Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Wanaomchukia huyu binti hawajawai kumsoma...
Mi sjawai kumchukia kwani msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu...
I love this girl
Hata mnazo ita kukashifu watu anakuwa anaongea ukweli...ila wengi hamuwezi tofautisha ukweli na kashfa

Huyu binti alikuwa ni mtu wa Ikulu sana Enzi za JK...
Nilishamtilia mashaka...
Unakuta anaongozana na wazungu wake
 
Maelezo aliyotoa Mwamvita kujitetea kwenye page yake instagram yanaonyesha kuwa audio ni ya kweli, nashangaa kwann kuna watu humu wanakomaa kusema sio ya kweli. Yeye anajitetea kuwa aliulizwa maswali ya mtego akajichanganya jambo ambalo hata mwanangu wa miaka minne hawez kuamin. Tuwe wapole mambo yatakuwa wazi tu na kuna kila dalili kuwa jambo hili ni la kweli. Mange anatumiwa na watu ambao wapo smart na wana taarifa nyeti kwa kuwa ana ujasiri na hayupo nchini.

Duc in Altum
Isije ikawa ni watu wa usalama wa taifa wanauza movie...
Tanzania ingekuwa mkate ingeshaisha kwa jinsi inavyotafunwa
 
January alijua atakua Rais so alijiandaa kitambo ili mitandao isimwanike na alifanikiwa, ila nazan pia kuna bifu kati ya mange na mwamvita. Kuna bosi wangu flan aliniambia mtu akija kumsemea flan cha kwanza chunguza uhusiano wao huyo msemaji na msemewa
chunguza uhalisia basi uhusiano si issue. mbona alimsema lowassa hukuuliza uhusiano kijana is so rich
 
Mange kasema Tanzania harudi ngo,msije mkamngoa meno kwa bisbis kama Dr Ulimboka
 
Familian nyingine hadi raha. For makamba Jr, sio jambo la kushangaza sana maana nasikia hata mtihani wake pale Galanosi aliiba na matokeo yake akafutiwa....Mwisho wa siku akaenda kuibukia Pale Forest Morogoro. Dhambi hii kama ilifanyika haishangazi leo hii kusikia hayo. mind you, makamba senior asingeweza kuacha kizazi kisafi wakati yeye mwenyewe hakua msafi.
Binafsi macho na masikio naelekeza pale magogoni tu kuona kama yule ngosha anaweka pamba masikioni na kuvaa miwani ya mbao asione wala kusikia mteule wake akiwa na mikono michafu.
 
Duh kama ni kweli basi, nimekata tama na Bongo....Ilipaswa kuwaondoa mawaziri woote waliokuwa kwenye awamu iliyotangulia kabisaaa.... Kuanza na safu mpya kama alivyo waziri wetu mkuu wa sasa......Yeye ni mpya na anafanya mambo mapya na masafi
 
Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .
Vipi baada ya Mwamvita kukiri kua ni myaliano kweli ....una la kuongeza?
 
Sikioiza hizo clips then uje tena
Ni wazi wa mchana njemba sio mtaliano kabisa kabisa ..mtaliano akiongea tu unawajua tena alie kasirika basi utasikia tu bono bono sinyore..hahahhhahahah tumieni akili kidogo sio mnameza tu
Hata hio voice note moja ni direct recoding nyengine ya simu...kujua ni kitu kimekua edited..
Vipi baada ya Mwamvita kukukubali ni myaliano unajisikiaje?
 
Views: 51,839 Replies: 528
sawa na wastani wa views 67 kwa dakika moja tangu thread creation.
 
Niliwahi kusikia Makamba Sr.nae aliwahi kumpa mimba mwanafunzi .hii familia hii
 
Aiseeeeeeeeeeeee, ngoja tusubiri tuone kitakachoendelea

Je usalama wa huyo mwanadada vipi???????
 
Vipi baada ya Mwamvita kukukubali ni myaliano unajisikiaje?
Hayo majibu ya mwamvita yapo wapi?naona page yake insta ni private,yawekeni basi hapa nasi tuone
 
Maelezo aliyotoa Mwamvita kujitetea kwenye page yake instagram yanaonyesha kuwa audio ni ya kweli, nashangaa kwann kuna watu humu wanakomaa kusema sio ya kweli. Yeye anajitetea kuwa aliulizwa maswali ya mtego akajichanganya jambo ambalo hata mwanangu wa miaka minne hawez kuamin. Tuwe wapole mambo yatakuwa wazi tu na kuna kila dalili kuwa jambo hili ni la kweli. Mange anatumiwa na watu ambao wapo smart na wana taarifa nyeti kwa kuwa ana ujasiri na hayupo nchini.

Duc in Altum
Mpendwa screenshot basi yaho majibu then uyapandishe hapa,tumsome alivyojitetea
 
[HASHTAG]#WhatWillMagufuliDo[/HASHTAG]?

Let's wait & see.
Shkamoo Mange.
 
rr3at a.wagaost: 15481019 said:
"Caesar's wife must be above suspicion" JPM twende kazi. Atumbuliwe jipu hadharani kama mnavyofanya kwa watu wengine.
Thubutuuu, atamwaga Mboga.
 
Back
Top Bottom