Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
- Thread starter
- #61
Jana ni Jumapili ilikuwa siku ya mapumziko mkuu labda useme alitokea kanisani sema nako atakuwa amesahau badala ya kubeba Biblia, misale ya waumini au kitabu cha nyimbo akabeba ilani ya chamaBasi inatosha nikikwambia katokea kazini kwahiyo hakupata muda wa kwenda kubadilisha na kuvaa unavyotaka wewe