HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,367
- 94,548
Ndo maana nasema Watz huwa hatuna hoja sisi tunarushwa kama maharagweMarekani sio wajinga kutaka kuwamaliza Kwa mbinu za kishamba hivyo. Huo mchele ni salama 100% hawawezi kutumia kitu ambacho kitaacha alama mwilini mwako