Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
Nimebanwa na homa mpk mwenyewe nimetafuta nyungu
Hii picha ni ya nani?, Magufuli!!??, sidhani. Magufuli wetu wa sasa anang'aa, huyu atakuwa mwingineYote tisa......View attachment 1689834
Usisumbuke achana nao hao, ila wengine tunaona afya zetu ni muhimu mno tutaanza nyungu kuanzia leo. Itakapokuja chanjo kutoka kwa mabeberu tutaendelea na chanjo kwa kwenda mbele.Corona si ilishindwa na kuangamia kwa maombi ya gwajima sasa nyungu ya kazi gani?
Ukiona ujumbe una ukakasi ujue haujalengwa wewe ... wamelengwa wapiga kura wake...da!!!, mambo mengine kwa kweli unashindwa kujua hawa jamaa wanatuonaje....
Anasema "hapa korona haina nafasi"....akimaanisha hakuna korona
Hapohapo anatangaza wiki ya kujifukiza....wanasiasa kwa kweli wanacheza na akili za wadanganyika vizuri sana
Polee sana aisee!Nimebanwa na homa mpk mwenyewe nimetafuta nyungu View attachment 1689856
Tanzania haina corona,tulimuomba mungu wa chato ikapotea,kwani nasema uwongo ndgu zangu...tenaaKiukweli nimeyapenda sana maneno ya Mh Waziri Jafo kule Tabora akiwahamasisha watu kupiga nyungu season 3 hayo ndio maneno ya kishujaa kabisa.
Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season Three, nyungu kama kawaida
Hapa Corona haina nafasi, tunajifukiza, tunakula matunda tunamuomba Mungu, Season Three, nyungu kama kawaida, tunaanza February 01 hadi February 07, 2021 hatupoi kazi inaendelea, uchumi wetu lazima usimame-Jafo
Nawatakia Kila la kheri
NAWASILISHA
Kwann tujifukize wakati hatuna korona. Mh waziri unatuchanganya ukiumwa nyumonia dawa yake kujifukiza?
Ipo au haipo? Wizara ya afya inasemaje
sawa ndg bendera fuata upepo!Kinga NI BORA KULIKO TIBA.
sawa ndg bendera fuata upepo!
Kwann tujifukize wakati hatuna korona. Mh waziri unatuchanganya ukiumwa nyumonia dawa yake kujifukiza?
kujifukiza NI KAMA CHANJO.
Au mpaka uletewe ile y mzungu?
BBC hua hawana picha nyingine tofauti na hiiYote tisa......View attachment 1689834