Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Kuhani, elewa yafuatayo:

Method ya Open Tender inampa nafasi bidder kuuliza sababu za kuenguliwa baada ya kupewa official notice toka kwa Client. Kwanini Sagem wasisubiri muda huo ufike ndio wapeleke malalamiko yao?

Kwa sababu akisubiri, narudia tena, akisubiri itatokea irreversible damage.

PPRA ni kifupi cha Public Procurement Regulatory Authority. Kazi yao ni kusuluhisha migogoro kati ya Bidder na Client.

Si ulisema Luhanjo ndio hakimu wa hizi appeals, unakumbuka unachokiandika lakini?

Hakuna hata sehemu moja inayomtamka Waziri ktk mchakato wa manunuzi.

Wapi imetaja kwamba Luhanjo aingilie kabla ya appeals?

Masha kalalamika kwa Pinda kwamba mchakato unaoendelea chini ya wizara yake hauendi kama unavyotakiwa. Angekuwa ame-influence process angemuingiza Pinda?

Serikali inaendeshwa kwa karatasi, hapa hatupo ktk kitchen party.

Mtu akipata leak ya official improprieties na ufisadi akaripoti, Waziri atamwambia nitumie hiyo tip kwenye signed, sworn and sealed affidavit?

Kama Sagem walimwambia Masha kwa mdomo, kwanini yeye aliyaweka kwa maandishi kwa Pinda?

Kwa sababu Masha alijua akimwendea Pinda kwa mdomo ataambiwa "hapa hatuko katika kitchen party."

Mpaka sasa hivi hatujui ni wangapi wameenguliwa na wangapi wamebaki. Hii bado ni siri ya Bodi ya Manunuzi ya Wizara ya Ndani ambayo ilikula kiapo kwa kazi hiyo.

Hamjui wewe nani?

Wewe umetuambia, I hope and pray kwamba unakumbuka unachoandika, umetuambia Masha aliomba faili kwa Katibu Mkuu wake, akaona kinachoendelea, akatuma malalamiko kwa Pinda. Yani Masha anajua kwamba SAGEM wameenguliwa. Kwa hiyo tunajua SAGEM wameenguliwa!

Hakuna political responsibility ktk technical issues, huu ni uongo mtupu. Kuna haja gani ya kuwa na Makatibu Wakuu ktk wizara?

Kwa hiyo Waziri aangalie tu Katibu Mkuu wa wizara yake ana screw up?

Hapa Masha kalikoroga, kumsaidia ni kumwambia ukweli tu.

Kwa stori uliyoileta leo inaonekana ni Luhanjo kaingilia.
 
Sasa wapi hujanielewa Ngereja? Tofauti na nilichosema ni kipi hapo?

RECTA, Tupo pamoja... kuelewa nako ni sifa, nakupa big up!!

Mag3, huo ndio ukweli wenyewe, nashukuru kwa uelewa wako.

FUNDI MCHUNDO, hapana, mimi sio Katibu Mkuu, hata ukatibu wa mtaa siujui.
Hapa tukubali tu kuwa Masha kalikoroga hili, inabidi alinywe mwenyewe. Unategemea ukichimba kisima aingie mtu mwingine kweli?
 
KUHANI, mbona huelewi? Hebu rudia kusoma nilichoandika kwanza halafu ndio ujibu. Usibishe kwa sababu tu kuna ubishi, toa hoja za msingi. Inaonekana unataka watu wafanye kazi kwa mazoea wakati sheria zipo.
 
KUHANI, mbona huelewi? Hebu rudia kusoma nilichoandika kwanza halafu ndio ujibu. Usibishe kwa sababu tu kuna ubishi, toa hoja za msingi. Inaonekana unataka watu wafanye kazi kwa mazoea wakati sheria zipo.

Heheheheheee.....pole
 
Yaani wewe umeona Sagem kukosa tenda hii basi mradi hauwezi kufanyika? What is that "irreversible damage" are you talking about? Kama mulikula hela za Sagem, muzirudishe tu, Sagem kishakosa sifa ya kufanya biashara ya Serikali, kashfa ya rushwa Nigeria inatosha sana kumkumbusha asithubutu kutia pua yake Bongo. Kwanini huwa hamtafuti makampuni credible kwa manufaa ya nchi? Hivi huwa hamuoni uwivu namna wnzetu wanavyoendelea?
 
Nyani Ngabu, jamaa anaboa sana, sijui ndio miongoni mwa waliotegemea kufaidika na mgao? Duuh... kweli njaa mwana haramu, unaweza kuuza mwanao Albino hivi hivi.
 
Nyani Ngabu, jamaa anaboa sana, sijui ndio miongoni mwa waliotegemea kufaidika na mgao? Duuh... kweli njaa mwana haramu, unaweza kuuza mwanao Albino hivi hivi.

Mi chichemi tena maana kila nikichema naambiwa nina obshesheni.....
 
Nadhani hujamwelewa rafiki yangu alikuwa anamaanisha nini. Siyo kwamba FMES anaogopwa hapa. Si hivyo hata kidogo. Sijui umemjua lini FMES lakini kama umemjua hivi karibuni sikulaumu hata kidogo.

Ona hata rafiki yangu YNIM alimalizia na "LOL".....did you even catch that?

Nashukuru sana Kijana mwelevu kwa kunisaidi ila kabla sijakubari msaada wako naomba unieleweshe huo uhusiano wako na huyu rafiki yako kama ni mume, mke au civil partner kwa maana naona alipokuwa anaandika ulikuwa naye karibu na akakueleza alikuwa na maana gani

Najua utakuja na oooh mimi nimemwelewa tu ndugu yanguuuuuu! kuelewa na kujua nia ya mwandishi ni vitu viwili tofauti kujua nia unatakiwa kuwa mwandishi au mtu wa ndani wa mwandishi... Nijibu
 
Again ktk post yangu ambayo ni dhahiri hukuielewa keyword ni "wajanja"...sikusema wanaomwogopa, upo hapo? Inaonekana hata hujui historia ya YNIM hapa JF, toka lini mie nikamwogopa mtu ktk kijiwe hiki? hata hao ulowataja wewe unawaogopa sijui yesu na nani...mimi siwaogopi!!! Wewe ni mjinga na sio critical thinker...yaani umemiss nilichokuwa na maanisha mpaka nakuonea huruma bwahahahahahaha!! Acha kukurupuka anko, tumia ubongo kufikiria na sio moyo wako!

Yesu ni mungu!!....unaamini hivyo dont'cha!? upuuzi mwingine huo kwa upande wako....LOL.

Mimi naangalia substance na siyo hitory ya eti mimi ni YNIM, history ya nini umekuwa Kunta kinte nini? fanya jambo zuri moja utajulikana na history yako itasemwa na kila kiumba lakini kwa sasa wewe ni Zero kama mimi na siwezi kufuatilia history yako kaka! Umepatia kabisa mie siyo critical thinker kama wewe na asante kwa huruma yako.
 
Nashukuru sana Kijana mwelevu kwa kunisaidi ila kabla sijakubari msaada wako naomba unieleweshe huo uhusiano wako na huyu rafiki yako kama ni mume, mke au civil partner

Ni hivi binti maringo Shalom, uhusiano wangu na YNIM ni urafiki kama wewe ulivyo na marafiki (kama unao).

kwa maana naona alipokuwa anaandika ulikuwa naye karibu na akakueleza alikuwa na maana gani

Kuelewa mtu alikuwa na maana gani sio lazima uwe pembeni yake wakati anaandika.

Najua utakuja na oooh mimi nimemwelewa tu ndugu yanguuuuuu! kuelewa na kujua nia ya mwandishi ni vitu viwili tofauti kujua nia unatakiwa kuwa mwandishi au mtu wa ndani wa mwandishi... Nijibu

Kama uko hapa muda mrefu na unamjua FMES na mimi na YNIM basi alichoandika YNIM hakikuwa complicated logarithm....
 
... haitatokea tena mie kujibu post yako mahali popote ktk hii JF! Kwaheri.....phweeeeeee kaaaaazi kweli.

Wewe kama nani, YournameisMINE, MikeJONES, KUZATIKA, CHINKALA?

It doesn't take a cosmic scientist to conjure up a new user name. Go ahead, knock yourself out.

You are not fooling every last one of us.
 
Dk. Slaa ammaliza Masha kikaoni

2009-02-05 19:23:08
Na Mwandishi wetu, Jijini


Dokta Wilbroad Slaa, mbunge wa jimbo la Karatu kupitia chama cha Chadema, inadaiwa jana alimwaga kwenye kikao data nzito kuhusiana na lile sakata la kusaka zabuni ya utengenezaji wa vitambulisho vya kitaifa, data ambazo inadaiwa zinazidi kuweka kibarua cha Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mheshimiwa Lawrence Masha, mashakani.

Taarifa toka kwa chanzo kimoja mjini Dodoma zimedai kuwa jana jioni, Dk.Slaa alifanikiwa kumwaga vielelezo vyake hivyo mbele ya kamati ya bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama iliyokuwa chini ya mwenyekiti wake, Bw. Wilson Masilingi.

Imedaiwa kuwa baada ya Mbunge wa Karatu, Dk. Wilbrod Slaa kuwasilisha hoja yake mbele ya kamati, yalizuka mabishano makali baina ya wajumbe wa kamati hiyo.
Ili kuipa nguvu hoja yake, chanzo hicho kimedai kuwa Dk. Slaa alitoa vielelezo kadhaa alivyodai ni ushahidi wa kile ambacho amekuwa akikidai.

Chanzo hicho kimedai kuwa mabishano hayo yalitokana na baadhi ya wajumbe kutaka kamati itupilie mbali hoja hiyo na kumwona Mheshimiwa Masha hana hatia yoyote, huku baadhi yao wakisisitiza kuwa hoja ya Dk. Slaa ina nguvu ya kumtia hatiani Waziri Masha.

Imedaiwa kuwa mabishano hayo yalichukua muda mrefu, hali iliyosababisha suala hilo kushindwa kufikia muafaka na kuahirishwa hadi leo, ambapo kikao hicho kilitarajia kuendelea.

Hivi karibuni, Mhe. Masha alidaiwa kuingilia mchakato wa mradi wa vitambulisho vya taifa, jambo ambalo Dk. Slaa aliliibua bungeni Alhamisi iliyopita wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda.

Hata hivyo, Spika wa Bunge, Mhe. Samwel Sitta aliingilia kati suala hilo na kumtaka Dk. Slaa, kama ana hoja ya msingi kuhusiana na suala hilo, basi aiwasilishe ili ijadiliwe.



SOURCE: Alasiri
 
Wewe kama nani, YournameisMINE, MikeJONES, KUZATIKA, CHINKALA?

It doesn't take a cosmic scientist to conjure up a new user name. Go ahead, knock yourself out.

You are not fooling every last one of us.

******sit down....
 
wakuu wana jf, id deal haina tofauti na twin tower project, id za wapiga kura na kadhalika, mkuu wa medani na wengine mimi ninapenda kujiridhisha juu ya utaratibu wa cs kuwasiliana na accounting officer wa wizara eti kwa nia ya kuepusha ushawishi/maslahi yanayohisiwa juu ya lawrence fortu masha!!! Mimi naamini hapa kuna suala la msingi la kumtizama kwa jicho la uchunguzi mnyalu luhanjo, ninaona kuna game ya kuuficha ukweli wa makusudi kuwa cs naye ana agenda binafsi juu ya hii project, yeye ktk deal ya namna hii ni lazima awe invisible lakini si kwa wale anaowachukulia minutes ktk kikao na rais wetu, najaribu kumuangalia luhanjo zaidi hapa kuliko mtu yeyote yule na ninashauri hawa akina fmes na wenzake wamungalie mzee luhanjo kimaadili na tuanzia pale alipokuwa maliasili akiwa na zakhia then foreign na sasa ikulu yetu, kumbukeni kilichompata mrithi wake salehe pamba na tycoon star tv kwa kumgusa tu kijana severe!!! Marsha ameingia ktk mpambano ambao nadhani alitegewa na akaingia aliposituka ameamua kuwa jasiri kupigana kwa kila aina ya silaha aliyo nayo, ninachokiona hapa ni mkono mrefu wa mengi na genge lake ambalo limejizolea umaarufu usiowastahiki ktk jamii, inanifadhaisha sana ninapoona ikulu ikimbeba mengi ktk hadhara kama ndiye mlipa kodi kiongozi tanzania. Kijana mwenzetu haitaji sisi vijana kughiribiwa kuwa hatufai bali ni msaada wa dhati wa kupambana na maadui ambao sasa wanaleta hoja kuwa eti sisi vijana si lolote!! Marsha anapaswa kusimama ktk kweli na siyo kinyume, ktk hili anaweza akawa shujaa au muhanga. Nini nafasi yetu sisi wana jf ktk sakata hili la kumuangamiza kijana huyu mchanga ktk siasa ila anayeonekana tayari purukushani zinamkomaza?? Je sisi ni sehemu ya kushabikia fitina na kuiasi kweli?? Najutia kuiona jf ikihukumu watu eti kwa sababu kila kukicha magazeti ya mtu fulani yamemng'angania marsha? Nimeona mabandiko ya magazeti yetu humu mbona hatupendi wala hakuna ktk yenu ninyi wakulu tunawaowaheshimu humu aliyethubutu kubandika rai ya leo na viambatanisho vyake?!!! Mungu atubariki na sasa tuanze kuwa wakweli rohoni mwetu kabla hatujafanya chukizo kwa wenzetu.
 
wakuu wana jf, id deal haina tofauti na twin tower project, id za wapiga kura na kadhalika, mkuu wa medani na wengine mimi ninapenda kujiridhisha juu ya utaratibu wa cs kuwasiliana na accounting officer wa wizara eti kwa nia ya kuepusha ushawishi/maslahi yanayohisiwa juu ya lawrence fortu masha!!! Mimi naamini hapa kuna suala la msingi la kumtizama kwa jicho la uchunguzi mnyalu luhanjo, ninaona kuna game ya kuuficha ukweli wa makusudi kuwa cs naye ana agenda binafsi juu ya hii project, yeye ktk deal ya namna hii ni lazima awe invisible lakini si kwa wale anaowachukulia minutes ktk kikao na rais wetu, najaribu kumuangalia luhanjo zaidi hapa kuliko mtu yeyote yule na ninashauri hawa akina fmes na wenzake wamungalie mzee luhanjo kimaadili na tuanzia pale alipokuwa maliasili akiwa na zakhia then foreign na sasa ikulu yetu, kumbukeni kilichompata mrithi wake salehe pamba na tycoon star tv kwa kumgusa tu kijana severe!!! Marsha ameingia ktk mpambano ambao nadhani alitegewa na akaingia aliposituka ameamua kuwa jasiri kupigana kwa kila aina ya silaha aliyo nayo, ninachokiona hapa ni mkono mrefu wa mengi na genge lake ambalo limejizolea umaarufu usiowastahiki ktk jamii, inanifadhaisha sana ninapoona ikulu ikimbeba mengi ktk hadhara kama ndiye mlipa kodi kiongozi tanzania. Kijana mwenzetu haitaji sisi vijana kughiribiwa kuwa hatufai bali ni msaada wa dhati wa kupambana na maadui ambao sasa wanaleta hoja kuwa eti sisi vijana si lolote!! Marsha anapaswa kusimama ktk kweli na siyo kinyume, ktk hili anaweza akawa shujaa au muhanga. Nini nafasi yetu sisi wana jf ktk sakata hili la kumuangamiza kijana huyu mchanga ktk siasa ila anayeonekana tayari purukushani zinamkomaza?? Je sisi ni sehemu ya kushabikia fitina na kuiasi kweli?? Najutia kuiona jf ikihukumu watu eti kwa sababu kila kukicha magazeti ya mtu fulani yamemng'angania marsha? Nimeona mabandiko ya magazeti yetu humu mbona hatupendi wala hakuna ktk yenu ninyi wakulu tunawaowaheshimu humu aliyethubutu kubandika rai ya leo na viambatanisho vyake?!!! Mungu atubariki na sasa tuanze kuwa wakweli rohoni mwetu kabla hatujafanya chukizo kwa wenzetu.

FDR, you are not doing justice to JF and to your self in your analysis above.
a) Luhanjo & Mengi: Hii ni myth kubwa kuwa hawa wanashirikiana. Luhanjo inafahamika wala hapokei simu za Mengi, na Mengi akiwa na shida Ikulu anamwingia JK moja kwa moja, haangaishani na Luhanjo.

b) Issue ya tender ya ID ni suala la ulaji, tatizo ni kuwa UWT wako ndani sana katika hili kwa ajili ya usalama. Masha kaingia mkenge kwa kuchukua taarifa za siri (briefings toka kwa PS wake) na kujaribu kuzitumia 'kuwasaidia' wazabuni. Angesubiri hizo taarifa zikatoka rasmi, wala tusingesikia kelele hizi. Tatizo ni kuwa kama angesubiri pia, window of opportunity ya kuwasaidia wazabuni wake ingekuwa haipo. Na pia hakujua (au alijua akapuuzia) kama taarifa alizopewa na PS pia ziliishafika Ikulu kwa mkondo wa UWT.

c) Mengi na magazeti yake hapa ni kama tai kaona mzoga. Hakuna kipya walichokitengeneza, ila madudu yote wanayanasa na watu wengine wengi tu wa magazeti. Ni wachache wenye ubavu wa kuandika jinsi ilivyo. Magazeti hayatengenezi matukio. Masha anatengeneza matukio, na wajanja wanayatumia hayo matukio kuonyesha udhaifu wake.

Huu uwezo finyu (myopic view) wa Masha hauukuanza leo (toka TOL, IMMA, Uchaguzi 2000 Sengerema, Vurugu 2005 Nyamagana, etc) ila wakati huo hakuna aliyekuwa na shida naye sana. Sasa ukiweka hayo yote plus Mengi Siku Saba, Mauaji ya Albino, Keko Mramba/Yona, Mademu Rose Garden, Watoto Vifo Tabora, Barua kwa Pinda, etc hata watetezi wake wanakosa nguvu. Utazuia kipi? Masha anawapa silaha mahasimu wake, kummaliza mwenyewe.
 
Duh hahaha leo kweli kazi ninayo.....tumia member list ya JF uone kama utapata member anayeitwa Chinkala, Mike Jones au Kuzatika! Tafuta halafu matokeo ya uchunguzi wako yaleta hapa...tabia kama hiyo yako kuna watu hapa wameshawahi kupewa bans, lakini kwa kuwa wewe ulitoa $10 najua huta-guswa!

Hahahaha naona leo unachemsha mpaka mpambe wako Fundi Machundo uzalendo ukamshinda....haya bana kazi njema!

YNIM....you are a Great American...Lol
 
FDR.Jr.
...........Ukifanya madudu/fyongo hakuna cha "UKIJANA" wala "UZEE"...........tena huyu kijana anonekana ni jeuri.........PS ni/anatakiwa kuwa mshauri wa karibu sana wa Waziri....sijui kama aliomba ushauri........kabla ya kuvurunda.......
 
Shit. What a hell Masha is making in politics! Tired of hearing his uncalled for "vibwekas". Atoswe, hatufai.
 
FDR.JR

Mkuu, tatizo la RAI, limeshapoteza sifa za kuwa gazeti credible siku nyingi...Na wapenzi wake wengi hawataki hata kuona headlines zake zinasemaje let alone kulifungua ndani. Lipo kama magazeti ya udaku tu. Kama kuna chochote worth Masha kuweka gazetini his side of the story, then atafute magazeti credible. Si magazeti yote yanamilikiwa na Mengi. Angeanza hata na Daily News au TBC kama anavyofanyaga siku zote... Its true kuna umuhimu wa kupata his full side of the story.
 
...kilichomtuma kuchukua info na kuwapa wazabuni wake ni nini? kama ni kweli ni fisadi tuu and he must go na apelekwe kwenye law kwa kutumia madaraka vibaya,na wewe FDr hii sio vita ya vijana na wazee ni kazi mbovu tuu ya rafiki yako Masha,masha anatia aibu nilitegemea angepiga kazi kwa bidii na kuleta ufanisi wa hali ya juu pale mambo ya ndani lakini wapi bwana...bora aende private sector huku ataishia kuwa kashfa tuu!
 
Back
Top Bottom