MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,335
- 11,207
Ndio muda wa wananchi kula vya wakubwa
Mzee wa matunguri ni kipenzi cha mwenyekiti hvyo haguswi
Huyu ana baraka za Jiwe! Hakuna atakaye mgusa na ndiyo maana anafanya hivyo!
????RUSHWA!
HatariRushwa tupu, tena anawahonga viongozi wanaohusika na uchujaji huko wilayani.Kule kusini mbunge Stella manyanya anahonga mpaka mapikipiki kwa wajumbe Wa vikao vya uchujaji Wa wilaya ili achaguliwe yeye.Nimeamini ndani ya ccm rushwa haiwezi kwisha.
ukitaka TAKUKURU ivunjwe mguse KigwangwalaHapo rushwa imebarikiwa rasmi.huyu Ni Wa wakubwa, pccb hawawezi kusogeza pua hapo.Hapo wanaohongwa Ni wajumbe Wa vikao vya uchujaji.
Wala,watajuana wenyewe.Polepole umemshitua ?
Hizi ni zile hela walizosema bungeni kuwa amezila,kumbe alizitunza kwa kazi hiiView attachment 1478084
Inasemekana ni kwa ajili ya kuwawezesha viongozi wa ccm kufanya shughuli za chama kwa urahisi , Jumla ya baiskeli zilizogawiwa ni 780
Kutoa ni moyo .
Ukizoea kupewa ujue na kutoa.Ni sawa tu hakuna shida. Kwa Mbowe katoa nn?
TAKUKURU wanangojea amri kutoka juu!!TAKUKURU hawajiingizi kwenye kila kitu...wana miongozo yao.
TAKUKURU wanangojea amri kutoka juu!!
Maana hii ni rushwa dhahiri shahiri bila chenga.
CCM na Polepole wanasemaje??