Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,516
- 14,244
Tena kamba ya viatuhahaaa huyu jamaa. suruali ilivyojikunja pale bila shaka hajavaa mkanda. atakua kaivuta kisha kaifunga na kamba.
Tena kamba ya viatuhahaaa huyu jamaa. suruali ilivyojikunja pale bila shaka hajavaa mkanda. atakua kaivuta kisha kaifunga na kamba.
Huyu jamaa natamani Masoud Kipanya amchore! Hilo tu ndo nasubiria!Baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi Lugola amebuni vazi lake jipya ambalo amebandika Bendera ya Taifa kifuani upande wa kushoto, kulia na pia kwenye mikono na kama hiyo haitoshi anatembea na ilani ya CCM ambapo amenukuliwa akisema akifa azikwe na ilani ya chama hicho ya wakati huo kwakuwa kwake hakuna Ilani kama ya CCM na anapenda kutembea nayo katika utelelezaji wa shughuli za Kiserikali.
Lakini ukiangalia vizuri hilo vazi lake ni kuwa utagundua amegeuza mkao wa Bendera ya Taifa aliyoibandika upande wa kulia wa vazi lake ameipindua badala ya mistari ya njano na nyeusi kuelekea juu ikitokea kona ya chini upande wa kushoto kuelekea kona ya juu kulia yeye kaiweka ikitokea kona ya juu kushoto kuelekea kona ya chini kulia. Ile iliyopo upande wa kushoto ndio imekaa kwa usahihi hivyo hata hiyo ya kulia inapaswa aiweke kama hiyo ya kushoto.
Haitakiwi kuigeuza hiyo bendera kwa namna yoyote ile. Amwambie fundi wake airekebishe vinginevyo anazidi kujiabisha.
![]()
Nimezipenda hizo raba,linajifanyaga janja kumbe hata kupangilia mavazi halijui..tokea lini Kaunda suti ikavaliwa na raba?
Mbavu zangu nimecheka sana tz bana kunavitukoLabda fasheni si unaona na huyu?
![]()
Baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi Lugola amebuni vazi lake jipya ambalo amebandika Bendera ya Taifa kifuani upande wa kushoto, kulia na pia kwenye mikono na kama hiyo haitoshi anatembea na ilani ya CCM ambapo amenukuliwa akisema akifa azikwe na ilani ya chama hicho ya wakati huo kwakuwa kwake hakuna Ilani kama ya CCM na anapenda kutembea nayo katika utelelezaji wa shughuli za Kiserikali.
Lakini ukiangalia vizuri hilo vazi lake ni kuwa utagundua amegeuza mkao wa Bendera ya Taifa aliyoibandika upande wa kulia wa vazi lake ameipindua badala ya mistari ya njano na nyeusi kuelekea juu ikitokea kona ya chini upande wa kushoto kuelekea kona ya juu kulia yeye kaiweka ikitokea kona ya juu kushoto kuelekea kona ya chini kulia. Ile iliyopo upande wa kushoto ndio imekaa kwa usahihi hivyo hata hiyo ya kulia inapaswa aiweke kama hiyo ya kushoto.
Haitakiwi kuigeuza hiyo bendera kwa namna yoyote ile. Amwambie fundi wake airekebishe vinginevyo anazidi kujiabisha.
![]()
Kama huwezi hata kupangilia mavazi yako sasa hiyo hekima uliyonayo inakusaidia niniBavicha mjifunze kuwa uongozi ni hekima sio mavazi ya kiuanamitindo
Kuna kitu kinaitwa wenge/mchecheNadhani toka ateuliwe hajalala huyu..........
Hujamalizia, anavaa raba, suti na ilani ya chama. BIZE! hapana chezeaanavaa raba na suti
ni wazr wa ajab haijapata kutokeaHujamalizia, anavaa raba, suti na ilani ya chama. BIZE! hapana chezea