EliCohen
JF-Expert Member
- Jun 14, 2020
- 293
- 431
Kwa Morogoro ni rushwa, Tabora sio rushwa 🤷🏻♂️
Bosi wa TAKUKURU Morogoro achunguzwe kwa kutumika kisiasa na chain yake ya kutumika kuanzia kwa DC tunaijua.
Kwa Morogoro ni rushwa, Tabora sio rushwa 🤷🏻♂️
Si kila anayegawa rushwa ccm atakamatwa , wengine wana baraka za wakubwa , angalia rushwa alizogawa Tulia
View attachment 1478084
Inasemekana ni kwa ajili ya kuwawezesha viongozi wa ccm kufanya shughuli za chama kwa urahisi , Jumla ya baiskeli zilizogawiwa ni 780
Kutoa ni moyo .
Huo ni mgao wa kawaida,si mnaona mkutano umefanyika bila kibali cha geshi la polisi wajameni.
Hapo ndiyo maana tunawaitaga mambumbumbu, hapo habari za Mbowe zinatoka wapi?Ni sawa tu hakuna shida. Kwa Mbowe katoa nn?
😆😆😆Hivi report ya CAG inasemaje kwenye wizara yake?
RUSHWA!
Hii inatofauti gani na ya Morogoro?
Kwa Morogoro ni Mbunge katoa Rushwa, kwa Tabora ni “Kutoa ni Moyo”?
TAKUKURU shame on you!
Double standards
Watu wameanza kutafuta udhamini kwa nguvu..ngoja kamati kuu kwanza iwafanyie usafi hadi uvunguni
Kweli huyu Mwamba anawanyima Usingizi ..
Tungekuwa tunawahesabu wakiingia Takukuru kuhojiwaSasa hiyo tuiite takrima ama rushwa?
Je amekaidi maagizo ya chama chakeyaliyotolewa na katibu mwenezi - polepole?
Je wangekuwa chadema ndo wanafanya hayo kipindi hiki kabla ya kampeni wangeonekanaje?
Nchi hii kweli tuna miaka 500 kupata maendeleo ya kweli kwa hali hii.
Eti Karne ya 21 hii mtu anagawa baiskeli tena miezi michache kabla ya uchaguzi ili kuwarubuni watu. Na watu kweli watarubunika kwa baiskeli tena phonex.
Watanzania ni watu wajinga sana!
Rushwa hii. Kwa nini kipindi hiki ?Alikuwa wapi miaka minne iliyopita. Yaani huyu mimi ningekuwa mwananzega lazima nigegombea against him.Huyu mhutu huyu kazi kurubuni wananzengo tu.
Mawaziri kwa serikali ya CCM wako above the law, hawaguswi wana immunity!!Wacha wachawi warogane
View attachment 1478084
Inasemekana ni kwa ajili ya kuwawezesha viongozi wa ccm kufanya shughuli za chama kwa urahisi , Jumla ya baiskeli zilizogawiwa ni 780
Kutoa ni moyo .
Anawadanganya wasiyo jielewaMawaziri kwa serikali ya CCM wako above the law, hawaguswi wana immunity!!
Polepole anajitapa eti wanadhibiti rushwa, my foot??
Soma ndani ya mistariErythrocyte mhhhhh kuna nini leo, au Kigwa ni she............. Asante.