( ikiwa pamoja na power of attorney) inawezekana tenda bodi imeogopa isiwe kampuni yenyewe ni kanya boya. Huu mradi umejaa shutuma kibao kuwa wakubwa wanautaka sana. Kwa nini isiwe imewekwa kampuni kanya boya ili baada ya kuingia mkataba mpira, kampuni hiyo itolewe na iingizwe ambayo ingeingia mwanzo watu wangeona kuwa kuna kamchezo kanataka kufanyika?

Huyo anayedai kuwa hii kampuni imeshinda mradi kwa wadachi, hiyo si hoja. Si wadachi hao hao waliotuletea Aduco watujengee barabara ya Ilala? Tumesahau kilichotokea?

Kama hii tenda bodi iko makini nadhani ni bora wajiuzulu tu ili kuepuka lawama.

Amandla.........
 
Ni mawazo potofu kufikiri kuwa open tenda ndiyo itakayo hakikisha kupata the best. On the contrary, mara nyingi makampuni yenye uwezo hayaingii kwenye open tenda. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ku-participate kwenye tenda ni gharama na ni kamari. Kwenye open tenda kwa vile vikampuni vya kila namna vinaweza kuingia na ku-ofa the earth basi yale makubwa hayaingii. Makampuni yanayopenda tenda hizi ni yale machanga na yale ya kitapeli. Ya kitapeli yanapenda kwa sababu kutokana na uwingi wa wazabuni basi kuna tumaini na uwezekano wa kutofanyiwa due dilligence ya uhakika. Vile vile nayo yanajua kuwa makampuni ya uhakika hayatajipeleka.

Kwenye specialised case kama hii, ni bora zaidi kufanya restricted tenda. Hii inatokana na ukweli kuwa makampuni yenye utaalamu huu yanajulikana. Ni vizuri kuyaalika ( kutoka na uzoefu wao) ili ya submit tenda. Tenda ya namna hii inakubalika nao maana wanajua kuwa wanashindana na watu wa saizi yao. Mfano rahisi. Kama unataka kuagiza simu za mkononi kwa wingi ( mamilioni), hautangazi open tenda. Unawakaribisha Nokia, Samsung, Sony Ericsson, LG, Apple, BenQ kutenda. Ukitangaza ya wazi kuna hatari ya kuingia mtu atakaekuletea product fake kwa bei ya chini kuliko ya watengenezaji wenyewe.

Kwa kuzania open tenda, siasa ilitawala kuliko ufanisi. Na hiki ndicho kilichotufikisha hapa na mwisho wa siku kutuacha na majuto.

Zoezi na mradi mzima ufutwe. Hauna maslahi kwa taifa.

Amandla......

Nakubilana na wewe kwamba open tenda inweza kuwakatisha tamaa "serious" companies....Lakini kama hizi "serious" companies kama zinafahamu kwamba tendering iko nayo "serious" (i.e. nepotism and corruption free) si wangeweza kuingia kwenye tenda na uhakika kwamba kampuni changa na za kitapeli zitatolewa kwenye mapema mapema kwenye beauty contest... Kutumia mfano wako juu wa simu za mkononi; Evaluation commitee si inauwezo wa kutofautisha kampuni kama "Nyantuzu Mobiles", "danganyikeni supplies" na zile zenye majina kama LG, Sony Ericsson, Samsung NK?.... La maana haswa n kwamba mwisho wa siku, kampuni kama "Nyantuzu phones" haiwezi kuwa na uwezo wa kuwasilisha hizo simu kwa bei ya chini kuliko manufacturers wenyewe kama LG au Sony Ericsson? .....Sikatai kwamba kuna vitu kama import duty kampuni kama nyantuzu phones inaweza kukwepa kujipa advantage, lakini vilevile si ni vitu ambavyo serikali inaweza kusimamia?...Tunaweza kwenda mbali na argument hii, lakini kwa ufupi ni kwamba "open tender" sio kikwazo cha kupata "best deal"...
 
Tumeishi miaka yote hii na waliokufa hawakufa kwa sababu hawana vitambulisho vya taifa, waliotajirika hawakuupata utajiri kwa sababu wana vitambulisho vya taifa, tunaoendelea kuishi hatupo kwa sababu tuna vitambulisho vya utaifa. tafadhalini sana wahusika, futa mradi huu, hauna manufaa kwa nchi wala watanzania
 
......... Mimi si mtalaam wa sheria, lakini kwa uelewa wangu JOINT VENTURE AGREEMENT (JVA) ni muhimu sana kuliko hata Audited Financial Report ya Kampuni. JVA inaonyesha legal existence ya hiyo kampuni, sasa kama kwenye maelezo yao walisema wanashirikiana na kampuni fulani na hakuna JVA, si tutarudi kule kule kwa akina Richmond ambapo watu walipewa business card na wakaamini kwamba Richmond ilikuwa na uhusiano na hiyo kampuni nyingine na kumbe ni utapeli mtupu. Leo tunataka kurudi huko huko kwa marehemu Richmond, hivi jamani hatujifunzi kutokana na makosa yaliyopita? Financial Report inaonyesha financial status ya kampuni kitu ambacho external auditors wa kampuni wanaweza kufunika bovu na watu wakalishwa kasa.

Ukisoma barua ya Mh. Masha utagundua kwamba yeye kwa mawazo yake anaona JVA ni kitu minor sana. Tunaweza kujikuta tunaingizwa mkenge na kampuni ikidai ina ushirikiano na kampuni yenye jina kubwa na kumbe hakuna ushirikiano wowote.

Je, SAGEM walijuaje kwamba wametolewa kwenye mchakato katika hatua za awali na kiasi cha kwenda kwa waziri kulalamika? Pinda alisema Bungeni kwamba kuna swala la siri kuvuja, nani alivujisha siri? Masha akiwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, kwanini hakutaka kuchunguza hao SAGEM walipataje taarifa hizo ili kama wajumbe wa Bodi ya Zabuni wamevujisha basi ingekuwa nafasi yake nzuri sana kuwa-deal.

Ninachokiona hapa ni kwamba mzizi wa barua ya Masha ni utetezi baada ya kuona Bodi ya Zabuni wameshikilia msimamo wao kwamba hawaoni tatizo kwenye mchakato mzima. Kitendo cha Masha kuanza kuuliza kwanini SAGEM walitemwa kiliwapa hisia hao wana Bodi ya Zabuni kwamba huenda Masha ana nia ya kuibeba kampuni ya SAGEM. Ili kujilinda ndipo akaamua kuandika barua hiyo ambayo naona imejaa utetezi na kulalamika kwamba Luhanjo anamwingilia kwenye wizara yake. Sijaona hata sehemu moja ambayo Masha ametetea maslahi ya serikali ama taifa, kama ni nia njema hata Lowassa alikuwa na nia njema kabisa na alitupatia "BEST DEAL" ya richmond ambayo bado inaendelea kutu-deal mpaka leo hii.

Wote tunajua kwamba uswahili huu wa "Joint venture agreements" na local entities ni njia ya ufisadi tu, haswa kwenye area ya teknologia. Lazima nikubaliane na Masha kwamba ni "Minor issue" . JVA ni njia mojawapo ya kuwapa mamemba wa tendering board na evaluation commitee na wapambe wao njia ya kula in the long term... Mbona huu upuuzi haupo ulaya kwenye "dili ndogo" kama hii (152 mio USD)?...Sagem ikija Tanzania kuna manufaa gani ambayo wananchi/serikali haiwezi kuyapata bila kuwepo huyu local partner fisadi wa JVA?.. Nafasi za kazi kwa wananchi? Hapana, serikali inaweza kusimamia.....Ushuru? hapana, serikali inaweza kusimamia! Hayo mambo ya JVA yanaongeza mzigo kwa wananchi wote.... Haswa haswa kwenye mambo ya teknologia yanaleta expenses ambayo wananchi lazima wabebe... Uliza kampuni zozote Tanzania ambazo zimelazimishwa kuwa na JVA kama hizo JVA zimewasaidia? ... Shida ambayo naziona na kwenye kutokua na JVA ni kwenye kampuni za kichina kama Huawei ambao wanaleta wachimba mitaro na wapiga rangi toka kwao... Lakini huu sio uzembe wa serikali?... au JV partner wao ndio anawapa kifua wasiwape wananchi kazi hata za kuchimba mitaro?
 
Nakubilana na wewe kwamba open tenda inweza kuwakatisha tamaa "serious" companies....Lakini kama hizi "serious" companies kama zinafahamu kwamba tendering iko nayo "serious" (i.e. nepotism and corruption free) si wangeweza kuingia kwenye tenda na uhakika kwamba kampuni changa na za kitapeli zitatolewa kwenye mapema mapema kwenye beauty contest... Kutumia mfano wako juu wa simu za mkononi; Evaluation commitee si inauwezo wa kutofautisha kampuni kama "Nyantuzu Mobiles", "danganyikeni supplies" na zile zenye majina kama LG, Sony Ericsson, Samsung NK?.... La maana haswa n kwamba mwisho wa siku, kampuni kama "Nyantuzu phones" haiwezi kuwa na uwezo wa kuwasilisha hizo simu kwa bei ya chini kuliko manufacturers wenyewe kama LG au Sony Ericsson? .....Sikatai kwamba kuna vitu kama import duty kampuni kama nyantuzu phones inaweza kukwepa kujipa advantage, lakini vilevile si ni vitu ambavyo serikali inaweza kusimamia?...Tunaweza kwenda mbali na argument hii, lakini kwa ufupi ni kwamba "open tender" sio kikwazo cha kupata "best deal"...

........don't argue kama hujui kitu.........this is very low from you......nazidi kuthibitisha kuwa hujui/huna uzoefu wa procurement.........you are deadly wrong...........

........watu kama nyingi ndio mnaotuingiza mkenge wa kama akina Lowassa na RDC.....because you pretend to know what you are doing.........kumbe hujui kitu................

Haya mambo hayaongozwi na feelings.......ni facts tu.....period
 
Wote tunajua kwamba uswahili huu wa "Joint venture agreements" na local entities ni njia ya ufisadi tu, haswa kwenye area ya teknologia. Lazima nikubaliane na Masha kwamba ni "Minor issue" . JVA ni njia mojawapo ya kuwapa mamemba wa tendering board na evaluation commitee na wapambe wao njia ya kula in the long term... Mbona huu upuuzi haupo ulaya kwenye "dili ndogo" kama hii (152 mio USD)?...Sagem ikija Tanzania kuna manufaa gani ambayo wananchi/serikali haiwezi kuyapata bila kuwepo huyu local partner fisadi wa JVA?.. Nafasi za kazi kwa wananchi? Hapana, serikali inaweza kusimamia.....Ushuru? hapana, serikali inaweza kusimamia! Hayo mambo ya JVA yanaongeza mzigo kwa wananchi wote.... Haswa haswa kwenye mambo ya teknologia yanaleta expenses ambayo wananchi lazima wabebe... Uliza kampuni zozote Tanzania ambazo zimelazimishwa kuwa na JVA kama hizo JVA zimewasaidia? ... Shida ambayo naziona na kwenye kutokua na JVA ni kwenye kampuni za kichina kama Huawei ambao wanaleta wachimba mitaro na wapiga rangi toka kwao... Lakini huu sio uzembe wa serikali?... au JV partner wao ndio anawapa kifua wasiwape wananchi kazi hata za kuchimba mitaro?

.......very funny.......this your argument says alot of your thinking and yet still..........shows you don't know anything..........

......na kama wewe ni mmoja wa watu wenye dhamana sehemu..........itakuwa ni disaster..........i mean pure mess..........geeeez!
 
Tunajua je kama hayo makampuni mengine yaliyopitishwa hawakutoa kitu kidogo kwa wajumbe?
 
He he..

Watu hapa wanarusha tu below pars zao bila hata kujua wanachoongelea.

Kigezo cha partnership ya kampuni ya kigeni na kampuni ya kizalendo, ni kigezo cha kawaida kabisa ktk miradi inayohusisha serikali yetu na WB.

Get this straight into your heads guys..
 
Kwani hizo billioni 200 za National ID zimepatikana wapi wakati kila kukicha serikali inasema haina hela za mambo muhimu kama kuagiza Matractor, kujenga daraja la Kigamboni au kujenga barabara za kwenda mikoani kama Mwanza, Mtwara blah blah

Sisi huku mikoani hatuzitaki hizo National ID, za nini?? Je zitatupatia mbolea au matractor??? Mimi naona hii project iwe ya Dar ID project ili kupunguza gharama sababu mtu naishi kwenye nyumba ya udongo huku Moshi halafu unataka kunipa National ID mimi na familia yangu ya watu 20 Cost appro 100,000, si mnipe mkopo nijikomboe??

Yaani bilioni 500 za BOT towers + 200 billioni za RDC + Billioni 133 za EPA + Billioni 200 za National ID, ...........................

si wakulima wote wangekuwa wana matractor, mbolea za kutosha na wataalamu wa kufanya nchi iwe net exporter wa mazao ya chakula, matunda, maua, juice blah blah???

Bongo bwana wazimu ni wetu wenyewe.
 
Kuna taarifa zimepikana sasa hivi kuwa Masha na Wapambe wake wameisha wanunua baadhi ya waandishi wa habari wa magazeti fulani ili wamsafishe, na pia wawachafue washauri wa Mradi na Waziri mmoja, Zitto na Dr. Slaa. Majina ya waandishi hao, magazeti watakayoyatumia yametajwa na report wanayoiandaa imepatikana pia. Naifanyia kazi kabla ya kuitoa hadharani (Katika JF).

Ijumaa ya tarehe 30.01.2009, Waziri Masha alionekana akimpa "documents" mwandishi wa habari ambae ni Mhariri wa moja ya magazeti yaliyonunuliwa kufanya kazi hiyo. Inaaminika kuwa moja ya "documnts" hizo zilitmika ktk matoleo ya magazeti yalifuata, yaani kuanzia Jumatatu ya tarehe 2 February 2009 na Alhamis ya tarehe 5 February 2009.


Tuoe vitu vya moto mzee
 

hata ulaya wanapokea 10% tena ni hivi karibuni tu ambapo serikali za ulaya zilibanwa sana na wamerekani huko world trade organization (wto) wakati negotiations za trade and competition kuhusu haya masuala. hivyo usisema watu kama hao hawawezi kutoa 10% kwa vile wamepatiwa kazi na wadachi
 
Nadhani hapa CS na genge lake walifikiri kuwa Masha ange-bow out halafu ingekuwa business as usual. Lakini kitendo cha Masha kuandika kwa PM kimewaudhi sana wakuu. Kwa hiyo kinachofanyika ni kuhakikisha wanamgeuzia Masha kibao. Trust me, kama masha angekubali kukaa kimya wala tusingejua nini kinaendelea.

Bravo Masha

....Nikweli kabisa......wala tusingeusikia UPUUZI wa Masha kama ilivyo sasa hivi.........ametufungua macho kutonyesha kuwa yeye ni MTOVU WA NIDHAMU.........kwenye taratibu za kazi.........

.......kama kamati inafanya kazi sawia unataka kusikia nini (it is a confidential process).........trust me....kama kungekuwa na tatizo ktk utendaji wa kamati........smart bidders baada ya kupata matokeo wangefanya kinachotakiwa kufanyika to the right/appropriate channels ktk muda unaotakiwa before tender is awarded (kwani muda kuhusu appeals if one feels unfairly treated unakuwepo)...........na sio UPUUZI walioufanya SAGEM........damn!
 
- Unajua tukifikia mahali tukaachana na National IDs kwa sababu ya kuogopana ufisadi, then ni vyema kuwakabidhi rasmi taifa hili mafisadi tunatakiwa kuongelea kufikishwa Kisutu kwa mafisadi wa huu mradi kama wapo na ushahidi upo,

Wakuu tunataka respect kwa the rule of law, sio fear of mafisadi.
 
Last edited by a moderator:
Bla bla nyiiingi kama kawaida ya Mdanganyika, akijua kitu basi ndio ooh najua najua, procurement procument, jurisdiction na ma PS, kama hujui nyamaza, inaonekana hujui etc etc Kisa kuna mtu alisema kama unajua sema basi.

Sio Kwamba alikuwa hajui bali ni katika kutuliza mzuka wa kujua. Yaani imekuwa kama kwenye kijiwe cha tangawizi.


What if Masha angenyamaza na hii process fake ikaendelea? Hii skewness ili kumbomoa Masha imezidi. Punguzeni chuki na muangalie upande wa pili wa shilingi ili kuweka fair judgement.
 
Hili swala limefikia mahala lipigwe chini tu kwa sababu vitambulisho vinaweza kutengenezwa na serikali yetu pale Pugu road - Government press... Hiki ni kipande cha karatasi tu umuhimu wake unakuja kama tuna database yenye uwezo wa kuchukua na kuhifadhi Uraia wa watu..Kama fedha itumike basi itumike ktk kulinda server na data za vitambulisho na sidhani kama inaweza kufikia mabillioni ya fedha..
Ikiwa tumeweza kuwa na jarida la wapiga kura, tunatengeneza vitambulisho vya uanachama wa vyama vyetu vya siasa locally,na records zake zipo safi tu iweje vitambulisho hivi tuvipe uzito mkubwa wa kutumia mabillioni ya fedha kama vile hivi vitambulisho vitakuwa vinatema tax credits za dhahabu yetu..

Sawa upo umuhimu wa kuwa na vitambulisho kwa raia wote lakini umakini wake utatoka ndani ktk kuandaa wapokeaji vitambulisho hivyo na jinsi ya kukinga data zinazohifadhiwa na serikali sio shirika linalotengeneza kitambulisho hicho..
Uchapishaji wanaweza kabisa kutoa vitambulisho bila kupoteza muda na gharama kubwa kulipa mashirika ya nje wakati sote tunafahamu kuwa hakuna kitambulisho ambacho ni 100% forge proof!.. HAKUNA.
 
Bla bla nyiiingi kama kawaida ya Mdanganyika, akijua kitu basi ndio ooh najua najua, procurement procument, jurisdiction na ma PS, kama hujui nyamaza, inaonekana hujui etc etc Kisa kuna mtu alisema kama unajua sema basi.

Sio Kwamba alikuwa hajui bali ni katika kutuliza mzuka wa kujua. Yaani imekuwa kama kwenye kijiwe cha tangawizi.


What if Masha angenyamaza na hii process fake ikaendelea? Hii skewness ili kumbomoa Masha imezidi. Punguzeni chuki na muangalie upande wa pili wa shilingi ili kuweka fair judgement.

........Uzuri wa JF ni kuwa kuna watu aina tofauti na field zao.......wapo akina Mwendapoles + Agustus hapa ni wanasheria, na inapofika ktk maswala ya sheria hutuelimisha na tunawakubali.....no hard feelings

wako akina Fundi Mchundo, Invisible, Morani75 yakija mamboya uhandisi wantushushia mavitu....nohard feelings

wako akina GameTheory, Kitila Mkumbo, Susuviri, Mkandara Mzee Mwanakijiji.....nao wakishuka na political science zao.........again no hard feelings

Kuna akina Mwl Prof Kichuguu, Prof Augustine Moshi.....well and the list goes on........ndio uzuri wa JF

.....hakuna cha skewness hapa......Masha anajadiliwa kulingana na kitendo alichokifanya......ukiwa Waziri/mwansheria haina maana upindishe kanuni za field usiyoifahamu..........na ndio maana tuliishia ktika UPUUZI wa RICHMOND...........

......you can say anything you want......hakuna anyemchukia Masha hapa........ni facts tu.........kama unaona ni blah blah you better go back to school..........

........siku zote hapa tunalilia utawala wa sheria....kumbe ndani ya mioyo yenu ni "MIFISI"........no wonder "WAAFRIKA NDIVYO TULIVYO"
 
.....hakuna cha skewness hapa......Masha anajadiliwa kulingana na kitendo alichokifanya......ukiwa Waziri/mwansheria haina maana upindishe kanuni za field usiyoifahamu..........na ndio maana tuliishia ktika UPUUZI wa RICHMOND...........

......you can say anything you want......hakuna anyemchukia Masha hapa........ni facts tu.........kama unaona ni blah blah you better go back to school..........

........siku zote hapa tunalilia utawala wa sheria....kumbe ndani ya mioyo yenu ni "MIFISI"........no wonder "WAAFRIKA NDIVYO TULIVYO"

Kwa nini unaangaliwa upande mmoja tu wa Masha, kwa hakuna mwingine anayeweza kuwa ndio root course ya hilo tatizo.

Kuna Mengi yamejificha hapa, na la kwanza ni uhusiano kati ka Masha na Katibu Mkuu wake! Inakuwaje Katibu Mkuu anamby pass Waziri wake?

Kwenye post yako moja ndugu mtaalam umesema kuwa waziri ana input kwenye cabinet paper, iweje leo katibu Mkuu wa Waziri na Katibu Mkuu Kiongozi wanafanya mawasiliano bila kumshirikisha Waziri (naomba sababu za kikanuni au kisheria tafadhali)

Kama Katibu aliona kuna mushkeli katika maagizo au maamuzi au utendaji wa waziri katika mambo ya tender, kwa nini asimtaarifu waziri mwenyewe kwamba hapa boss una/mechemsha hivyo hili suala naliforward kwa boss wangu mwingine ambaye ni Katibu Mkuu kiongozi?

Kwa vile watu wameshakariri Masha mtoto, Masha Fisadi, Masha hawezi kazi, Masha mbabe basi watu weeee watasema kila possibility hadi aonekane guilty.

Binafsi sina ubia na Masha wala mafisadi. Ningependa rule of law Tz, sio siasa za fitina, kutegena, majungu, inferiority compelexes na chuki kama wanavyomfanyia Masha.
 
Ogah, mkuu u nailed it, nadhani kuna watu wanadhani tuna chuki binafsi na Masha na ndo tatizo la wanasiasa wengi wa Bongo. Mnafahamu kwamba mpaka leo Lowassa anaamini kuwa Mwakyembe ana chuki binafsi naye? It's unbelievable. We are too thin-skinned kwa sababu hatujiamini.
This is not personal! Masha made mistakes that as Minister he cannot afford to make. And of course he has political rivals who are busy waiting for him to screw up in order to show him up. So he should have been smarter than shooting off letters complaining about a decision made by a legitimate body. Even if he had any qualms, he should have done a bit more homework before taking action. Now he looks like the lacket of Sangem! Not very smart!
 
Kwa nini unaangaliwa upande mmoja tu wa Masha, kwa hakuna mwingine anayeweza kuwa ndio root course ya hilo tatizo.

Kuna Mengi yamejificha hapa, na la kwanza ni uhusiano kati ka Masha na Katibu Mkuu wake! Inakuwaje Katibu Mkuu anamby pass Waziri wake?

Kwenye post yako moja ndugu mtaalam umesema kuwa waziri ana input kwenye cabinet paper, iweje leo katibu Mkuu wa Waziri na Katibu Mkuu Kiongozi wanafanya mawasiliano bila kumshirikisha Waziri (naomba sababu za kikanuni au kisheria tafadhali)

Kama Katibu aliona kuna mushkeli katika maagizo au maamuzi au utendaji wa waziri katika mambo ya tender, kwa nini asimtaarifu waziri mwenyewe kwamba hapa boss una/mechemsha hivyo hili suala naliforward kwa boss wangu mwingine ambaye ni Katibu Mkuu kiongozi?

Kwa vile watu wameshakariri Masha mtoto, Masha Fisadi, Masha hawezi kazi, Masha mbabe basi watu weeee watasema kila possibility hadi aonekane guilty.

Binafsi sina ubia na Masha wala mafisadi. Ningependa rule of law Tz, sio siasa za fitina, kutegena, majungu, inferiority compelexes na chuki kama wanavyomfanyia Masha.

Uwiano mkuu, naheshimu sana efforts zako za kuangalia pande zote za shilingi, and I think that we would not do Masha justice if we would not, my problem with this entire issue is that Masha has to admit he made a mistake and let me just quickly point out, the PS post is technocratic not political unlike the ministerial post. The daily running of the ministry belongs to the PS, the minister is often not personally involved. I think Masha was not fully aware of this, or thought that he was the exception that proves the rule. I do not know why, nor do I want to second guess his thoughts and intentions, but we have the letter he wrote as proof that he did interfere in a process where he had no formal role. He put his ego front and acted as an offended party. It was a mistake and he will pay the political price for this.
 
Saa ya ukombozi ni sasa. Uzi ule ule! Wataondoka tu! Hawawezi kuendelea kupokea hongo za rejareja tukae tukiwatazama tu!
 
Back
Top Bottom