maandalizi ya uchaguzi hayoView attachment 1478084
Inasemekana ni kwa ajili ya kuwawezesha viongozi wa ccm kufanya shughuli za chama kwa urahisi .
Kutoa ni moyo .
Huo ni mgao wa kawaida,si mnaona mkutano umefanyika bila kibali cha geshi la polisi wajameni.Sasa hiyo tuiite takrima ama rushwa?
Je amekaidi maagizo ya chama chakeyaliyotolewa na katibu mwenezi - polepole?
Je wangekuwa chadema ndo wanafanya hayo kipindi hiki kabla ya kampeni wangeonekanaje?
Hii inatofauti gani na ya Morogoro?
Kwa Morogoro ni Mbunge katoa Rushwa, kwa Tabora ni βKutoa ni Moyoβ?
TAKUKURU shame on you!
Double standards
Sijawahi kutoa rushwa .We Kyela umetoa Vyerehani hata kwa wajane?
Polepole umemshitua ?Rushwa hii. Kwa nini kipindi hiki ?Alikuwa wapi miaka minne iliyopita. Yaani huyu mimi ningekuwa mwananzega lazima nigegombea against him.Huyu mhutu huyu kazi kurubuni wananzengo tu.
Hali tete sana ! inasemekana Hamis pamoja na uwaziri wake hakufanya lolote kwao .Hatari..mambo hadharani.
Kusaidia watu ni rushwa?Sijawahi kutoa rushwa .
Si kila anayegawa rushwa ccm atakamatwa , wengine wana baraka za wakubwa , angalia rushwa alizogawa TuliaSasa hiyo tuiite takrima ama rushwa?
Je amekaidi maagizo ya chama chakeyaliyotolewa na katibu mwenezi - polepole?
Je wangekuwa chadema ndo wanafanya hayo kipindi hiki kabla ya kampeni wangeonekanaje?
Nimesaidia watu kuliko awamu ya 5 , si kwa ajili ya kuraKusaidia watu ni rushwa?
Nzega sio kanda ya ziwa wewe bavicha...Unaijua kanda ya ziwa ?
Sijatangaza nia popote.We Kyela umetoa Vyerehani hata kwa wajane?
Mh...kugawa pipi na barakoa!Nimesaidia watu kuliko awamu ya 5 , si kwa ajili ya kura