Waziri Kangi Lugola ameipindua Bendera ya Taifa

Waziri Kangi Lugola ameipindua Bendera ya Taifa

Hivi sheria inasemaje kuhusu bendera ya TAIFA,unaweza kuigeuza sehemu ya kitambaa au Taulo??
 
Ul
Suruali lake sasa!
36828615_2212050032408210_7440341154471608320_n.jpg
Ulitaka avae modo sasa jamani yeye sio fisadi siku akibadilika msiseme mmeibiwa akivaa mnavyotaka nyie
 
Ila ukijifanya kimbelembele utafuatiliwa kila unachofanya, haya yote yasingetokea kama huyu jamaa angekuwa anatumia hekima katika uongozi
 
Ul

Ulitaka avae modo sasa jamani yeye sio fisadi siku akibadilika msiseme mmeibiwa akivaa mnavyotaka nyie
Kwani ile kesi ya tuhuma za kudai rushwa aliyofikishwa na mahakamani na wenzake umeisahau. Kutopatikana na hatia au kufutwa kwa kesi hakuna maana kuwa mtu hakufanya hatia moja kwa moja
 
Kwani ile kesi ya tuhuma za kudai rushwa aliyofikishwa na mahakamani na wenzake umeisahau. Kutopatikana na hatia au kufutwa kwa kesi hakuna maana kuwa mtu hakufanya hatia moja kwa moja
Eeee kumbe unakumbukumbu
 
Hii ni nchi huru na ya kidemokrasia... mambo yake mwaachieni mwenyewe...

Mtumishi wa serikali ngazi ya waziri... kola hajaweka vizuri, suruali inaonekana haijavaliwa na mkanda, chini ana ruba, haipendezi...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom