Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Watu bwana, yaani kwa vile kuna thread nyingi hapa zinasema Masha fisadi, basi na hapa wameng'ang'ana Masha has to go bila kuwa na sababu which is clearly stated.

Hiyo barua haimweki ina Mawili, either Masha has to Go or hao Makatibu wakuu wawili. What if Katibu Mkuu ndio ali-leak-isha info kwa Sagem? if not what prevailed had Sagem wakalalamika? hili hakuna mtu anayetaka kuliongelea.

Kwa hiyo Masha angesubiri tu taarifa akaisome bungeni, hajui background; then akiulizwa maswali ajibu nini? If that is the system it is more than rotten, bogus and no wonder mambo yanakwenda ndivyo sivyo kila leo.

Kama hamtakubali kubadili hilo lisystem lenu la uongozi, mtaendelea kulia sana...na endeleeni kuendesha nchi kwa mazoea na sio kufuata taratibu.

Hapa hypothesis nyingine inakuwa derived kuwa huko kwenye system kuna cold war between wazee waliozoea kuendesha nchi kwa uzoefu na vijana 'labda' wanaotaka kuendesha nchi kwa kufuata organisational ranks na taratibu.

Sielewi bado bwana Ogah, inakuwaje Katibu Mkuu apeleke taarifa na Katibu Mkuu Kiongozi, na Katibu Mkuu Kiongozi atoe rulluing bila kushauriana na Waziri husika?


Sikatai kwamba Masha has to go, but there is a need to know he has to go on which grounds.

..........Cabinet paper haiwakilishwi/somwa bungeni bana..........inaelekea huelewi system inavyofanya kazi...........ndg yangu ningekuwa na muda ningekuelezea............ngoja niwahi mabox.....
 
Kwa hiyo Masha angesubiri tu taarifa akaisome bungeni, hajui background; then akiulizwa maswali ajibu nini? If that is the system it is more than rotten, bogus and no wonder mambo yanakwenda ndivyo sivyo kila leo.

Mkuu you are arguing under wrong assumption. Wewe unaamini kuwa Masha alikuwa hapati briefing. You are wrong, Masha, alikuwa anapata briefing vizuri ndo maana alijua kila kinachoendelea. Tatizo limekuja kuwa kubwa kutokana na msimamo wake kwamba makampuni yaliyoondolewa kwa kutokidhi vigezo vya ziada yarudishwe. Wakati huo huo bodi imesimamia maamuzi yake. Tena Katibu Mkuu ni muwazi sana, akamwambia wazi kwamba yeye ameridhika na maamuzi ya bodi. sasa unatetea nini mkuu?
 
Jamani hivi Masha akiamua kulia Bungeni ama kwenye Kikao cha baraza la mawaziri na kuomba msamaha si itakuwa imetosha? Kwani lazima ajiuzulu...ningekuwa Masha ningefata njia alo tumia Mh Pinda na wauwa albinos...
 
Ogah nilimiss sio bungeni ila ni kwenye baraza la mawaziri. Inawezekana kweli sijui system inavyofanya kazi, nielimishe wewe unayejua ukipata muda tafadhali.

Nziku kama kweli Waziri alikuwa akipata briefings, inakuwaje hapa analalamika.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hoja ipo kwenye kamati ya ubunge mambo ya nje,ulinzi na usalama, kinachotakiwa kama waziri mkuu alivyosema DR.slaa angesubiri mchakato umalizike hapo pangekuwa patamu na ingekuwa kazi rahisi kumuhukumu muhusika halisi.

Kama angesubiri ingetokea irreversible damage!

Waziri hawezi kukaa anaangalia mambo yanaenda kimizengwe ndani ya wizara yake akasema anasubiri baadae tumuhukumu mchawi kwa vile eti "patakuwa patamu."
 
Huwezi kutumikia mabwana 2 msahafu unanena: Utampuuza mmoja. Haiwezekani Katibu Mkuu awe na mabosi 2: Waziri wa Wizara yake na Katibu Mkuu Kiongozi.Hatuwezi kuongoza nchi hivi: Rais anamteua Waziri na Katibu Mkuu Kiongozi alafu Waziri anaenda kumsemea Katibu Mkuu Kiongozi kwa Waziri Mkuu - Hivi si Waziri Mkuu huyuhuyu alisema hawezi kuingilia kazi ya Katibu Mkuu Kiongozi ya kuwawajibisha wale watumishi wa Umma waliotajwa na Tume Teule ya Bunge ya Kuchunguza Utoaji wa Zabuni kwa Richmondi?
 
Masha hapa kosa lake nini? hebu tuambizane kwa mapana jamani. Katika hiyo barua, Masha kafanya nini kinachoonyesha kuwa yuko guilty? After all bado details zinahitajika hapa, hao Sagem walijuaje kama wameenguliwa kwenye mchakato? Nani anajua hili?

Kuna nini kimefichwa kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Katibu Mkuu Kiongozi? Kwa nini wanafanya mambo bila kumjulisha Waziri wa Mambo ya ndani? Wamemwona, mtoto sana hivyo hawezi kuwaelekeza wazee wenye uzoefu au wanataka kumwangusha Masha kisiasa?

Hao makatibu wote wawili wamemdharau waziri Masha na wanapaswa kuwajibika/shwa regardless Masha ni Fisadi, mtoto au hawezi kazi!
Ndio maana huyu Katibu Wizara Mambo ya Ndani hayupo tena. Replacement wake ni Rutabanzibwa IPTL should know this guy very well. Hizi biashara mchwara zimekwisha.
 
Nziku kama kweli Waziri alikuwa akipata briefings, inakuwaje hapa analalamika

Hapo alicholalamika hakipeleki kwenye assumption yako. Waziri halalamiki kutopewa briefing, analalamikia maamuzi ya CS kumwagiza PS wake aandike cabinet paper. Waziri alitegemea kuulizwa kwanza kitu ambacho siyo cha lazima.

Taarifa ya PS wake kwenda kwa CS juu ya utekelezaji wa mradi huo haina matata. Matata ni juu ya maamuzi ya CS kutanzua deadlock iliyopo.
 
Mimi nimecheka tuu ile barua ya katibu mkuu. Kumbe bado wanatumia ile slogan ya "SIRI SANA" Duh..hawa wazee inabidi wakubali tuu..train ya globalization na IT inawaacha stand!

Masha alichemka kijana wa watu...Sasa yeye kama amekubali kwamba hana mamlaka na hiyo process nzima..SAGEM walikwenda kwake kama nani? yaani you dont need to have a degree to know that..Mheshimiwa Waziri alitaka kutumia influence yake. Kifupi alikuwa anataka bodi ivunje sheria kwa kuwarudisha walioondolewa in the name of fairness! Its amazing! Worse, inatoka kwa "prominent lawyer".

Halafu tunamcheka Kikwete akienda kuomba wanasheria Ulaya waje kutusaidia kunegotiate mikataba! Sasa kama waziri hata kuandika barua ya kujieleza anaji-contradict hivi..itakuwaje akikutana na top notch negotiators kutoka Washington au Brussels?

Ukisoma hii barua ya Masha, it reveals much than it conceals! What I see, this leter is very much defensive and devoid of any substance.

Kwa viongozi wa namna hii, no wonder we are where we are!
 
Mimi nimecheka tuu ile barua ya katibu mkuu. Kumbe bado wanatumia ile slogan ya "SIRI SANA" Duh..hawa wazee inabidi wakubali tuu..train ya globalization na IT inawaacha stand!

Mkuu Masanja don't play with highly classified materials, usije uka-send kwenye e-mails za watu au ikakamatwa kwenye notebook yako, utalambishwa miaka kadhaa. Hii kama ilivyo 'siri sana' iheshimu hivyo hivyo, wanaoruhusiwa kuiona hii ni wale tu walioapishwa. Take care dude!
 
we uwiano u obviously know nothing about the procurement process..lol
 
Mkuu Inv,

Mbona zipped folder iko empty? Au ni kwangu tu?
 
Hapo alicholalamika hakipeleki kwenye assumption yako. Waziri halalamiki kutopewa briefing, analalamikia maamuzi ya CS kumwagiza PS wake aandike cabinet paper. Waziri alitegemea kuulizwa kwanza kitu ambacho siyo cha lazima.

Taarifa ya PS wake kwenda kwa CS juu ya utekelezaji wa mradi huo haina matata. Matata ni juu ya maamuzi ya CS kutanzua deadlock iliyopo.

Bado tupo pale pale. Yaani unauliza mtu kwani nini inakuwa hivi jibu unalopata ni rahisi rahisi tu 'ndio inavyokuwa hivyo' haina matata, haina matata kivipi? sema basi haina matata kwa sababu hii na ile.


Hilo lisystem lenu (la uendeshaji wa serikali kwa ujumla) linahitaji overhaul, wazee wote na vijana wsiopenda kufuata taratibu bali mazoea mazoea na kulindana waachie ngazi mara moja.

Lisystem lenu limejaa majungu, fitina, siasa za kukomoana na kutegeana. Halafu mnajivunia system system.....hakuna lolote umafia mtupu humo ndani.
 
Kuna watu humu ndani mna chuki dhidi ya Masha. Hata afanye nini, tayari mmeshajenga mtazamo hasi juu yake. Mpaka hapo mimi sijaona kosa lake.
 
Wakuu hapa kazi ipo, mimi nimeona matatizo yafuatayo:-

1) uandishi wa barua siyo makini kabisa. Mhe. ni msomi (Masters holder) tena mwanasheria aliyebobea, inakuwaje aandike barua shallow hivyo! 60% ya barua ni malalamiko kutoka sagem, nilitegemea kuona kiambatanisho A, kiwe malalamiko ya sagem.

Hiyo sifa kijana Masha hana n wala hastahili..!!!
 
Hilo lisystem lenu linahitaji overhaul, wazee wote na vijana wsiopenda kufuata taratibu bali mazoea mazoea na kulindana waachie ngazi mara moja.

Lisystem lenu limejaa majungu, fitina, siasa za kukomoana na kutegeana. Halafu mnajivunia system system.....hakuna lolote umafia mtupu humo ndani.

lisystem lipi tena? anyway CS = Chief Secretary na PS = Permanent Secretary. sijasema suala la system. By the way word system is ambiguous, therefore i don't know what you're talking about.
 
Yaaah, hamna kitu mkuu lakini naona watu wanaendelea na discussion, sijui wamepata wapi wanachojadili!

...Wewe invisible noma sana, yaani u-invisibility unaupeleka hadi kwenye ma-file, duuh!!
 
Back
Top Bottom