Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Lowasa fisadi, lowasa fisadi, haya kina Mwakyembe wapewe Air time now kumsema Makamba.
 
Magufuli mnafiki hana uwezo wa kumgusa january makamba atabaki kusema tuu niombeeni
 
Anayemuamini huyu mdada Malaya na mzushi, atakuwa na matatizo,!
 
Sjawahi kusikia mu italiona akiongea kingereza cha KIAFRICA ..aliyeplay sehemu ya italiano alijitahidi lakin alifeli pale alipokuwa akiongea mengi anajisahau kuwa script unamuhitaji kuwa mu italiano
 
Huyo ana ugomvi wake binafsi na Mwamvita kwanini atoe izo siri baada ya kugombana? Hapa ndipo utajua kama ni majungu vyombo vya usalama awafanyii kazi majungu.
Mbona unatumia nguvu nyingi hivyo mkuu? Umetumwa kuweka mambo sawa?
 
Hivi kweli Magufuli hayajuia haya!!Kwasababu sasa yameanikwa ndio atajidai kuchukua hatua.

CCM ni ile ile.Watanzania acheni kuwa wajinga!
 
Sjawahi kusikia mu italiona akiongea kingereza cha KIAFRICA ..aliyeplay sehemu ya italiano alijitahidi lakin alifeli pale alipokuwa akiongea mengi anajisahau kuwa script unamuhitaji kuwa mu italiano

Kama ni raia wa Italy awe mzungu, mbantu, wa Asia, wa wapi au wapi mwisho wa siku ni Italian.
 
Kwenye justice za Tanzania, bado makamba yu save maana, kama ni kweli, transactions zote zimefanyika kupitia kwa bidada, ni hadithi ya abunuwasi
 
JE HUYU MUITALIANO YUPO WAPI?,AU AMESHAKUWA THREATED!/
MAANA AKINA PAPA WANAMIPANGO MINGI SANA HATARI, POSSIBLY KUNA ALIYEZULUMIWA HAPA SI BURE.
*ALIKUWEPO AKAKATWA.
HII INALILETEA TAIFA LETU TASWIRA MBAYA KWELI /
TAFADHALI LISHUHULIKIWE.
 
JE HUYU MUITALIANO YUPO WAPI?,AU AMESHAKUWA THREATED!/
MAANA AKINA PAPA WANAMIPANGO MINGI SANA HATARI, POSSIBLY KUNA ALIYEZULUMIWA HAPA SI BURE.
*ALIKUWEPO AKAKATWA.
HII INALILETEA TAIFA LETU TASWIRA MBAYA KWELI /
TAFADHALI LISHUHULIKIWE.
 
hiyo story ya mange kichaa imejibiwa n mhusika tayari.....mwamvita ameelezea mwanzo mwisho ngoja niitume
 
Tatizo mm huwa simwamini mange halaf issue ya kupanga deal kubwa kwny simu... Nasubiri mwisho wake
 
Uchunguzi ufanyike,ili ukweli ujulikane.Tusihukumu kwa kusikiliza sauti tu
 
My dear i am have dated an Italian man for years and honestly the man recorded in the audio clips doesn't sound Italian at all. Ukimsikiliza vizuri he has a strong African accent although he's really trying to fake the Italian accent ila anajisahau. Hizi audio clips hazina mashiko kabisa.
Hata watanzania lafudhi zetu ni tofauti katika kiswahili. Sasa hiyo lafudhi ya bwana wako sio lazima iwe ya waitaliano wote sawa bibie!
 
Back
Top Bottom