mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,172
- 106,690
Acha ukudaHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara1
Kwani bia syo tamu
Mbona nyie mnajifanya malaikaa sana
Wakati watu kama nyie --- kabisa
Ova