Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,614
15,942
Nimesoma Taarifa kutoka TBS ya kuridhia usambazaji wa mchele kutoka marekani na kusema eti mchele huo ni salama kwa walaji. Hivi huyu Mkurugenzi ana akili kichwani kweli?

Ni mzalendo kweli mwenye uchungu na nchi hii? Tanzania tuna shida gani sisi ya kupewa msaada wa mchele kutoka marekani wakati mchele kutoka mbeya na kwengineko nchini unakosa soko?

Naomba sana sana Mkuu huyu wa TBS achunguzwe haraka sana na hatua kali sana zichukuliwe dhidi yake. Hana tofauti na muhujumu uchumi huyu.

Mh. Rais kwa heshima na taadhima nakuomba uchukuwe hatua za haraka na Vyombo vya ulinzi vifanye ufuatiliaji kuna dalili za rushwa katika ofisi ya TBS.

Jumatatu njema!
 
Nimesoma Taarifa kutoka TBS ya kuridhia usambazaji wa mchele kutoka marekani na kusema eti mchele huo ni salama kwa walaji. Hivi huyu Mkurugenzi ana akili kichwani kweli? Ni mzalendo kweli mwenye uchungu na nchi hii? Tanzania tuna shida gani sisi ya kupewa msaada wa mchele kutoka marekani wakati nchele kutoka mbeya na kwengineko nchini unakosa soko?

Naomba sana sana Mkuu huyu wa TBS achunguzwe haraka sana na hatua kali sana zichukuliwe dhidi yake. Hana tofauti na muhujumu uchumi huyu.

Mh. Rais kwa heshima na taadhima nakuomba uchukuwe hatua za haraka na Vyombo vya ulinzi vifanye ufuatiliaji kuna dalili za rushwa katika ofisi ya TBS

Jumatatu njema!
Ndio kwanza atapewa shavu kubwa zaid

Hayo ni maagizo toka juu kwahiyo hawez kumfukuza kazi

Hutaki watanzania tuwe machoko?

Enzi za chuma huu ungese haukuwepo sasa leo hii hayupo wazungu wameshaanza mapichapicha
 
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU USALAMA WA CHAKULA CHA MSAADA KUTOKA MAREKANI ULIOTOLEWA KWA BAADHI YA SHULE ZA MKOA WA DODOMA
Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na msaada wa chakula (mchele ulioongezwa virutubishi, mafuta ya kupikia ya alizeti yaliyoongezwa virutubishi na maharage), ambao ulitolewa na Wizara ya Kilimo ya Marekani kwa ushirikiano na Taasisi ya Jumuiya za Kimataifa (Global communities) katika baadhi ya shule za mkoa wa Dodoma chini ya mpango uitwao “Pamoja Tuwalishe”.

Hii nchi ni ngumu sana
 
Nimesoma Taarifa kutoka TBS ya kuridhia usambazaji wa mchele kutoka marekani na kusema eti mchele huo ni salama kwa walaji. Hivi huyu Mkurugenzi ana akili kichwani kweli? Ni mzalendo kweli mwenye uchungu na nchi hii? Tanzania tuna shida gani sisi ya kupewa msaada wa mchele kutoka marekani wakati nchele kutoka mbeya na kwengineko nchini unakosa soko?

Naomba sana sana Mkuu huyu wa TBS achunguzwe haraka sana na hatua kali sana zichukuliwe dhidi yake. Hana tofauti na muhujumu uchumi huyu.

Mh. Rais kwa heshima na taadhima nakuomba uchukuwe hatua za haraka na Vyombo vya ulinzi vifanye ufuatiliaji kuna dalili za rushwa katika ofisi ya TBS.

Jumatatu njema!
Umekurupuka kidogo Mkuu.
 
Umekurupuka kidogo Mkuu.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU USALAMA WA CHAKULA CHA MSAADA KUTOKA MAREKANI ULIOTOLEWA KWA BAADHI YA SHULE ZA MKOA WA DODOMA​

Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na msaada wa chakula (mchele ulioongezwa virutubishi, mafuta ya kupikia ya alizeti yaliyoongezwa virutubishi na maharage), ambao ulitolewa na Wizara ya Kilimo ya Marekani kwa ushirikiano na Taasisi ya Jumuiya za Kimataifa (Global communities) katika baadhi ya shule za mkoa wa Dodoma chini ya mpango uitwao “Pamoja Tuwalishe”.
 
Kwanza michele michele imejaa mingi sana kuanzia sinza na baba yake kinondoni alaf bado wanatuletea tena michele kutoka njee ili iongezekee mpaka kimara mbezi na kigamboni aisee
 
Nimesoma Taarifa kutoka TBS ya kuridhia usambazaji wa mchele kutoka marekani na kusema eti mchele huo ni salama kwa walaji. Hivi huyu Mkurugenzi ana akili kichwani kweli? Ni mzalendo kweli mwenye uchungu na nchi hii? Tanzania tuna shida gani sisi ya kupewa msaada wa mchele kutoka marekani wakati nchele kutoka mbeya na kwengineko nchini unakosa soko?

Naomba sana sana Mkuu huyu wa TBS achunguzwe haraka sana na hatua kali sana zichukuliwe dhidi yake. Hana tofauti na muhujumu uchumi huyu.

Mh. Rais kwa heshima na taadhima nakuomba uchukuwe hatua za haraka na Vyombo vya ulinzi vifanye ufuatiliaji kuna dalili za rushwa katika ofisi ya TBS.

Jumatatu njema!
Watanzania mmekuwa wakurupukaji na ujuaji mwingi mitandao hii muitumie vizuri
 
Nimesoma Taarifa kutoka TBS ya kuridhia usambazaji wa mchele kutoka marekani na kusema eti mchele huo ni salama kwa walaji. Hivi huyu Mkurugenzi ana akili kichwani kweli? Ni mzalendo kweli mwenye uchungu na nchi hii? Tanzania tuna shida gani sisi ya kupewa msaada wa mchele kutoka marekani wakati nchele kutoka mbeya na kwengineko nchini unakosa soko?

Naomba sana sana Mkuu huyu wa TBS achunguzwe haraka sana na hatua kali sana zichukuliwe dhidi yake. Hana tofauti na muhujumu uchumi huyu.

Mh. Rais kwa heshima na taadhima nakuomba uchukuwe hatua za haraka na Vyombo vya ulinzi vifanye ufuatiliaji kuna dalili za rushwa katika ofisi ya TBS.

Jumatatu njema!
We ndiyo huna akili, unategemea mchele utoke Marekani mpaka ufike Dom bila serikali kuwa na taarifa?
 
Kupima tu haitoshi lazima wazingatie maslahi ya nchi. Wanatuhujumu wafuatiliwe.
Sasa mkuu wanahujumu vipi nchi? Ni sawa na umeenda hospital, Dr akakuandikia vipimo. Kazi ya technician ni kuchukua vipimo kwa weledi. TBS wamefanya kazi ya kupima Ubora wa chakula, wameona kiko okay, je ulitaka wadanganye kwamba hakiko sawa? Hayo ya masoko, na kama kweli tunahitaji msaada wa chakula zipo mamlaka za kujibu
 
Back
Top Bottom