Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Saa ya ukombozi ni sasa. Uzi ule ule! Wataondoka tu! Hawawezi kuendelea kupokea hongo za rejareja tukae tukiwatazama tu!

You will be surprised by the extent of stupidity of human beings!
 
1. Bla bla nyiiingi kama kawaida ya Mdanganyika, akijua kitu basi ndio ooh najua najua,

2. procurement procument, jurisdiction na ma PS, kama hujui nyamaza, inaonekana hujui etc etc Kisa kuna mtu alisema kama unajua sema basi.

3. Sio Kwamba alikuwa hajui bali ni katika kutuliza mzuka wa kujua. Yaani imekuwa kama kwenye kijiwe cha tangawizi.

4. What if Masha angenyamaza na hii process fake ikaendelea? Hii skewness ili kumbomoa Masha imezidi.

5. Punguzeni chuki na muangalie upande wa pili wa shilingi ili kuweka fair judgement
.

- JF sometimes huwa inachanganya sana, kumbe ni lazima kua makini sana unaposoma hoja za members hapa,

- mkuu huu msimamo umeuchukua lini tena wa kumtetea Masha? I am lost! Kumbe ukimtetea wewe ni sawa ila ikiwa mimi ndio inakuwa tatizo na ushujaa mwingi? au? Bwa! ha! ha! ah!
 
1. ........don't argue kama hujui kitu.........this is very low from you......

2. nazidi kuthibitisha kuwa hujui/huna uzoefu wa procurement.........you are deadly wrong...........

3. ........watu kama nyingi ndio mnaotuingiza mkenge wa kama akina Lowassa na RDC.....because you pretend to know what you are doing.........kumbe hujui kitu................

4. Haya mambo hayaongozwi na feelings.......ni facts tu.....period

- Duh! Mkuu Ogah, this is wasup!
 
..hivi pamoja na matatizo yote ya Masha hamuoni kwamba hata hao wanaomuandama wana matatizo?

..Masha ameingilia utaratibu wa tender, lakini huyo anayemtuhumu naye amekwenda kuiba nyaraka za serikali na kuzipeleka magazetini.

..hivi hamuoni kwamba hapa kuna wakosaji wawili, na wote inabidi waangukiwe?

..jamani, tumeshamshambulia Masha vya kutosha, sasa tunapaswa kuwageukia hao wanaomtuhumu na kuchunguza wana maslahi gani ktk suala hili.

..je, makampuni yaliyopitishwa so far ni yapi? kama tunauwezo wa kuchomoa mabarua ya Mawaziri, na Chief Secretary, basi pia tunao uwezo wa kuchomoa nyaraka ya hiyo tender board na kujua wanafanya nini na makampuni yapi wameyapitisha.

..Jamii Forums due deligence isiishie kwa SAGEM na Masha. napenda kuyajua makampuni yaliyoomba kazi, rekodi za project walizokwishafanya, na who is behind them in Tanzania.

NB:

..hakuna kinachoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania ambacho hakina maslahi ya watu fulani nyuma yake.

..hivi bado hatujajifunza tu jinsi mtandao walivyotumia magazeti na kuchukua 80% ya watanzania msukule kwa kutumia magazeti?
 
- Dataz za kutoka kamati ya bunge ya ulinzi na usalama, ni kwamba leo ndio kabisaa hawaelewani, kwa sababu inasemekana kwamba hata wao sheria either hawaijui au haikufuatwa inavyotakiwa hapa kwenye ku-deal na hii ishu,

- Masha hakutakiwa kujitetea au kuijibu kamati akiwa na document muhimu sana kuhusu huu mchakato, ambayo wao kamati, wamempa Masha, either bila kujua sheria au kwa makusudi aitumie kwa utetezi, wajuzi wa mambo wanasema kwa hilo kamati ilijimaliza yenyewe.

- Kingine ni wajumbe wa kamati nao pia baadhi yao ni very suspect, Tom Mwango'nda kumbe ni mjumbe wa hii kamati ya kumhukumu Masha?

Bado tunaendelea kuzifuatilia hizi dataz, soon nitakuwa na more zaidi.
 
- Unajua tukifikia mahali tukaachana na National IDs kwa sababu ya kuogopana ufisadi, then ni vyema kuwakabidhi rasmi taifa hili mafisadi tunatakiwa kuongelea kufikishwa Kisutu kwa mafisadi wa huu mradi kama wapo na ushahidi upo,

Wakuu tunataka respect kwa the rule of law, sio fear of mafisadi.

Maneno yako ni sahihi kabisa mkuu FMES. Nimesoma mengi yanayoandikwa na nimesikia mengi yanayosemwa. Nilichobaini kuwa Masha anaweza kuwa targeted kisiasa zaidi kuliko inavyotakiwa ieleweke. Ukiangalia sababu amnazozitoa masha kwa nini alilazimika kuwasilaian an PPRA na kulinganisha na tuhuma anazorushiwa bila kujali defence yake, mtu unabaini kabisa kuwa hata kama na yeye alikuwa na lengo la kuingiza ufisadi wake katika mradi huu, lakini ameteleza na amezidiwa maarifa na mafisadi wengine walio upande wa pili na ndio hao wanamning'iniza sasa. Hii ina maana kuwa si Masha wala wale wanaomlaumu (si humu) ambaye ana nafuu katika kuushughulikia mradi huu kwa usafi unaotakiwa. Kama akiondoshwa Masha, watakaobaki kuushughuolikia huu mradi hakuna ambaye hajaenda njia ambayo Masha anadaiwa kuienenda. Na ndio maana mimi naamini kuwa huu mradi uachwe kwa muda, mpaka serikali itakapojipanga upya kuhakikisha kwua mradi utatekelezwa bila mizengwe
 
........hapa kuna mbinu za kijasusi zimetumika............kuna kila ina ya dalili kuwa Masha + SAGEM wamefanya makusudi kabisa (kuleta huu mvurugano).........ili zoezi zima lifutwe na kurudiwa......kwa kuwa walishaona nafasi yao ni ndogo mno kurudi tena kwenye mchakato...........kwa hiyo

1. Barua ya Masha kwa PM ni deffensive mechanism ili kulinda nafasi yake
2. Kurudiwa kwa zoezi zima kutaipa nafasi tena SAGEM kushiriki.........trust me na next time hawatafanya makosa ya kijinga........

MAPENDEKEZO:
1.Kwa kuwa SAGEM wamekuwa singled out na Mh Waziri......endapo hili zoezi litarudiwa hawa wasipewe nafasi ya kushiriki....kwa sababu ya kukiuka taratibu za ku-lodge complain......ktk initial process

2. Airisha mradi kwa sasa...tuna mambo mengine muhimu ambayo yana immediate impact ktk uchumi yanahitaji kufanyiwa kazi.......kama kilimo, miundombinu,.....channel that money huko.....
 
- JF sometimes huwa inachanganya sana, kumbe ni lazima kua makini sana unaposoma hoja za members hapa,

- mkuu huu msimamo umeuchukua lini tena wa kumtetea Masha? I am lost! Kumbe ukimtetea wewe ni sawa ila ikiwa mimi ndio inakuwa tatizo na ushujaa mwingi? au? Bwa! ha! ha! ah!


na wewe nae, hata masaa 24 hayajapita toka useme hayo hapo chini. Msimamo wangu hauhusu hapa. Wewe una yako na mimi nina yangu.

Nafiki, ongo na acha hizo.


- By the way, naomba kusema neno moja dogo sana, ni kwamba ninawaomba wananchi hapa JF tufike mahali tuelewe sababu ya kuwepo kwetu hapa JF, mimi ninaamini kwamba ni taifa na sio anything else, na ninaamini kwamba wananchi wote tulioko hapa JF tuna uchungu ulio sawa kwa taifa letu na besides hapa ni mahali pa mapambano ya fikra pia, lakini lengo ni kulisaidia na ili tulikomboe taifa letu kutoka mikononi mwa viongozi wachache waliotusaliti wananchi wa taifa hili Tanzania.

- Ninasikitishwa sana na baadhi yetu wananchi kushindwa kuelewa kwamba kila kitu kwenye maisha kina wakati wake na msimu wake, katika mapambano ya fikra za kisiasa kama ilivyo hapa JF, sio ajabu kuwepo na patashika za hapa na pale, lakini tatizo linakuja pale wengine wetu wanaposhindwa ku-let it go, kuna msimu wa kucheka na msimu wa kulia, lakini haiwezekani ikawa mkisha pitia msimu wa kulia tu basi iwe kila siku kurudia rudia yale yale ya msimu wa kulia, tunapoteza focus wakuu yaani taifa.

- Mambo mengi yanafanyika na kutupita wakati tunapoteza muda, hivi unajua sasa hivi ni marufuku kwa wafanyakazi wa serikali kufungua JF? Hivi unajua kua ni marufuku kwa wafanyakazi wa serikali kukutwa na kijarida cha Fikra za cheche? Hivi unajua mafisadi sasa wanakaribia kulishika taifa tena maana hapa kati kati walianza kuishiwa nguvu? Lakini finally nguvu zimeanza kuwarudia tena, huku sisi tukipoteza muda hapa kusifiana na kuchekana wakuu tuamke!

- Hivi ni nani anakuwa na sifa kubwa hapa JF, kwamba ni mchambuzi makini, kwamba ni bingwa this or that? Nani huyo ambaye wananchi wetu wa mijini na vijijini wamemsikia na kumjua kua ni mkombozi wao mkubwa? JF tulikuwa na sifa kubwa sana huko nyuma kwa sababu we were working together kwa manufaa ya taifa, kwenye kila hotuba ya rais in the first two years in power tulikuwa hatukosi kuwemo, akituita "watu wa internent" tulikuwa hatukosi kwenye hotuba za rais, mara ya mwisho tulitajwa kwenye hotuba yake bungeni mwaka jana, that was it hajarudia tena kututaja, WHY? ni kwa sababu tumeanza kukosa muelekeo, tumeanza kuwa mimi, mimi, mimi, na me myself and I, tumeanza kukalia ya jana tu yaani mambo ya Jumapili mpaka leo bado tuu, vipi wakuu tunarudi nyuma sasa amukeni twende mbele.

- Ndugu zangu lets get serious tena, hakuna wa kusifiwa hapa wakati taifa linadidimia huku bongo, acheni wananchi wa nje ya forums wasifie iwapo wanaguswa na kinachoendelea hapa, lakini haya ya kuvunjiana heshima na maneno mengi yasiyosaidia taifa sidhani kama yanaweza kutusadia kwenye long run, sawa hatuwezi kuzuia malumbano, lakini yakiisha yaishe tusonge mbele sio kukalia yale yale tu ya jana inakatisha taamaa wananchi walio serious wakuu, zamani tulikuwa tunasifiwa na magazeti na hata viongozi wetu, lakini sasa tumegeuka kutafuta sifa tu wenyewe tena sometimes kwa nguvu nguvu na ujanja ujanja as if wananchi wa vijijini wanafadika anything na hizi sifa, please lets work together wakuu, too much division hapa sasa,

- I mean hatuwezi wote kua na msimamo sawa, lakini ni lazima tuheshimiane kwamba lengo letu ni moja nalo ni kulikomboa taifa, tunakua na nguvu sana tukiwa pamoja, lakini sio tukigawanyika kama tulivyo sasa, we are losing this war na mafisadi wakuu, tulumbane lakini yakiisha yaishe yakija yaje, lakini yakipita yapite na tusonge mbele ndugu zangu, taarifa nilizoazipata leo kutoka Dodoma zinasikitisha sana wakuu, hebu tupunguze yasiyokuwa na faida kwa taifa na hasa wananchi wanaotuangalia sana hapa JF kama darasa la kuwakomboa kimawazo, maana ni wengi sana kuliko wengi wetu tunavyofikiri.

Haya ndugu zangu sana Fundi Mchundo, Kuhani, Uwiano Maalum, Nyani, Yoursnameismine, na wengineo wote tukaze buti sasa taifa linadidimia hili, ya jana ya jana, ya kesho ya kesho, lakini one day at a time.

Ahsante Wakuu wote, na Mungu Aibariki JF.

Baharia - FMES!
 
Last edited by a moderator:
Zalendohalisi..............jaribu kuangalia ile document iliyowekwa na Invisible.......halafu tunaomba, maoni yako please.........


Ndugu Ogah,

Hiyo document nimeipitia na maoni yangu binafsi ni haya yafuatayo:

Tangu mwanzo wa huu mradi ID Cards kuna watu walikuwa tayari wamejikita "kula/kuumiliki" huu mradi na kama unakumbuka sometimes early last year tuliliongelea hili swala na watu kama kina Membe, Rama Mwikalo, Kahama, Gotham na wengine walizungumzwa kuhusiana na hili swala. Kwani unadhani wametoweka? They are alive and well pesa taaamu arawa! BTW kuna jamaa yangu wakati Fulani alinimegea list ya wale waliokatiwa kwenye “mradi wa Radar, sikuamini macho yangu maanake walikuwepo ma-PS na mawaziri toka awamu ya pili – Mzee Ruksa. Kwa hivyo Marsha alipoingia wizara ya mambo ya ndani alikuta kitu kinachoendelea ambacho kilishasukwa na kupikwa fika. , Kama waziri mwenye dhamana ya wizara hiyo, aliamua kuwa “transparent” na kumwomba Rais aidhinishe mabadiliko ya tendering ya mradi huu toka kuwa wa siri “ closed tender” badala yake uwe wa wazai “Open tender”.

For your information kuna mradi wa AFIS (Automatic Fingeprint Identification System) ambayo wizara hiyo hiyo iliufanya close tena baada ya Mahita kumlilia Ben Mkapa aufanye closed badala ya kuwa open tender na nasikia hao jamaa wa Sagem walienguliwa kinamna na wakapewa TechnoBrain kawa gharama ya mara tatu na serikali ikalipa US$1.30Million. Ukweli unaojulikana ni kuwa hadi leo hiyo system haifanyi kazi na imewekwa pembeni. Kwa hivyo Marsha had first hand information kuwa kuna watu waliokuwa wamejiwekea enviroment ya kujinufaisha. Hii ikiwa ni pamoja na kuchagua technology na model - Malaysian model wakati hata hawajui kuwa Malaysia yenyewe inatumia technology ya wengine - for that matter Sagem!

Masha kupewa ruhusa na raisi kuifanya tender iwe open iliwaudhi watu wengi waliokuwa wako tayari. Kwa hivyo ikabidi plan B itumike - ambayo ni kuwaondoa wenye uwezo technically by any means necessary. Ndiyo maana wkatumia kigezo cha kuwa Sagem hakuweka document za mkataba na partner wake wa kitanzania, wakati kwenye document ya tender hilo ni optional. Pia kuna makampuni zaidi ya 13 ambayo yalienguliwa na vigezo ambavyo ni optional - "non-material deficiencies" kwa lugha ya kitenda.
Kwanza hi phase ilikuwa ya "Expression of Interest" na kama sijakosea and I stand to be corrected, ni awamu ya kuangalia uwezo wa mzabuni kitaaluma na kifedha; kafanya miradi mingapi, track record yake vipi etc. Siyo wakati wa kutaka kuona kuwa kasaini mkataba na nani hapa bongo wakati hata kazi hajapewa wala hata scope ya kazi yenyewe haieleweki. Kwa hivyo ndugu Masha kuliingilia hili likiwa bado mimba changa ni sawa kabisa na kutokan na Sagem kulizwa pale polisi kwenye wizara hiyo hiyo nadhani walishtuka mapema ( na lazima nao pia wana watu wao kama vile Slaa alivyo nao, ngoma droo) na kulalamika. Kwa nini walimlalamikia Masha, hilo Sagem ndo wanajua and we can speculate all night long.

Hiyo kampuni ya Malaysia iliyopewa ushindi No. 1 yenyewe hata financial statement hawakuwa nazao lakini wakapewa nafasi ya kuzileta baadaye (maybe cooked ones kwa vile wana uhakika wa qualification). Ukirudi nyuma mwaka jana, niliwaelezea kuhusu Membe na safari yake Malaysia na ugomvi wake na Lowasa etc. Inakuwaje Malaysian company ambao hata hawana "Core Technology ya Biometrics wala za SmartCard" wanapewa hiyo kazi bongo wakati huo hata kwao kwenyewe hawapeti. Ama kweli bongo Doho Taabu! Unakuja na dola tano na briefcase unarudi kwenu milionea
Naamini kuwa alilofanya Masha ni sahihi - kiutendaji - ila motives zake namwachia yeye na Mungu wake. Marsha alitoa pendekezo kuwa hayo makampuni 21 yapewe nafasi ya kutender for the project badala ya manane. La kusikitisha ni kuwa hayo makampuni yaliyobaki uwezo wao colectively haufikii hata nusu ya hayo 13 yaliyoenguliwa kwa non-technical criteria. Hilo likampuni no.1 according to the tender committee halina hatatrack record ya fully functional National ID system within Sub-Sahara. La uhakika ni kuwa Masha has made a lot of dangerous enemies, kina Membe, Mungai, Luhanjo na wengine wetu tunaoshabikia with our own biases at hand.

Habari za kuaminika toka Dodoma ni kuwa Wilbrod Slaa kakubali kuwa alichofanya Masha ni sahihi baada ya kupata nafasi ya kumsikiliza Masha; PPRA pia wameafiki na kukubali kuwa alilofanya Masha ni sahihi kwa vile kama tenda ingetolewa na Sagem walalamikie sababu amabazo si za kimsingi, serikali ingelizwa mabilioni mengi tu. Lakini la ajabu ni kuwa tumejenga tabia za ajabu saana kiasi cha watu kufikia conclusion kwa information zisizokuwa timilifu tena za upande mmoja.

Naomba hili nili tolee mfano wa EPA wakati raisi JK alisema kuwa pesa zirudishwe kwnza the ndo mabo ya mahakamani baadaye. Wengi wetu tulimlaani sana. Lakini mbona walipofikishwa mahakamani na dhaman zao zikawekwa katika kiwango kinachoendana na mashitaka, mbona masifasi hao walirudishiwa mabilioni kwa amri ya mahakama. Je kama wakati ule JK angewapeleka mhakamani moja kwa moja je hayo mabilioni zaidi ya 70 yangepatikana wakati dhamana wamepewa kwa bei poa! Si afsdhali hizo 70+ zilipatikana. Jama tuwe na tabia ya kusikiliza pande zote with an open mind.
Kamati ya bunge imeshindwa kufikia uamuzi katika lile Masha analotaka waliseme wazi - vindication; Nalo ni kusema wazi kwa umma wa Tanzania kuwa alichofanya waziri Masha ni sahihi na hoja ya Slaa haina msingi, na hii ni baada ya Slaa kuelewa undani wa issue yote. Kwa hili nakubaliana na Slaa (yeye kukubali kuelemishwa) in the sense kwamba kama unaelezwa issue na ukaielewa tofauti na ulivyokuwa unaielewa mwanzoni, uungwana ni kukubali; ingawa watanzania watakuita majina kibao, umehongwa, umenunuliwa, huna-backbone, msaliti, umechemsha nk.

Tatizo walilonalo wanakamati ni kuwa wapo wale wa "selective tendering" waliotumia plan B ya kuwabakiza wao mmoja na maboya saba, wakikubali kuwa Masha ana hoja basi wamelizwa. Na ninasema with confidence maanake toka skata hili lianze nimefanya ka-reserch mshenzi mtandaoni na kufikia conclusion kuwa hawa jamaa Sagem ni kiboko, ndo maana wanamwagiwa changa la jichoni na akina Membe na wenzake! Ila nasikia Masha amekataa kata kata kuwa lazima watanzania waeelezwe nini kime-transpire na kuwa uamuzi ni upi.

Shida ni hii; nani ana ubavu wa kusema huo ukweli wakati wenye magazeti ndiyo wapambe wa mradi ( nasikia Mengi kainunua Majira??). Kwa ndngu masha ALUTA CONTINUA. Let them come in the open as they did na watubu/kukiri makosa yao kuwa they jumped the gun.

Ogha, je umenipata brother, that is my personal opinion and I stand to be corrected !

ZalendoHalisi
 
........hapa kuna mbinu za kijasusi zimetumika............kuna kila ina ya dalili kuwa Masha + SAGEM wamefanya makusudi kabisa (kuleta huu mvurugano).........ili zoezi zima lifutwe na kurudiwa......kwa kuwa walishaona nafasi yao ni ndogo mno kurudi tena kwenye mchakato...........kwa hiyo

1. Barua ya Masha kwa PM ni deffensive mechanism ili kulinda nafasi yake
2. Kurudiwa kwa zoezi zima kutaipa nafasi tena SAGEM kushiriki.........trust me na next time hawatafanya makosa ya kijinga........

MAPENDEKEZO:
1.Kwa kuwa SAGEM wamekuwa singled out na Mh Waziri......endapo hili zoezi litarudiwa hawa wasipewe nafasi ya kushiriki....kwa sababu ya kukiuka taratibu za ku-lodge complain......ktk initial process

2. Airisha mradi kwa sasa...tuna mambo mengine muhimu ambayo yana immediate impact ktk uchumi yanahitaji kufanyiwa kazi.......kama kilimo, miundombinu,.....channel that money huko.....

Ogah,

Kwani Sagem wamesema kuwa wamelalamika au waziri ndiye kasema Sagem wamemlalamikia akiwatumia kama mfano au kuna makampuni mengine besides Sagem pia yamelalamikia wazir?

Pia kwani kulikuwa na utaratibu maalum wa kulalamika ambao kina Sagem na wengine kama wapo hawakuufuata - naomba nielemishwe kwa hilo honestly, kwa vile naelelewa kuwa matokeo ya zoezi zima yalikuwa bado hayajatolewa rasmi.

ZalendoHalisi
 
Mkuu Zalendo,
What a 5 Star spin... Kweli mafisadi wamejipanga kuhit back. Hapa issue ni ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya wizara, na nafasi ya waziri iko wapi kwenye hio process, period!

Mambo ya Membe, sijui Mahita, Sijui Makatibu wakuu wa Awamu ya Pili,, yote ni kujaza post tu. Kwenye sheria good intentions are not enough, to abide by the law to the letter is what matters.

Sheria na taratibu zinasemaje?... na Masha amefanyaje? Kama una vipengele vya kisheria au kikanuni za kumtetea ziweke hapa kama wakuu Ogah na Kimvaba walivyofanya.

Hakuna asiyejua kuna vita ya kisiasa na makundi kwenye serikali, lakini hiyo isitudumaze kufanya ndio excuse ya kila uozo wa mtu...iweje Membe anatajwa kila siku na huo mradi lakini havimlipukii? Inaweza kuwa anacheza ndani ya sheria na kanuni tulizojiwekea... Na huku ndio kuheshimu sheria. Sasa kama mtu anakurupuka kila siku(si mara ya kwanza) hajifunzi rules of the game pamoja na elimu yake ya sheria, anapopigwa bao asianze hadithi za good intentions... hata DEEP GREEN ilikua kwa "good intentions", but good intentions alone ARE NOT ENOUGH!

COUNTRY FIRST... MTU BAADAE...
 
1.
Quote:
Originally Posted by Uwiano Maalum

1. Bla bla nyiiingi kama kawaida ya Mdanganyika, akijua kitu basi ndio ooh najua najua,

2. procurement procument, jurisdiction na ma PS, kama hujui nyamaza, inaonekana hujui etc etc Kisa kuna mtu alisema kama unajua sema basi.

3. Sio Kwamba alikuwa hajui bali ni katika kutuliza mzuka wa kujua. Yaani imekuwa kama kwenye kijiwe cha tangawizi.

4. What if Masha angenyamaza na hii process fake ikaendelea? Hii skewness ili kumbomoa Masha imezidi.

5. Punguzeni chuki na muangalie upande wa pili wa shilingi ili kuweka fair judgement.

2.
Quote: Uwiano Maalum

na wewe nae, hata masaa 24 hayajapita toka useme hayo hapo chini. Msimamo wangu hauhusu hapa. Wewe una yako na mimi nina yangu.

Nafiki, ongo na acha hizo.

- Hakuna noma mkuu, katika kulitetea taifa sometimes ni lazima kuulizana tunasimamia wapi, ahsante kwa kuweka wazi msimamo wako sasa kama ulivyosema mwenyewe kwamba wewe una yako katika kumtetea Masha inaeleweka na kukubalika, bwa! ha! ha! ha! JF bwana!

- Ni hilo tu mengine yote hayahusiki na niliyoyasema yote yanasimama pale pale kwamba taifa mbele zaidi, na sisi nyuma
 
Wakuu nimewapata sana issue hapa ni kwamba Kutoka na majadiliano ya muda mrefu ya kamati bunge ya ulinzi na usalama mh. Masha hawezi kujitetea kwani kufanya hivyo ni kosa kutoka na kanuni za manunuzi.

Pia Dr.Slaa Kuwa na baadhi ya vielelezo vya serikali ni kosa kisheria ina inapaswa vijulikana vimetoka wapi.

Utawala bora na utawala wa sheria lazima ufuatwa kufuaana na taratibu bila kujali cheo,rangi, umaarufu n.k

No history here ni facts na si perception.


speed in wroung direction is irrelevant
 
Mkuu Zalendo,
What a 5 Star spin... Kweli mafisadi wamejipanga kuhit back.

Mkuu Sober,

- Kwa kawaida huwa ninakuheshimu sana na you know that na hasa michango yako ya kuvunja mbavu, lakini hapa uko off the line hizi name calling badala tu ya kuweka hoja yako sio heshima hata kidogo mkuu,

- Na ninajua kuwa wewe una uwezo wa kujenga hoja nzito kuliko hizi za below the belt, Zalendohalisi ni mkuu wa siku nyingi sana hapa, infact tumeshirkiana naye sana behind the scene, wakati ule ndugu zetu wana-JF waliposhikwa na serikali, haya maneno yako sio heshima kabisa kwake na kwa sisi wengine pia, please back off na this kind of personal attacks!

Thanxs!
 
1.

2.

- Hakuna noma mkuu, katika kulitetea taifa sometimes ni lazima kuulizana tunasimamia wapi, ahsante kwa kuweka wazi msimamo wako sasa kama ulivyosema mwenyewe kwamba wewe una yako katika kumtetea Masha inaeleweka na kukubalika, bwa! ha! ha! ha! JF bwana!

- Ni hilo tu mengine yote hayahusiki na niliyoyasema yote yanasimama pale pale kwamba taifa mbele zaidi, na sisi nyuma



Unapenda sana kulianzisha, then ukipelekwa pelekwa unaanza kulia kwamba watu wanakuonea wivu. Unaanza kupika majungu kama kawa, kwamba nimeweka msimamo wangu, msimamo wangu ni upi ewe bwana mkubwa sana kama mengine uliyosema, tena ya uongo yanasimama pale pale?

Huo umbeambea wako na hear says ndio unaita dataz, shame on you! Vitu alivyoleta Invisible vyenye ushahidi ndio tunaita dataz FYI.

On top of that, hebu weka analysis yako inayohusiana na hiyo barua ya Masha kwenda kwa Waziri mkuu. Acha kutafuta malumbano hapa (ninazidi kuona unafiki na uongo pale unaposema taifa mbele wakati wewe unaliweka nyuma na kuhusudisha malumbano).
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Zalendo,
What a 5 Star spin... Kweli mafisadi wamejipanga kuhit back. Hapa issue ni ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya wizara, na nafasi ya waziri iko wapi kwenye hio process, period!

Mambo ya Membe, sijui Mahita, Sijui Makatibu wakuu wa Awamu ya Pili,, yote ni kujaza post tu. Kwenye sheria good intentions are not enough, to abide by the law to the letter is what matters.
.....good intentions alone ARE NOT ENOUGH!

COUNTRY FIRST... MTU BAADAE...

Hi Sober,

Ni kipi kilicho kiukwa hapa honestly, tender has not been awarded nor even the documents of the actually tender are not even in place. Masha kama waziri nayo haki kutoa maoni yake kuhusu yanayotendeka ndani ya wizara yake. And that what he has done and that is the conclusion iliyofikiwa Dodoma and that is the end of the story. Hayo ya kujaza post ni yako lakini things do not happen in isolation, huwa akuna precedence na correlation of facts.

Mind you mwishoni nimesema that's waht I know and that's my perspective of which I have a right to. Sasa kama najaza post that's your view an uko swa kwa mtazamo wako and I respect that !

"COUNTRY FIRST MTU BAADAE"....... UTOPIA kama huamini muulize huyo John McCain yalimfikisha wapi.

ZalendoHalisi
 
Mkuu FMES
Points zako ni well articulated na zimekua noted. My apologies kama nimekuoffend mkulu Zalendo. Huwa naenjoy high energy debating... Lakini hii yote ni kutokana na kuifuatilia hii thread closely na kuanza kujitokeza kwa "other" explanations za kumtetea Masha hasa baada ya wewe mkulu FMES kuweka hili bandiko, and i quote:

"According to the dataz za leo, ni kwamba Dodoma kumechafuka sana tena sana, mafisadi wameshika hatamu, kuna mkakati mzito wa kumuokoa Masha na unaeleka kufanikiwa, Lowassa bado anavuta plugs tena big time.....jana usiku kikao maalum rais na baadhi ya mawaziri kuanzia saa 12 jioni mpaka saaa sita usiku, matokeo Makamba, Kingunge, na Almeir the fronts kumsafisha Masha by anymeans necessary......"

I hope umenipata nilipotokea. Tuko pamoja tukate ishu.
 
Mkuu Sober,

- Kwa kawaida huwa ninakuheshimu sana na you know that na hasa michango yako ya kuvunja mbavu, lakini hapa uko off the line hizi name calling badala tu ya kuweka hoja yako sio heshima hata kidogo mkuu,

- Na ninajua kuwa wewe una uwezo wa kujenga hoja nzito kuliko hizi za below the belt, Zalendohalisi ni mkuu wa siku nyingi sana hapa, infact tumeshirkiana naye sana behind the scene, wakati ule ndugu zetu wana-JF waliposhikwa na serikali, haya maneno yako sio heshima kabisa kwake na kwa sisi wengine pia, please back off na this kind of personal attacks!

Thanxs!
Mkuu FMES,

Those hits don't bother me, yeye anataka niseme anayotaka kuyasikia; asichojua ni kuwa wengine ukitaka "tulie ili wewe ucheke we do exactly the opposite - tunacheka ili ulie wewe mwenyewe". Usiponiamini wala kukubaliana nami usikimbilie conclusion yakuwa ni 5star Spin. Moreover any coin has two sides.

Pia I can take the beatings and as far as I am concerned, sijatoa spin yoyote humu hata siku moja. Naona niliyoyasema anadhani ni ndoto - lakini yanafanyika kila siku na kama anataka ku-confirm basi afanye ka-reserch kadogo aende pale wizarani akafanye hiyo research na tabakai mdomo wazi. Lakini kama kawaida ya waswahili wansubiri waletewe data .. kazitafute mwanamume!

Anyway FMES thanks for watching my back. Long time bro!

BTW. Marsha kaonekana mjini Dar usiku huuu .. anajisuuza kwenye viwanja vyake....

ZalendoHalisi
 
Back
Top Bottom