Waziri Kangi Lugola ameipindua Bendera ya Taifa

Waziri Kangi Lugola ameipindua Bendera ya Taifa

Baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi Lugola amebuni vazi lake jipya ambalo amebandika bendera ya taifa kifuani upande wa kushoto, kulia na pia kwenye mikono na kama hiyo haitoshi anatembea na ilani ya CCM ambapo amenukuliwa akisema akifa azikwe na ilani ya chama hicho ya wakati huo kwakuwa kwake hakuna Ilani kama ya CCM na anapenda kutembea nayo katika utelelezaji wa shughuli za Kiserikali.

Lakini ukiangalia vizuri hilo vazi lake ni kuwa utagundua amegeuza mkao wa bendera ya taifa aliyoibandika upande wa kulia wa vazi lake ameipindua badala ya mistari ya njano na nyeusi kuelekea juu ikitokea kona ya chini upande wa kushoto kuelekea kona ya juu kulia yeye kaiweka ikitokea kona ya juu kushoto kuelekea kona ya chini kulia. Ile iliyopo upande wa kushoto ndio imekaa kwa usahihi hivyo hata hiyo ya kulia inapaswa aiweke kama hiyo ya kushoto. Haitakiwi kuigeuza hiyo bendera kwa namna yoyote ile. Amwambie fundi wake airekebishe vinginevyo anazidi kujiabisha
36836040_1940956792634972_6709772448692174848_n.jpg
KILEKITABU CHA KPTULA LA MAX inibidi kiwe SULUALI LA muheshimiwa hapo mwenye laba na suti
 
Presentation tu ilikuwa mbaya lakini suti na raba mbona wengi tu wanavaa?
suits_sneakers_a_l.jpg
 
Yuko juu sana na wewe uko chini!
That’s all
 
Ushamba ni pale mtanzania anapojitoa muhanga kusema jambo kwa niaba ya muhusika bila kujuwa ukweli. Kuna wengine wana matatizo ya miguu hivyo ulazimika kuvaa sneakers ama kandambili kwa muda. Msitokwe na povu tu kila mara kama watokavyo manabii wenu uchwara changudoa uchwara Mange Kimambi na zuzu Zitto Kabwe.
 
Back
Top Bottom