Registered Nurse
Member
- Sep 8, 2021
- 6
- 8
Wanasumbua mtaani walevi na fujo zaoMwingine akinywa ww unaathirika vp?
Wanasumbua mtaani walevi na fujo zaoMwingine akinywa ww unaathirika vp?
Mlevi huyu, yuko tyr maadili yaharibike, vifo viongezeke kwa ajali na maradhi kisa kodi ya pombe!Walevi ndio wanajenga madaraja, sgr na flyovers.... kwa namna nyingine anahamasisha ulipaji kodi....punguza nongwa
Achana na mambo ya watu aisee.!Dah Watu kweli mmevurugwa yani Avatar yenyewe ina porno movie ikiwa open unadhani utasapoti NN sasa km sio pombe?
Ni suala la muda.Utachokwa na weye utaendelea kulima vinyungu.Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Asikwambie mtu,bia tamu!Bia tamu jamani
Msiokunywa pombe wengi wenu Ni wachawi!!!!Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Bia tamuuuHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Asikwambie mtuuu bia tamuHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Kwahiyo nini kinatangulia?Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Ufungiwe kwa kosa gani?Wimbo wa Mikasi ni lini utafungiwa? Hawa mawaziri sijui huwa wanatolewa wapi aisee.
Acha ukuda, kabla ya huo wimbo Nani alikuwa akimaliza bia za breweries?Kweli mwenyewe shahidi wa hilo jana tu watu wana mwagiana mipombe na kuimba bia tamu asikwambie mtu
Ili wanaokunywa wanywe nini?Na bia zipigwe marufuku