Waziri Jafo atangaza wiki moja ya "nyungu" season 3

Nimebanwa na homa mpk mwenyewe nimetafuta nyungu
Screenshot_20210130-133610_Video%20Player.jpg
 
Corona si ilishindwa na kuangamia kwa maombi ya gwajima sasa nyungu ya kazi gani?
Usisumbuke achana nao hao, ila wengine tunaona afya zetu ni muhimu mno tutaanza nyungu kuanzia leo. Itakapokuja chanjo kutoka kwa mabeberu tutaendelea na chanjo kwa kwenda mbele.

Sababu hakuna dawa ya kuponyesha Civid 19 popote pale duniani..
 
da!!!, mambo mengine kwa kweli unashindwa kujua hawa jamaa wanatuonaje....

Anasema "hapa korona haina nafasi"....akimaanisha hakuna korona

Hapohapo anatangaza wiki ya kujifukiza....wanasiasa kwa kweli wanacheza na akili za wadanganyika vizuri sana
Ukiona ujumbe una ukakasi ujue haujalengwa wewe ... wamelengwa wapiga kura wake...
 
Kiukweli nimeyapenda sana maneno ya Mh Waziri Jafo kule Tabora akiwahamasisha watu kupiga nyungu season 3 hayo ndio maneno ya kishujaa kabisa.

Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season Three, nyungu kama kawaida

Hapa Corona haina nafasi, tunajifukiza, tunakula matunda tunamuomba Mungu, Season Three, nyungu kama kawaida, tunaanza February 01 hadi February 07, 2021 hatupoi kazi inaendelea, uchumi wetu lazima usimame-Jafo

Nawatakia Kila la kheri

NAWASILISHA
Tanzania haina corona,tulimuomba mungu wa chato ikapotea,kwani nasema uwongo ndgu zangu...tenaa
 
Kinga anapewa ambae haumwi

Nyungu ni kinga dhidi ya Corona kama ambavyo nchi zingine walivyoanza kusukumizana vijiti makalioni kukabili Corona
Kwann tujifukize wakati hatuna korona. Mh waziri unatuchanganya ukiumwa nyumonia dawa yake kujifukiza?
 
Back
Top Bottom