MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 504
- 63
Mkuu Inv,
Mbona zipped folder iko empty? Au ni kwangu tu?
imekula kwako mkuu hahahaha!
Mkuu Inv,
Mbona zipped folder iko empty? Au ni kwangu tu?
Yaaah, hamna kitu mkuu lakini naona watu wanaendelea na discussion, sijui wamepata wapi wanachojadili!
Mkuu Inv,
Mbona zipped folder iko empty? Au ni kwangu tu?
Yaaah, hamna kitu mkuu lakini naona watu wanaendelea na discussion, sijui wamepata wapi wanachojadili!
Yaaah, hamna kitu mkuu lakini naona watu wanaendelea na discussion, sijui wamepata wapi wanachojadili!
Ndio maana huyo mtu akasema "au ni kwangu tu"?
Msaidie member wako, sio kum blast, obviously he is doing something wrong, tusimjibu kinyume nyume!
Zamani ulikuwa unabandika PDF hapa directly, inafunguka bila hata haja ya ku download, siku hizi unaifunga kwenye zipper, why? Mpaka ku down load, halafu ku unzip, ya nini?
Wakuu hapa kazi ipo, mimi nimeona matatizo yafuatayo:-
1) uandishi wa barua siyo makini kabisa. Mhe. ni msomi (Masters holder) tena mwanasheria aliyebobea, inakuwaje aandike barua shallow hivyo! 60% ya barua ni malalamiko kutoka sagem, nilitegemea kuona kiambatanisho A, kiwe malalamiko ya sagem.
.....Kuhani, nadhani payload ya open page kwenye jamiiforums inakuwa more bearable kwa kuondoa open image files ziambatanazo na quoted messages. Offcourse, hii ina translate moja kwa moja to monetary value kwa ku-conserve bandwith usage na kurahisishia wale walioko kwenye low bandwidth connection katika kufungua page. Btw mkuu kunawezekana kukawa pia na conditions alizopewa katika kupata hiyo document.Ndio maana huyo mtu akasema "au ni kwangu tu"?
Msaidie member wako, sio kum blast, obviously he is doing something wrong, tusimjibu kinyume nyume!
Zamani ulikuwa unabandika PDF hapa directly, inafunguka bila hata haja ya ku download, siku hizi unaifunga kwenye zipper, why? Mpaka ku down load, halafu ku unzip, ya nini?
Ogah nilimiss sio bungeni ila ni kwenye baraza la mawaziri. Inawezekana kweli sijui system inavyofanya kazi, nielimishe wewe unayejua ukipata muda tafadhali.
Nziku kama kweli Waziri alikuwa akipata briefings, inakuwaje hapa analalamika
...angelikuwa 'she' labda angeliweza kwa urahisi, who knows!
Masha hapa kosa lake nini?
....same thing iliyoleta disaster and loss of billions kwa ubabe and favoritism za Lowassa kulazimisha na kuingilia kazi za bodi zilizokuwa zinaamua umeme ndio kinachofanyika hapa na huyu Masha,huyu hana tofauti na alichofanya Lowassa kwenye Richmond na anataka kutuletea incompetent company kwa ajiri ya 10% or for whatever reason ambayo cost yake still tunalipia in billions every month kwa makampuni kama IPTL,Richmond etc,this is abuse of power and corruption...he must go,fisadi mkubwa huyu!
Kuandika ameandika vizuri tu kiswainglishi swaafi ILA TU HAMNA SUBSTANCE. Yaani hiki ndicho Mh. JK alichowatuma mawaziri wetu?
Kaazi kweli kweli..
Masha hapa kosa lake nini? hebu tuambizane kwa mapana jamani. Katika hiyo barua, Masha kafanya nini kinachoonyesha kuwa yuko guilty? After all bado details zinahitajika hapa, hao Sagem walijuaje kama wameenguliwa kwenye mchakato? Nani anajua hili?
Kuna nini kimefichwa kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Katibu Mkuu Kiongozi? Kwa nini wanafanya mambo bila kumjulisha Waziri wa Mambo ya ndani? Wamemwona, mtoto sana hivyo hawezi kuwaelekeza wazee wenye uzoefu au wanataka kumwangusha Masha kisiasa?
Hao makatibu wote wawili wamemdharau waziri Masha na wanapaswa kuwajibika/shwa regardless Masha ni Fisadi, mtoto au hawezi kazi!
Una uhakika kuwa yeye ni "He"?
sawa Mkuu, lakini msingi wa barua yake ni malalamiko ya sagem kuondolewa , 60% ya maudhui ya barua ni kuondolewa kwa sagem, lengo la barua ni kujilinda dhidi ya malalamiko ya sagem, hivyo kiambatanisho kikuu ilipaswa kuwa ni malalamiko ya sagem. Kama hakuna kiambatanisho, alioaswa kutoa maelezo ya awali (introduction) ya malalamiko ya sagem. The way barua ilivyo, mimi ningekuwa PM nisingemuelewa hivyo ningemtaka alete malalamiko ya sagem.
kosa la kiuandishi nililolizungumzia ni kukosa ukamilifu (incomplete).
Watumishi wote wa serikali wapo chini ya Chief Secretary.
Tatizo la waziri Masha ktk sakata hili ni kuwa, yeye alizuia mchakato wa kumpata mzabuni...
Kama kweli Masha alitaka kuisaidia Serikali anayoitumikia, angewashauri Sagem wafuate taratibu hizo za kisheria. Haki ya mtu huwa haipotei, bali huwa inacheleweshwa tu.