Ndio maana ripot ya maadil alishindwa kurejesha kwa wakat
Jipu hilo mkuu, kulitumbua tu hakuna namna
Ndio maana ripot ya maadil alishindwa kurejesha kwa wakat
Hiyo ni maana yako na akili zako zisizo jiongeza, January angeyajua haya basi kumbuka asingefanya kazi ya kumuingiza Magu IkuluMakamba alimaanisha Kafiri kaingia Ikulu, na si yeye? Atakiona cha moto?
Hapa issue ni utapeli ....hata kama mkataba wa mkopo ulitaka contractor kutoka China hilo tunalijua sisi na utapeli kama huu ni common sana nchi zetu hizi maana wazungu wanajua huku kila kitu ni rushwa then unapata unachotaka .....hapa tuache kujadili ufala wa huyo Muitaliano wala lafudhi maana wapo watu wa mataifa mengine wenye uraia wa huko .....issue hapa ni maadili ya kiongozi ....kule insta Mwamvita kakiri ile sauti ni yake huku Mange akihaidi kutoa zaidi ushahidi ...hivyo kama kweli sisi wazalendo tusibiri ushahidi zaidi ili tujiridhishe zaidi badala ya kuanza kumtukana Mange.
Ndo anavyojitapa huko yeye ndo kamuingiza Magu ikulu?Hiyo ni maana yako na akili zako zisizo jiongeza, January angeyajua haya basi kumbuka asingefanya kazi ya kumuingiza Magu Ikulu
Dada yake january makamba amesema huyu aliyekuwa anaongea na muitaliano ni yeyebut mna uhakika na hicho alichosema.muitaliano nae ni lofa fulani tu hivi sioni hata mahali anaweza kutoa hela zote hizo bila kuhakikisha deal.
huyo demu ni chizi na kapagawa na life aliyotegemea US siyo.marafiki zake nao wanamtosa ndo mana anawachana,this is what Tanzanian can do best.
but tumpe siku tu,US si mbali wanaweza kumsafiria hata kwa ungo
Hiyo ni maana yako na akili zako zisizo jiongeza, January angeyajua haya basi kumbuka asingefanya kazi ya kumuingiza Magu Ikulu
Niwe mkweli kutoka rohoni, simuamini jamaa kabisa, hasa kutokana na utendaji kazi wakeAcha kumsema mtu vibaya pasina kujua undani au ukweli wa jambo lenyewe kwa maana ukinyanyuka sasa na kuongea jambo ambalo baadae likajulikana sio sahihi utapata mtihani wa kusafisha kauli yako chunga ndimi wewe [emoji104]
but mna uhakika na hicho alichosema.muitaliano nae ni lofa fulani tu hivi sioni hata mahali anaweza kutoa hela zote hizo bila kuhakikisha deal.
huyo demu ni chizi na kapagawa na life aliyotegemea US siyo.marafiki zake nao wanamtosa ndo mana anawachana,this is what Tanzanian can do best.
but tumpe siku tu,US si mbali wanaweza kumsafiria hata kwa ungo
Mke wa kaisar hapaswi kutuhumiwa. Kutuhumiwa kwake inaonyesha huyu mke wa kaisar ana shida fulani. Haijarishi tuhumu hizo ni dhaifu kiasi ila tunajua kuwa ana tuhuma. Atoke ajisafishe then Mange ashushe ushahid anaodai kuwa anaohapa haujaelewa,mzungu aliambiwa atapewa tender,ila hakupewa which is true,maana kweli bandari tender walipewa wengine,kutokana na hiyo clip mzungu alitowa pesa na kuhakikishiwa kuwa atapewa mradi ,hapo upo?
Huu ni uf@la sasa, badala ya kujadili uwezo wa paka kukamata panya eti tunajadili rangi yake. Paka ni paka tu, awe mweusi au mweupe ni paka tu, ishu je ana uwezo wa kipaka?Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .