Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Nchi iko mikononi mwa malimbukeni
Shehe yuko sawa kabisa. Kanzu mwenzie makubadhiWewe vipi?au ndio wale wale? Sasa kanzu inavaliwa na nini??au ulitaka avae tafu buti!!!
Mnajua maana ya sneakers na jee hizo alizovaa Brother kangi ni Sneakers!?Duh! La uso!
we jamaa umenifanya kurudi kuona picha alatu nikacheka sanaMrema Lyatonga ana kiatu saizi 18 kama cha Nwako Kanu
Kanzu inavaliwa na sandoz.Na shehe naye kavaa Sandro's mbona hamumzemi
Hashauriki kama aliyemuweka hapo.Kavaaje sasa hapo? Hana mke?
Anatia aibu. Inawezekana hata kuoga hajaoga. Ana dirty look!Hashauriki kama aliyemuweka hapo.
Hivi hiyo aliyovaa ni Suti?Jamaaa kavaa hovyo hatari. Suruali over size. Suti na raba wapi na wapi
Pumbavu kweli wewe...
Utafikri kavakishwa dela!Suruali lake sasa!
![]()
Na shehe naye kavaa Sandro's mbona hamumzemi
Ilinibidì niangalie kama kweli kavaaa raba aisèe imenistaajabisha sanaMasharti ya mganga tabu sana.
Raba na kaunda suti wapi na wapi.
Sheikh kavaa kaunda suti?Na shehe naye kavaa Sandro's mbona hamumzemi