Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Leo nami naungana na Steven Masatu Wasira. Huenda J. Makamba yy ndie alikuwa akilelewa, na huenda hata TANO bora alibeba
 
Ulofa tuache ndio maana tunaendelea kuwa maskini. Just because main contractor is China doesnt mean all tenders are handled by the Chinese. Simenti Chuma kokoto mchanga usafirishaji nk hizi zote ni tender za mabilioni unless wachina wataleta kokoto kutoka China. Na kama ni kweli huyu Mwitaliano alitoa hongo kwa kina Makamba kupata contract thats corruption.
Hiyo siyo corruption ni TAKRIMA....Hakuna Corruption bongo hasa Kwa wanaojiita waheshimiwa sana.
 
January kahojiwa kasema alimuomba dada yake amchangie katika mfuko wa Bumbuli ndo akachukua hela kwa huyo mtu.... Iko instagram kwa mange plus voice clip
 
  • Thanks
Reactions: J33
Jameni Mwenye hizo Evidence mziweke tena kwa style ya kucomment, naona Vijana wa J. Kamba, wezi wa Kura kutoka Kenya na alio waacha TCRA wana haha sn!! Wana roga picha na audio zote!!
 
Voice clip kwenye page yake
 

Attachments

  • 1457202881993.jpg
    1457202881993.jpg
    72.3 KB · Views: 64
  • 1457202898713.jpg
    1457202898713.jpg
    65.1 KB · Views: 60
Mhhh!!!
 

Attachments

  • 1457202995242.jpg
    1457202995242.jpg
    72.3 KB · Views: 59
  • 1457203009109.jpg
    1457203009109.jpg
    65.1 KB · Views: 50
January kahojiwa kasema alimuomba dada yake amchangie katika mfuko wa Bumbuli ndo akachukua hela kwa huyo mtu.... Iko instagram kwa mange plus voice clip

Kwahiyo walimtapeli mtu...
Mfuko ulichangiwa kwa pesa za kitapeli...
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.

Jaribu kupitia..

(Mazungumzo ya Sauti yameambatanishwa)

005b63a5fa8710a5ceac0c39f51af7d0.jpg
Msafi Ni Magufuli peke yake
 
lakini Mwamvita amehojiwa na mbeya la kimataifa soudybrown, akasema sio kweli hizo clip ni wald matapeli wanaobadilisha sauti za kila aina.....ila lisemwalo lipo kama halipo linajongea
 
January alijua atakua Rais so alijiandaa kitambo ili mitandao isimwanike na alifanikiwa, ila nazan pia kuna bifu kati ya mange na mwamvita. Kuna bosi wangu flan aliniambia mtu akija kumsemea flan cha kwanza chunguza uhusiano wao huyo msemaji na msemewa
Hilo la ugomvi sio issue hapa cha muhimu ni habari hizi ni za kweli? Na kama ni kweli je ndani ya CCM kuna msafi?
 
Msafi Ni Magufuli peke yake
1.Aliyeshindwa kutoa ufafanuzi juu ya fedha Tshs. Billion 262 zilivyotumika katika Wizara ya Ujenzi alikuwa nani vile?
2.Aliyeuza nyumba za serikali kwa being ya dezo na nyingine kugawa wa ndugu na mchepuko ni nani vile?
3.Aliyesimamia Ujenzi wa barabara ambazo zingine zimechakaa kabla hata miezi sita kuisha ni nani vile?
 
Hilo la ugomvi sio issue hapa cha muhimu ni habari hizi ni za kweli? Na kama ni kweli je ndani ya CCM kuna msafi?
"Ndani ya CCM hakuna msafi" Sophia Simba....

Huyu mama alimnyamazisha hata Malecela pale alipofichulia siri kuwa aliwahi hongwa million 200 na fisadi la Rada Jeetu Patel!!!
 
moto huu hapa-http://r.search.yahoo.com/_ylt=A9mSs2XPLdtWhCkAMmVLBQx.;_ylu=X3oDMTBydHRqMjgyBGNvbG8DaXIyBHBvcwM1BHZ0aWQDBHNlYwNzcg--/RV=2/RE=1457233487/RO=10/RU=http%3a%2f%2ficonosquare.com%2fmangekimambi_/RK=0/RS=ZvLgj2LCgAo96JhB.gcU1JuZk4g-
 
Mheshimiwa kapigiwa simu clip nzima iko youtube link kwenye insragram bio ya mange. Mazungumzo yake yameegemea sana kumuangushia jumba bovu dadake! Anaongelea mpaka mahusiano ya dadake na jamaa.. Sidhani kama kulikua na haja hiyo.. Kwani angekataa kuzungumza wangemfanya nini.?
 
mimi naona@Mods kwa saga hili mkaribisheni rasmi mange kama verified user ili episode ikiendelea amwage ubuyu humu-mambo anayo reveal ni game changer na politics za Tanzania could change for good-this opportunity is too good to miss-just imagine press nzima bongo inaiquote JF
Mange kimambi alipewa life ban jf miaka mitano iliyopita ........
 
Back
Top Bottom