- Katika siasa za taifa kama hizi, kiongozi wa chini ya rais anakuwa a political distraction na liability, kwa agenda ya rais na chama tawala anapokuwa kwenye media kila siku ya Mungu kukicha either kwa mabaya au mazuri. Hapa nilipo ninaishi karibu na kiongozi mmoja mzito wa serikali, ambaye kuna wakati na yeye alikuwa kwenye magazeti kila kukicha tena kwa habari nzuri sana kwa taifa letu, lakini watawala wakaanza kuniuliza kama anataka nini huyo? Ikabidi nimfahamishe kuwa a slow down maana watawala wana tatizo na habari zake kwenye media wanafikiri anataka cheo zaidi kwenye serikali, ndio tabia za watawala, wawe wazuri au wabaya ikabidi mkulu awaombe media waache kumuandika andika.
- Masha is all over the map, hii ni kawaida katika siasa kwa kiongozi mmoja kuwa na this kind of unwanted political attetion kuna wakati ilikuwa Idd Simba, Mbilinyi, Ngasongwa, Mapuri, Mkuchika, Lowassa, na sasa Masha. Kwa habari mpya nilizonazo uwezekano wa yeye kutoka sasa ni mdogo sana na almost haupo, lakini still haimuzii yeye kufanya the right thing kwamba maisha sio uwaziri tu na kutangazwa kwenye media kila siku, jana nimesikia habari njema kwamba hatimaye ameamua kuacha kiywaji sasa hiyo aiongeze mbele zaidi na kuachia madaraka pia kwa faida yake na ya taifa pia maana sio siri kua sasa ameshakuwa ni tatizo kwa agenda ya chama tawala na rais tu, bali hata kwa maisha yake binafsi pia licha ya taifa at large.
Thanxs!